Tanzania haina wapinzani bali wajaza matumbo. Tatizo la uhaba wa madarasa limetatuliwa; mnalalama nini kihusu mikopo?

Tanzania haina wapinzani bali wajaza matumbo. Tatizo la uhaba wa madarasa limetatuliwa; mnalalama nini kihusu mikopo?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao.

Serikali ya CCM kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza hili tatizo. Sasa kila wilaya hizi pesa zimetumika vyema na na kujenga madarada amabayo yataondoa kero ya kukosa vyumba vya madarasa.

Sasa kama mkopo huu umetumika vyema, wapinzani mnashuparia nini kuhusu mkopo na kushadidia mambo? Kisa tu spika amehoji?
 
Suala la mikopo limeshupaliwa na wana CCM wenyewe.

Yule mgogo aliyesema nchi itauzwa kwa mikopo siyo mpinzani.

Ni mjumbe vikao vya CCM.

Hata Kiroboto anayetoa darasa la uongozi ni miongoni mwao, naye alisikika akilaumu tabia ya kuombaomba.

Ni vita vya ndani, baina ya wahuni (wenye chama) na Viroboto (wanachama wa kuokoteza)
 
Kama haina wapinzani waruhusuni wafanye mikutano kama nyie msio na wapinzani mnavyofanya!!
Arafu hiyo mikopo nendeni mkaiokote nyie
 
Ni hivi, Tanzania hakuna chama cha siasa kinachoitwa CCM, kuna kundi la wahalifu, wezi, wahuni, wakoloni weusi wanaotumia hila za kila namna kukandamiza watanzania.

Vyombo vya Dola hawalali usiku kucha wanaumiza vichwa jinsi ya kulibakisha madarakani kundi hili la washenzi wa CCM. Vyombo vya dola na taasisi zetu wamegeuka maamuma kabisaaa!

Wako radhi kuacha kushughulikia heshima na hatma ya nchi ili tu wafanye kwanza mambo ya kipumbavu kama kumshughulikia mwanasiasa wa upinzani!

Nchi mevurugwa kabisa, ili tu kulinda maslahi ya kundi la kihalifu la CCM.

Kama bado umebaki na akili kidogo, sikiliza akiongea Mkuu wa nchi, mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine! Unaishia kuona aibu na kushangaa tumefikiaje hapa hadi viongozi wamekuwa mazuzu, maamuma, wajinga kiasi hiki?

Unagundua ni kazi ya kundi linalojiita CCM!
 
Kwahiyo umeamua kuwatukana viongozi wako Ndugai na Polepole kwa mgongo wa wapinzani?
 
Sisi wananchi wa Tanzania asilimia [emoji817] tumeunga mkono,kupatiwa madarasa, sisi ndio tuliokuwa tukijua adha ya upungufu wa madarasa,na msongomano wa wanafunzi madarasani.

Achana na hao wanaopeleka watoto wao, kwenye shule za international za kulipia.Asante Rais wetu, asante kwa kujua shida zetu wananchi wako.
 
Siku CCM itakutema kama Polepole ndio utajua Tz kuna upinzani ama vipi. Na utajua pia ni chama kipi mpizani wa kweli
 
Japo sijasoma ulichoandika lkn elewa haya ...Kuna

1. Income tax(hii haihusiani na tozo za miamala)
2. Tozo za miamala
3. Pesa za Uviko
4. Mikopo ya world Bank
5. Kuna wahisani na wafadhili wa maendeleo..

Kiwango hicho cha fedha hakiwezi kuendana na huo ushuzi wa madarasa ya 20m, ambayo hata Mo angepewa zabuni angeweza kujenga nchi nzima.

Ni mpuuzi tu ndio atatetea ulichoandika yaan ht hyo Miradi mingine haifanani na kiwango cha pesa hizo kwa mwaka.
 
Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao.

Serikali ya Ccm kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza hili tatizo. Sasa kila wilaya hizi pesa zimetumika vyema na na kujenga madarada amabayo yataondoa kero ya kukosa vyumba vya madarasa.

Sasa kama mkopo huu umetumika vyema, wapinzani mnashuparia nini kuhusu mkopo na kushadidia mambo? Kisa tu spika amehoji?
Igudunge nije nikugudunge basi?
 
Hivi kumbe ndungai ni mpinzani?
Bwaege aliwaambia mtazodoana nyinyi kwa nyinyi.
Sasa baada ya kupora uchaguzi wameamua kuitana wavimba macho kwa majina ya upinzani. Mbona sijaona mpinzani akisakama mikopo tofauti na kina Ndugai na timu yake ua uzalendo?
Au wapinzani siku hizi wamebadilishwa?
 
Kadiri wanavyowasakama wapinzani na kuwatendea uzalimu ndivyo Mwenyezi Mungu atavyozidi kuwavuruga! [emoji108]

Mnala wa Babel lazima uanguke!

Mwenyezi Mungu anapendezwa na Haki na Ukweli na chukizwa na udhalimu na hila.
 
Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao.

Serikali ya Ccm kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza hili tatizo. Sasa kila wilaya hizi pesa zimetumika vyema na na kujenga madarada amabayo yataondoa kero ya kukosa vyumba vya madarasa.

Sasa kama mkopo huu umetumika vyema, wapinzani mnashuparia nini kuhusu mkopo na kushadidia mambo? Kisa tu spika amehoji?
Mpuuzi wewe, Ndugai ni mpinzani?
 
Back
Top Bottom