Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

True
Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
True.
 
Hizi Airbus na Bombadier mnazopanda zipo controlled na hao wamarekani mnao wachafua, ndege zao zinatumia smart link system. Yaani wakiamua kuwamaliza ni swala la sekunde tu.
Waliokabidhi bongo zao Lumumba sio rahisi kuelewa hilo. Waulize kilichotokea kwa Hezbollah juzi- sio mabomu wala vifaru, teknolojia ya mzungu ilifanya kazi. Mtu asijejifungia magogoni akavimba kichwa.
 
Kwa maana nyingine unatwambia kwamba ni sahihi tu tuendelee kuwa watumwa wa hao mabwana kwa maana ya kupangiwa maisha mpaka kiama kisa tu tunawategemea kwenye hayo mambo uliyoyataja si ndio maanake?

Sasa kwa mawazo haya akiwaambia nyie hamna tofauti na manyani Bado mnahisi mmetukanwa??
 
Unasema jimbo moja la US linaizidi Afrika nzima kiuchumi? Mkuu, achana na Afrika, hata Russia yenyewe imeachwa na baadhi ya majimbo ya US.
 
Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Acha yote hayo

Kuna hadi vidonge vya ARV hadi polio hadi vidonge vya malaria hadi neti ya mbu wanatoa wao

Wakikata hivyo vidonge tu hatuna nchi
 
Kwa maana nyingine unatwambia kwamba ni sahihi tu tuendelee kuwa watumwa wa hao mabwana kwa maana ya kupangiwa maisha mpaka kiama kisa tu tunawategemea kwenye hayo mambo uliyoyataja si ndio maanake?

Sasa kwa mawazo haya akiwaambia nyie hamna tofauti na manyani Bado mnahisi mmetukanwa??
Kwa nini Royal tour haijaenda kuzinduliwa China?
 
Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.

Wa Kwanza Mungu wa Pili mzungu! Aache Kudemka ,anapiga makelele halafu anatembeza BAKULI.
 
Bila mzungu Dunia ingekuwa sehemu hatari sana kuishi.

Watu weusi na waarabu bado hawajafikia level za kuwa binadamu kamili.

Ndio maana kutwa kucha wanaleta machafuko duniani.

Watu weusi na waarabu hawawezi kujiongoza wenyewe.

Na ndio watu wenye umaskini na ufukara mkubwa duniani.
Wanaweza kujiongoza usiwanyanyapae wewe! Shida mzaha tu
 
Jpm alikimbilia wachina wakamnyosha.

Mchina hana huruma na mtu ambaye anashindwa kuendesha nchi yake vizuri na a ashi dwa kudhibiti Rushwa na ufisadi harafu akimbilie kwake kutafuta misaada. China wako macho hawana masihara.
Yap hilo lipo wazi
 
Back
Top Bottom