ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Hata kiwanda Cha chupi huna hapa tanzania.una akili wewe??Uoga na fikra za kipunda ndio mtaji mzuri kwa wazungu kumtawala mwafrika upuuzi tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kiwanda Cha chupi huna hapa tanzania.una akili wewe??Uoga na fikra za kipunda ndio mtaji mzuri kwa wazungu kumtawala mwafrika upuuzi tu!
Wa kutoka chama kipi? 😑Ma
Mabeberu ni mabwana wa Wapinzani
Hawajawahi kuwa mabwana wa wapinzani, ila mabwana wa Rais wa Tanzania na serikali yake kwa kuwa wao ndiyo wafaidika na miradi yote na misaada na mikopo yote. Hivi wakikata hata nauli ya Kwenda Kizimkazi itakuwa hakunaMa
Mabeberu ni mabwana wa Wapinzani
Wapi kasema inaweza survive bila wazungu?Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.
1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?
2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.
3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?
Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.
Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?
Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Kiberiti na box lakeHata kiwanda Cha chupi huna hapa tanzania.una akili wewe??
Unaona ni habari kubwaa mwenyewe uliyokariri!Hata kiwanda Cha chupi huna hapa tanzania.una akili wewe??
Nafungua majembe kwenye trekta nakuja kukujibu!Hata mshahara wako wewe Kipara na unanunua bando kuongea hapa upo subsidized na wazungu!!!!!!!!!!!!
😀 😀Hizi ni Lugha za wendawazimu kutoka Kwa vibaraka wao.
Jiwe Magu aliwawashughulikia na kuwakoromea,Je Tanzania ilikufa?
Subirieni nyie vibaraka mje kushika Nchi ndio mta surrender sovereignty Kwa hao bwana zenu ila sisi haiwezi tokea.
Toka enzi ya Mwl tulikataa kupandws kichwani na Mabeberu na Sasa tunakataa.
Hongera Rais Samia,vibaraka lazima watokwe povu Kwa Ajili umewachana makavu bwana zao.
Unalima nyanya?Nafungua majembe kwenye trekta nakuja kukujibu!
Diaspora waliitwa ? Na hao wazungu wanaomiliki hekari kadhaa bongo ...Nchi inaweza kuweka estrictions hata wakisema tusitumie vitu kutoka nchi fulani inawezekana ...Ndio maana ulaya bangi ni halali ila bongo haifai .Diaspora wa huko wanakuangaliaje?
Umechomwa ndui wewe au unaropokwa tu? Chanjo ya polio kakupa mchina? Angalia mkono wako wa kushoto huna ndui? Aliekupiga hio ndui unamjua?Diaspora waliitwa ? Na hao wazungu wanaomiliki hekari kadhaa bongo ...Nchi inaweza kuweka estrictions hata wakisema tusitumie vitu kutoka nchi fulani inawezekana ...Ndio maana ulaya bangi ni halali ila bongo haifai .
Kwa hiyo ni wazo la nchi husika , hata leo wakiamua kuwa mshirika wa china na ku'cut diplomatic ties na mzungu inawezekana na hakuna kitu mnaweza kufanya .
Ndio maana nikakuambia wewe ni bwege tena kiazi kabisa ,nchi ya TZ narudia haifungamani na nchi yoyote inapokea kokote ...Tz ni mshirika wa karibu wa Marekani miaka mingi tu . Kama angekuwa angekuwa hafungamani NA capitalism hata huyo USA tusingemjua mambo yake , tungebaki chini ya china ..Umechomwa ndui wewe au unaropokwa tu? Chanjo ya polio kakupa mchina? Angalia mkono wako wa kushoto huna ndui? , hio ndui unamjua?
sikia wewe hapa sio suala la uzungu ni suala ya kuzingatia conventions za kidunia zisemavyoMungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.
1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?
2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.
3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?
Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.
Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?
Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Unateseka teh teh tunasubiri ziara ya kuruka USAHizi ndio fikra za Chadema
Akili mgandoMungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.
1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?
2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.
3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?
Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.
Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?
Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Umewahi kufika uzunguni? Karibu 95% wazungu naoishi nao hapa hawajui Tanzania; na hawajawahi kufikiria kuja au kuhusu hiyo nchi unayotajaSio kweli, ni wazungu ndio hawawezi kuikosa Africa, kama hamuamini waambieni wasije, kwanini wanajileta leta?
Magufulu hakwenda kwao ila wao kutwa walikuwa hapa
Shen enzy type