DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hawa mabeberu wanatusaidia sana hasa upande wa Ajira.
Kuna baadhi ya mashirika watu wanalipwa vizuri Sana .
Tuwaache mabeberu tunawategemea Sana sisi vijana ambao serikali haiwezi kutuajiri na kutupa Mishahara na marupu rupu.
Kuna baadhi ya mashirika watu wanalipwa vizuri Sana .
Tuwaache mabeberu tunawategemea Sana sisi vijana ambao serikali haiwezi kutuajiri na kutupa Mishahara na marupu rupu.