Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
 
Hahaha ....sitakoment chochote
 

You nailed it!
 
3.Vipi vyoo tunavyo jengewa jwa hisani ya watu wa Marekani?😭😭😭
 
Usha wahi ona Shirika la misaada ka China? au NGO ya China? Raisi aheshimu Wazungu.
Jpm alikimbilia wachina wakamnyosha.

Mchina hana huruma na mtu ambaye anashindwa kuendesha nchi yake vizuri na a ashi dwa kudhibiti Rushwa na ufisadi harafu akimbilie kwake kutafuta misaada. China wako macho hawana masihara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…