Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.

1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?

2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.

3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?

Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.

Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?

Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Hizi ni Lugha za wendawazimu kutoka Kwa vibaraka wao.

Jiwe Magu aliwawashughulikia na kuwakoromea,Je Tanzania ilikufa?

Subirieni nyie vibaraka mje kushika Nchi ndio mta surrender sovereignty Kwa hao bwana zenu ila sisi haiwezi tokea.

Toka enzi ya Mwl tulikataa kupandws kichwani na Mabeberu na Sasa tunakataa.

Hongera Rais Samia,vibaraka lazima watokwe povu Kwa Ajili umewachana makavu bwana zao.
 
Hizi ni Lugha za wendawazimu kutoka Kwa vibaraka wao.

Jiwe Magu aliwawashughulikia na kuwakoromea,Je Tanzania ilikufa?

Subirieni nyie vibaraka mje kushika Nchi ndio mta surrender sovereignty Kwa hao bwana zenu ila sisi haiwezi tokea.

Toka enzi ya Mwl tulikataa kupandws kichwani na Mabeberu na Sasa tunakataa.

Hongera Rais Samia,vibaraka lazima watokwe povu Kwa Ajili umewachana makavu bwana zao.
Diaspora wa huko wanakuangaliaje?
 
Hata Simu Na Ndege Ni Wazungu.Katika Afya asilimia Kubwa Ni Wazungu,,Madawa ya ukimwi Ni Wazungu,,Kujenga vyoo mashuleni,,.Hawa Watu kiukweli wanatuongoza Bila kujua..Wazungu wanatuongoza...
Kila Siku tunakimbilia Huko
Mpaka kipaza Sauti, Speaker na TV nyingi plus media platform zote 😑
 
Watalii waao kuja wanatoke Ulaya na Marekani, wakipiga Break unazania kuna watalii kutoka Burundi au Nigeria watakao waletea pesa? Heshimuni sana Wazungu.
Mkuu ikulu hakujawahi kuwa na njaa, njaa itaangamiza kote lakini si ikulu.
 
Africa ipo hapa ilipo sababu ya marginalization of developed countries (mbaya zaidi sasa hivi kuna shida ya mental slavery)

1726731121999.png

1726731140199.png
 
Umesema ukweli kabisa.kila kitu tunategemea wazungu.yeye mwenyewe kipindi kile anatangangaza royal tour yake uchwara alienda kufanya shopping kwenye maduka ya mabeberu sababu yeye Hana hata kiwanda kimoja Cha kutengeneza nguo
 
Back
Top Bottom