BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #21
SanaRais wa Tanzania amedhihirisha udhaifu mkubwa wa viongozi wengi wa Afrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaRais wa Tanzania amedhihirisha udhaifu mkubwa wa viongozi wengi wa Afrika
Kabisa, na Mchina hasamehi Madeni yake kamwe, Mchina ni nyoko yule,Jpm alikimbilia wachina wakamnyosha.
Mchina hana huruma na mtu ambaye anashindwa kuendesha nchi yake vizuri na a ashi dwa kudhibiti Rushwa na ufisadi harafu akimbilie kwake kutafuta misaada. China wako macho hawana masihara.
Hata Sinema ya kuwavutia waje tumecheza nao wenyewe!! Mr peterWatalii waao kuja wanatoke Ulaya na Marekani, wakipiga Break unazania kuna watalii kutoka Burundi au Nigeria watakao waletea pesa? Heshimuni sana Wazungu.
Nasikia ka cancel kwenda New York make anaona aibu.Aliifungua nchi sasa anaifunga.
Jiulize kwa nini hatujacheza na Wachina na Wahindi ile Royal tour?Hata Sinema ya kuwavutia waje tumecheza nao wenyewe!! Mr peter
MmmhRais wa Tanzania amedhihirisha udhaifu mkubwa wa viongozi wengi wa Afrika
Umekaa huko unajamba jamba tu kis333ng3 unafikir china unanunua bidhaa na ela ya TanzaniaSioni faida ya hao wazungu zaidi ya kuongezeka vitendo vya ushoga!
Utaweza kwenda kwa jirani kuomba unga baada ya kumdhihaki vibaya?Nasikia ka cancel kwenda New York make anaona aibu.
Tangulia pale chini ya mwembe kuna hela nimeiangusha inama uiokote nakuja!Umekaa huko unajamba jamba tu kis333ng3 unafikir china unanunua bidhaa na ela ya Tanzania
Kwani umetishiwa kutawaliwa?Uoga na fikra za kipunda ndio mtaji mzuri kwa wazungu kumtawala mwafrika upuuzi tu!
Una maoni gani kwenye hili!Kwani umetishiwa kutawaliwa?
Rais mwenyewe kutwa kiguu na njia kuzurura kwenye mataifa ya watu kuomba omba misaada ya kumnufaisha mwanae Abdul na machawa wake.Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni.Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.
1.NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?
2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.
3.Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?
Raiasi anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.
Wajinga hawajiui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?
Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
Kwa hiyo na wewe ni faida ya wazungu kuja ?Tangulia pale chini ya mwembe kuna hela nimeiangusha inama uiokote nakuja!
Rais kazingua, period.Una maoni gani kwenye hili!
Usisahau Chanjo watoto chini miaka 5 kwa miaka 60 Uhuru tunapewa bure .....Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni.Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.
1.NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?
2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.
3.Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?
Raiasi anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.
Wajinga hawajiui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?
Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.