Tanzania hakuna mgawo, South Africa inatisha, mgao ni wa kutisha!

Tanzania hakuna mgawo, South Africa inatisha, mgao ni wa kutisha!

Sababu Ukraine wanapigana sisi Ujambazi na Wizi wa hapa na pale inabidi tusilaumu....

Kwanini tusijifananishe Na nchi ambazo hazina Mgao ? Hii kwa lugha ya Ughaibuni tunaweza kuita Mediocrity...

NB: Binafsi SA hawachukui Kodi yangu hivyo kila la Kheri kwao... (ila hawa kama wameshindwa kazi waachie ngazi)
 
Back
Top Bottom