Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Kikwete alikuwa anakopa ili alipe mshahara! Msidanganye watu hapa kikwete watu walikuwa wanapokea mshahara mpaka tarehe 4! Yule bwana alikuwa zungukuku mkubwa sana!
Yaani wewe ni ZWAZWA KWELI!!hebu tuletee takwimu za huyo shujaa wenu(mwendazake)makusanyo yalikuwa ni wastani wa trilioni 1.2 kwa mwezi, mishahara ilikuwa ni kama bilioni 700, na kila mwezi, kulipa deni la taifa ni bilioni 500 kila mwezi, haya sasa tuambie hizo pesa nyingine lilikuwa linazitoa wapi, na kukopa hakopi?!la muhimu ni kusema MUNGU FUNDI.
 
Tena angepandisha kwa 23.3 kwenye mishahara yote na sio kima Cha chini,hawa wafanyakazi wakijaziwa mihera ,bar zitachangamka,wauza mitumba watauza, n.k. mama endelea kuudanadana kwa umalidadi, wahesabu mpaka wasinzie! akiwemo mleta mada
 
Wewe hujui kitu, tulia ! Hata maana ya bilioni huijui!
Angalia kupunguza Tshs.29 tu ya bei ya Lita Moja ya petroli ambapo zitahitajika Tshs.bilioni 100 imebidi Serikali kuomba mkopo WB.
Sasa itakuja kuwa 250 bilioni kila mwezi!!!
Nasisitiza HUJUI KITU, TULIA!
Umefanyaj hesabu hapo mkuu na kwa muda gani
 
We hamnazo kweli pia una chuki binafsi n watumishi, soma vzuri ile barua, wamesema mishahara imeongezwa kwa watumishi wa umma kwa 23.3% ikiwemo kima cha chini.Hapo anamaanisha ombi la tucta la milioni moja na elfu kumi limekataliwa kwahiyo Kila mtumishi basic yake atazidisha kwa 23.3 na kugawa kwa 100%.Pongezi kwa Rais wetu na sio yule Babu yenu.
Ww ndo hujaelewa, percentage decrease as salary increases
IMG-20220515-WA0011.jpg
 
Say agin and again! Matokeo ya wenye upeo mdogo kupewa uongozi. Unaambiwa hata Mwingulu eti ni waziri wa fedha na mambo ya uchumi! Kweli hatujipendi!
hatamimi mwenyewe huyu jamaa simuelewagi aisee alipitia njia gani hadi kuwa hapo alipo,nchi hii imeshindwa kutengeneza viongozi wazuri hususani chama cha mapinduzi.ikiwezekana hikichama kingekaa pembeni.
 
Kwa hiyo Ujafuraishwa Wafanyakazi wa Umma Kuongezewa Mshahara?Kila Kitu Kimepanda Nae ni binadam atamudu vipi gharama za maisha bila kupata pay raise?Em tupunguze husda. Jambo Lililomshinda JPM for 7yrs Mama kaliweza Kwanini Msimpongeze hata kidgo. The Gang Tulieni.
 
hatamimi mwenyewe huyu jamaa simuelewagi aisee alipitia njia gani hadi kuwa hapo alipo,nchi hii imeshindwa kutengeneza viongozi wazuri hususani chama cha mapinduzi.ikiwezekana hikichama kingekaa pembeni.
Soma katiba mkuu, unashangaa ameingiaje hahahah
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Inapaswa kabla ya kupandisha mishahara serikali iangalie namna ya kupunguza inflation


Huku mtaani maisha yamekuwa magumu mno. Unapoongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma je hakuna watu ambao sio wafanyakazi? Hao unawasaidiaje? Au hao hawakuhusu? Au maisha yao is non of your business?
 
Upo karibu naye mshtue. Huwezi kusimama ukawaambia wananchi wa USA, UK Sweden, nchi yoyoye inayojitambua nitaongeza hivi bila kusema vitatoka wapi? Watakutoa serikalini siku hiyo hiyo. Everything must, need to be costed.

Hivi balance sheet yetu ya TZ ikoje? kikaratasi cha kuonyesha mapato, matumizi, assets, liabilities, mikopo. Uwiano wa mapato matumizi, mikopo umekaaje?
Serikali ilishaonesha vyanzo vya mapato Bungeni wakati inawasilisha taarifa ya ukomo wa bajeti..

Miongoni mwao ni ongezeko la mapato ya kodi
 
Nahitaji kujua tuu kwani kulikuwa na tume mbili au? mbona ya kina sisi kabwela iliyo beba watu wa aina tofauti sijisikia? namaanisha nyongezo ya mshahala secta binafsi vipii au ndo mimi tu sijaelewa naombeni mniambie waungwana kama mtakuwa mnajua, hatujaelewa wengi hapa aisee shida nini je kurikuwa na tumembili au,ya ume tumeisikia vipi binafsi mbona kimyaa? au tusubilie jamboletu?😇😇😵😵
 
Ni Mara Mia kushusha Bei za mafuta kuliko hyo elf 46 mnaongezewaaa na kwa akili za madelu ataona kuwa kiuchumi amewin kupandish mshara dhid ya Bei ya mafuta .Anangangania Bei ya wese as if kwamba ndio njia pekee ya kupata pesa huyu wazir Ni hoplesss kbsa cjui udsm walifikiria nn ki honored hyo phd
 
Kinacho onekana kwa ukifikiri vyema ,nikwamba viongozi wameshindwa kuendana na wakati ndio maana nchini inachelewa au haiendelei inavyo paswa.

Lazima kama nchi tujiulize na tuchukue hatua.

(1) Kwanini shilingi yetu haina thamani ukilinganisha na miaka ya 70s au 80s .

(2) Kwanini pamoja na lasilimali za asili zilizopo bado nchi maisha ya watu ni mabovu ,miundombinu mibovu??
(3) Kwanini Kila awamu ya uongozi inajipangia mambo mapya na mengine ya awali yanafutwa??

(4) Kwanini watanzania wanachukiana ,kupigana,kufungana,na hata kuuana kwa misingi ya uvyama na ukada??

(5) Kwanini kuna gap kubwa la maisha Bora kati ya viongozi na wananchi wa kawaida??

Je tukipambana Kwanza na ubinafsi wizi wa Mali za uma na uzalemdo wa kweli ukatamalaki nchini taifa halitapiga hatua??
 
Kwa hiyo Ujafuraishwa Wafanyakazi wa Umma Kuongezewa Mshahara?Kila Kitu Kimepanda Nae ni binadam atamudu vipi gharama za maisha bila kupata pay raise?Em tupunguze husda. Jambo Lililomshinda JPM for 7yrs Mama kaliweza Kwanini Msimpongeze hata kidgo. The Gang Tulieni.
vipi wafanya kazi wa secta binafsi jombaaa? maana mnazoza tuu wafanya kazi wa uma umaa vipi wasecta binafsi?secta iliyobeba wafanya kazi kuliko hata huko selikarini au? au wanaopiga kula ni wauma biafsi hawapigagi kula au
 
Back
Top Bottom