The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ndio aliwapuuza kabisaa,ni katika kipindi chake ambako sio tuu alikuwa hatengi pesa za kutosha kwenye wizara ya kilimo bali hata kiduchu zilizotengwa zilifika chini ya 40%..Mkuu yule aliyepita ambaye nafikiri ndio mnamuona alikuwa sahihi alishawahi kuwajali hao wakulima unakwasema hapa?
Lakini pia, unataka kuniambia kwa njia yoyote ile serikali inakosa/itakosa nyongeza ya Billion 130 kwa mwezi ya hii nyongeza ya mshahara? Kama bwana yule aliweza kilipa trillions ndani ya mwaka kwa ajili ya ndege tena Cash kwanini nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi inakuwa nongwa?
Au hii ni vita tu kwakuwa yule hakuongeza na mnaona kama legacy yake inachafuliwa??
Ni katika kipindi hicho Mazao mengi yaliporomoka bei na yakaacha kuuzika kwa sababu aliharibu mnyororo wa biashara..
Sasa ndio mama anahangaika kufufua..