Tanzania hajawahi kutokea vocalist kama Barnaba Classic

Uliowataja hapo vocalist mkali ni mzee zahir tuu
 
wapo ila huyu ni mpambanaji kuna wapambanaji wenzake pia.Vipani ni vingi ndugu ila wapi pa kusikikia sasa ndo changamoto.Wanakosa jukwaa la kuonyesha uwezo wao
 
NI wengi wengine sio maarufu hatuwajui hawajapata nafasi
 

Hunijui mimi wewe
 
Naona Clouds media sasa wamesurrender.. wameanza dondosha wasanii wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…