Tanzania hajawahi kutokea vocalist kama Barnaba Classic

Tanzania hajawahi kutokea vocalist kama Barnaba Classic

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Barnaba Classic aka Mopao ama kwa hakika ndio the best vocalist of all time. Hii nchi haijawai kupata fundi wa kucheza na sauti kama Barnaba.

Anajua kufungua koo. Kwenye melodies ni noma na nusu. Pia akiimba unaipata ile fleva.

Album mpya aloachia leo imejaa ufundi mtu hauwezi kuruka wimbo hata mmoja ni pipi tu umo ndani.

Kanyaga twende Barnaba tumechelewa sana.

1660722563953.png
 
Ipo nafasi yake lakini usimkabidhi Nchi kwa mahaba yako binafsi kama mgeni katika Taifa hili! Unamjua Mzee Zorro au ulikuwa hujazaliwa? Banana je? Ngoja nifanye shughuli zangu nyingine kwanza.
 
Ipo nafasi yake lakini usimkabidhi Nchi kwa mahaba yako binafsi kama mgeni katika Taifa hili! Unamjua Mzee Zorro au ulikuwa hujazaliwa? Banana je? Ngoja nifanye shughuli zangu nyingine kwanza.
Inawezekana wewe unamapenzi na vocal nzito
 
Alikuwepo jomba anaitwa QChilla , siku ya kwanza namsikiliza kwenye kiitikio cha mpiga debe nilijua ni demu.

Ile sauti ilipotelea wapi?
Wengi hawamjui humu. Tumepata mavocalist wazuri sana hapa Tz. Achana na hao wa muziki wa ki dunia. Makanisani, misikitini wapo wengi sana.
Ila ktk mziki wa duniani Q chilla, Ben Paul, Mr. Paul, Aliyeimba Aifola, Aliyeimba Sumu ya Teja, Zahir Ally Zoro Family, Gurumo Hawa ni baadhi tu
 
Back
Top Bottom