Tanzania hakuna uhusiano kati ya pesa na uwezo darasani

Tanzania hakuna uhusiano kati ya pesa na uwezo darasani

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Hadi sasa hakuna mahusiano kati ya uwezo mkubwa darasani na maisha mazuri.

Nilipokuwa shule ya msingi kulikuwa na mabinti watatu pale darasani wenye uwezo mkubwa, wao namba mbili hadi nne, lazima washike wao, cha ajabu ni mmoja tu alifanikiwa kumaliza darasa la saba, wawili walipata mimba darasa la sita, hata yule aliyefanikiwa kumaliza la saba naye aliishia form two.

Kiufupi wale mabinti wamepoteana na maskini mmoja alitangulia kwa ugonjwa wa taifa. Tulipokuwa Olevel mkali wetu pale darasani, yule bwana hata msomaje lazima awongozee masomo yote.

Cha ajabu alikwenda A level, baada ya hapo chuo kusoma computer science ajira anatafuta hadi kaona siyo poa, leo ni mwalimu wa hesabu private school analipwa laki kazaa basi kiufupi kapoteana.

The same chuo niliosoma nao wengi tu tunamaisha magumu sana, lakini kote huko toka primary to chuo wale wakawaida wana vinafasi flani kiufupi wanaenjoy maisha, higher p.
 
Kusoma ni jitihada tu kila mwenye akili anaweza soma. Kuwa na Mali na maisha mazuri mpka Mungu mwenyewe atake mzee. Kuna matajiri darasa la saba na masikini pia na kuna matajiri level ya chuo huko na masikini pia wenye degree wapo wengi sana, maisha hayana formular kijana.
 
Hadi sasa hakuna mahusiano kati ya uwezo mkubwa darasani na maisha mazuri.

Nilipokuwa shule ya msingi kulikuwa na mabinti watatu pale darasani wenye uwezo mkubwa, wao namba mbili hadi nne, lazima washike wao, cha ajabu ni mmoja tu alifanikiwa kumaliza darasa la saba, wawili walipata mimba darasa la sita, hata yule aliyefanikiwa kumaliza la saba naye aliishia form two.

Kiufupi wale mabinti wamepoteana na maskini mmoja alitangulia kwa ugonjwa wa taifa. Tulipokuwa Olevel mkali wetu pale darasani, yule bwana hata msomaje lazima awongozee masomo yote.

Cha ajabu alikwenda A level, baada ya hapo chuo kusoma computer science ajira anatafuta hadi kaona siyo poa, leo ni mwalimu wa hesabu private school analipwa laki kazaa basi kiufupi kapoteana.

The same chuo niliosoma nao wengi tu tunamaisha magumu sana, lakini kote huko toka primary to chuo wale wakawaida wana vinafasi flani kiufupi wanaenjoy maisha, higher p.
Ni duniani kote na siyo Tanzania pekee! Na kuna sababu zake.
 
Nilitaka kuandika essay nzima ila hii option ya jf kwamba someone is typing in very uncomfortable.
Ila yes kuna uhusiano kati ya elimu na uwezo wa darasani na uwezo wa kutafuta pesa.
 
Mali inatafutwa kwa njia nyingi na za ajabu sana. Huku mitandaoni hatusikii watu wakielezea walivyo elimika kwa kwenda kwa sangoma. Ila wa kutafuta utajiri na madhila ya ulozi wako wa kumwaga.
 
Hadi sasa hakuna mahusiano kati ya uwezo mkubwa darasani na maisha mazuri.

Nilipokuwa shule ya msingi kulikuwa na mabinti watatu pale darasani wenye uwezo mkubwa, wao namba mbili hadi nne, lazima washike wao, cha ajabu ni mmoja tu alifanikiwa kumaliza darasa la saba, wawili walipata mimba darasa la sita, hata yule aliyefanikiwa kumaliza la saba naye aliishia form two.

Kiufupi wale mabinti wamepoteana na maskini mmoja alitangulia kwa ugonjwa wa taifa. Tulipokuwa Olevel mkali wetu pale darasani, yule bwana hata msomaje lazima awongozee masomo yote.

Cha ajabu alikwenda A level, baada ya hapo chuo kusoma computer science ajira anatafuta hadi kaona siyo poa, leo ni mwalimu wa hesabu private school analipwa laki kazaa basi kiufupi kapoteana.

The same chuo niliosoma nao wengi tu tunamaisha magumu sana, lakini kote huko toka primary to chuo wale wakawaida wana vinafasi flani kiufupi wanaenjoy maisha, higher p.
Alisomea ualimu wa hesabu?
 
Usisahau pia wale waliofeli darasani idadi yao ni kubwa wapo na hali ngumu mtaani mtu yupo mtaani miaka saba tangu amalize darasa la saba ama A level wewe unakuja maliza chuo unarudi mtaani unakuta jamaa bado anajitafuta
 
Lkn pia toka zamani ......kusoma Ni kwaajili ya kuelimika ili kutatua changamoto za kimazingira.....

Refer to wasomi mbalimbali....kina isac Newton, garilei garileo, plato, enstein,......
Je walikua matajir,,,,,????
 
Lkn pia toka zamani ......kusoma Ni kwaajili ya kuelimika ili kutatua changamoto za kimazingira.....

Refer to wasomi mbalimbali....kina isac Newton, garilei garileo, plato, enstein,......
Je walikua matajir,,,,,????
tumakaririshwa vibaya ukisoma 'lazima' uwe tajiri,

kama ulikua kipanga basi mbeleni 'lazima' uwe tajiri 'sana'
 
Hadi sasa hakuna mahusiano kati ya uwezo mkubwa darasani na maisha mazuri.

Nilipokuwa shule ya msingi kulikuwa na mabinti watatu pale darasani wenye uwezo mkubwa, wao namba mbili hadi nne, lazima washike wao, cha ajabu ni mmoja tu alifanikiwa kumaliza darasa la saba, wawili walipata mimba darasa la sita, hata yule aliyefanikiwa kumaliza la saba naye aliishia form two.

Kiufupi wale mabinti wamepoteana na maskini mmoja alitangulia kwa ugonjwa wa taifa. Tulipokuwa Olevel mkali wetu pale darasani, yule bwana hata msomaje lazima awongozee masomo yote.

Cha ajabu alikwenda A level, baada ya hapo chuo kusoma computer science ajira anatafuta hadi kaona siyo poa, leo ni mwalimu wa hesabu private school analipwa laki kazaa basi kiufupi kapoteana.

The same chuo niliosoma nao wengi tu tunamaisha magumu sana, lakini kote huko toka primary to chuo wale wakawaida wana vinafasi flani kiufupi wanaenjoy maisha, higher p.
Sio ajabu,hii nchi Bado,wenye IQ kubwa hawapati nafasi,hawapelekwi kwenye taasisi nyeti kama usalama,BOT,auIkulu,TPDC,Ili wakafanye mqajabu katika kuchakata data,kinachotokea,mazezeta watoto wa wakubwa ndio wanashika nafasi,FBI,CIA,wote Hawa huenda kwenye vyuo kama havard,MIT,kutafuta vipanga,hawafsnyi hivyo kwa bahati mbaya,wanajua umuhimu wa wenye "akili,"hapo lazima mwenye akili atapiga pesa,
Huku kwetu wenye akili wanasagishwa Rami!!
 
Back
Top Bottom