Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
1. Africa will be destroyed or built by Africans.
2. We have shamefully accepted to blame everything on outsiders without examining our own closet. Currently, we dont have African solutions for African Problems. We are just joking and wasting the lives of innocent wananchi just to fulfill our evil egoes in the pretext of standing up to the west.
3. Ni unafiki wa hali ya juu, kuona mpaka leo sisi waafrika tunaangalia vifo vya waafrika wenzetu in terms of statistics na sio damu iliyomwagika. Wanaokufa Darfur, Congo etc its non issue maana "namba ya vifo haijawa kubwa".And guess what? tunategemea statistics za hao hao tunaowapiga vita kutuelezea matatizo yetu. Viongozi kama akina Mugabe na henchmen wao walizoea kwamba wataiba na kunyanyasa wananchi and after three days it will be gone, well waafrika wameanza kuamka, if Kibaki didnt get away with it, so is everybody after him.
4. What I can tell you my friends here, trust me you, siku za Mugabe zinahesabika! Its just a matter of time, utawala wake utacollapse. NATURALLY. HUWEZI KUWA NA UCHUMI WA NOTI YA DOLA BILLION 25 ambayo haiwezi kukununulia hata mkate ukasema kwamba you are safe. Hata Idd Amini hakufika huko!
5. We can continue to argue on AU/UN..but it has no merit, millions of Africans have perished while others have faced humiliation as refugees in the presence of the said UN and AU. I believe that no body should take seriously these two organizations. They will help refugees in camps but not serious issues of substance.
6. Africa tuache unafiki, ndo maana mpaka kesho kutwa wazungu wataendelea kutudharau..killing your own family kwa kumkomoa mtu wa nje? hiyo ni akili au ni tope??? Mugabe na ufinyu wa mawazo yake..anaamini kabisa kwamba anayoyafanya anawakomoa wazungu (walio miles way wakiwa wanakula pension na maisha yao mazuri..haangalii mtoto wake aliyemzaa na Grace wa miaka kumi na nne...anamuacha Zimbabwe ya namna gani!)
7. Hapana waafrika wenzangu tujiangalie tuko wapi na tunahitaji nini katika hii dunia..or we are just here to fill the staistics? Hapana, sitaki kuamini hivyo!
8. Labda niulize, kwa nini waafrika tulio wengi, ni wachoyo na wabinafsi? tuna ile kasumba ya (TUKOSE WOTE)....Why??????
2. We have shamefully accepted to blame everything on outsiders without examining our own closet. Currently, we dont have African solutions for African Problems. We are just joking and wasting the lives of innocent wananchi just to fulfill our evil egoes in the pretext of standing up to the west.
3. Ni unafiki wa hali ya juu, kuona mpaka leo sisi waafrika tunaangalia vifo vya waafrika wenzetu in terms of statistics na sio damu iliyomwagika. Wanaokufa Darfur, Congo etc its non issue maana "namba ya vifo haijawa kubwa".And guess what? tunategemea statistics za hao hao tunaowapiga vita kutuelezea matatizo yetu. Viongozi kama akina Mugabe na henchmen wao walizoea kwamba wataiba na kunyanyasa wananchi and after three days it will be gone, well waafrika wameanza kuamka, if Kibaki didnt get away with it, so is everybody after him.
4. What I can tell you my friends here, trust me you, siku za Mugabe zinahesabika! Its just a matter of time, utawala wake utacollapse. NATURALLY. HUWEZI KUWA NA UCHUMI WA NOTI YA DOLA BILLION 25 ambayo haiwezi kukununulia hata mkate ukasema kwamba you are safe. Hata Idd Amini hakufika huko!
5. We can continue to argue on AU/UN..but it has no merit, millions of Africans have perished while others have faced humiliation as refugees in the presence of the said UN and AU. I believe that no body should take seriously these two organizations. They will help refugees in camps but not serious issues of substance.
6. Africa tuache unafiki, ndo maana mpaka kesho kutwa wazungu wataendelea kutudharau..killing your own family kwa kumkomoa mtu wa nje? hiyo ni akili au ni tope??? Mugabe na ufinyu wa mawazo yake..anaamini kabisa kwamba anayoyafanya anawakomoa wazungu (walio miles way wakiwa wanakula pension na maisha yao mazuri..haangalii mtoto wake aliyemzaa na Grace wa miaka kumi na nne...anamuacha Zimbabwe ya namna gani!)
7. Hapana waafrika wenzangu tujiangalie tuko wapi na tunahitaji nini katika hii dunia..or we are just here to fill the staistics? Hapana, sitaki kuamini hivyo!
8. Labda niulize, kwa nini waafrika tulio wengi, ni wachoyo na wabinafsi? tuna ile kasumba ya (TUKOSE WOTE)....Why??????