Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni.Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1.NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3.Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Raiasi anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajiui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
dah! namna ya kuwaza kwa maskini wa fikra mbadala na mawazo mapya inachekeshaga sana dah 🤣
 
Ingekuwa ridhaa yetu, Ni heri tungeruhusu wazungu watutawale tu. Lakini ridhaa hiyo kwa Sasa haipo na Wala sidhani Kama inaweza kutokea Tena.

Wazungu sio wabaya kwenye maisha yetu. Wabaya Ni wabongo wenzetu ambao tumewapa ridhaa yakutuongoza lkn bahati mbaya sana wakajichomeka watu wasio sahihi na kujenga uzio ambao haiwezekani Tena kujitoa na kubaki watumwa kwenye nchi yetu wenyewe.
Hatuna chetu tena. 🤣🤣🤣 Hii imeenda.!!!
 
Technicaly si uoga ila ni fact hamna uwezo. Why 60 years after uhuru bado mnapokea misaada, mnakopa nje?
Kama ungekuwa si uwogs msingefanya hivyo but too bad dunia ya leo bila kufungua milango huendi mahali
Punguza uoga ndio maana nyumba zenu mnajaza electric fence ukuta mrefu kama gereza manondo kama jela na mlinzi majibwa ikiwa hao wanatengeneza hivyo vitu wala hawatumii magari yao wanalaza nje tu jivueni fikra za kitumwa bado unaota kupewa na mzungu ndio maana wanaleta vilainishi na bado mnavitetea!
 
Punguza uoga ndio maana nyumba zenu mnajaza electric fence ukuta mrefu kama gereza manondo kama jela na mlinzi majibwa ikiwa hao wanatengeneza hivyo vitu wala hawatumii magari yao wanalaza nje tu jivueni fikra za kitumwa bado unaota kupewa na mzungu ndio maana wanaleta vilainishi na bado mnavitetea!
Huna logic kwenye jibi lako. Badala ya kuja na facts unakuja na personal attacks, rudi kwenye hoja brother
 
Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni.Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1.NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3.Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Raiasi anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajiui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Hata hao wazungu wanatutegemea pia. Ndio asili ambavyo iliumbwa na Mungu.

Tatizo sio kuwategemea wao, ni kuheshimiana. Wasijisahau wakajiona wao ni mamonita na sisi weusi ndio wanafunzi wa kawaida.

Kuambiwa ukweli lazima waambiwe, Mwalimu Nyerere aliwaambia, hayati JPM aliwaambia na sasa SSH anawaambia.
 
Kumtawala mwafrika ni rahisi sana
Kama hata vyoo mnajengewa, lini mtajitawala?
 
Watalii waao kuja wanatoke Ulaya na Marekani, wakipiga Break unazania kuna watalii kutoka Burundi au Nigeria watakao waletea pesa? Heshimuni sana Wazungu.
Bila mzungu Dunia ingekuwa sehemu hatari sana kuishi.

Watu weusi na waarabu bado hawajafikia level za kuwa binadamu kamili.

Ndio maana kutwa kucha wanaleta machafuko duniani.

Watu weusi na waarabu hawawezi kujiongoza wenyewe.

Na ndio watu wenye umaskini na ufukara mkubwa duniani.
 
Hata hao wazungu wanatutegemea pia. Ndio asili ambavyo iliumbwa na Mungu.

Tatizo sio kuwategemea wao, ni kuheshimiana. Wasijisahau wakajiona wao ni mamonita na sisi weusi ndio wanafunzi wa kawaida.

Kuambiwa ukweli lazima waambiwe, Mwalimu Nyerere aliwaambia, hayati JPM aliwaambia na sasa SSH anawaambia.
Wao ni mamonita, sisi ndio wanafunzi kwani uongo?

Kwenye msiba viongozi wako wote walipandishwa usafiri public isipokuwa Miamba wachache wa dunia.
 
Wao ni mamonita, sisi ndio wanafunzi kwani uongo?

Kwenye msiba viongozi wako wote walipandishwa usafiri public isipokuwa Miamba wachache wa dunia.
Ujinga fulani kulikuza suala la kupandishwa kwenye public transport.

Tatizo la wasomi wetu wa afrika ni kujiona wadogo kwa kila linalofanywa na viongozi wao. Kwenye hiyo public transport alikuwepo pia Rais wa Ufaransa ambayo ni nchi kubwa duniani.
 
Ujinga fulani kulikuza suala la kupandishwa kwenye public transport.

Tatizo la wasomi wetu wa afrika ni kujiona wadogo kwa kila linalofanywa na viongozi wao. Kwenye hiyo public transport alikuwepo pia Rais wa Ufaransa ambayo ni nchi kubwa duniani.
Ndio uelewe kuhusu levels.

Utapata shida sana popote uwapo usipokubali hili.
 
Back
Top Bottom