Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishamblock huyo jinga kitambo sana mwandishi uchwara tuJamaa anajua Tanzania mnapenda sana mpira. Ndio maana anajifanya mchambuzi sana, hasa mpira unaohusu Tanzania.
Tatizo jezi sio mchezajiTatizo jezi au mchezani?
tunaomba Mungu iwe hivyo, na siku ingine msimpe shetani nafasi, kuweni makini kwa kila kitu hata kama ni kidogo sana.
Nambari ya jezi.Tatizo jezi au mchezani?
Unataka kum check uraia Muha? Mtabishana toka dar hadi kigoma kwenye train.Mtoa mada mshenzi tu inabidi uchekiwe uraia
yaani aliyefanya hii mistake ni mjinga sanaWakuu,
Mwandishi wa habari za michezo wa Ghana, Micky Jr ameripoti kuwa, Tanzania inaweza kuondolewa kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco licha ya kufuzu, baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Pia, Soma:
Katika dakika ya 73 ya mechi yao ya kufuzu, Tanzania ilifanya mabadiliko na kumuingiza mchezaji aliyekuwa na jezi namba 26. Hata hivyo, kwenye orodha rasmi ya wachezaji iliyowasilishwa CAF kabla ya mechi, hakukuwa na mchezaji yeyote aliyekuwa ameambatanishwa na namba hiyo ya jezi.
- Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
- Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
- Hizi milioni 700 za Rais Samia kwa Taifa Stars, zinawahusu wachezaji walioitwa mara ya mwisho kufuzu AFCON 2025 au mgao ukoje?
Kwenye Media start list Ibrahim Mohamed Ame ambaye ndiye alivaa jezi namba 26 aliorodheshwa na namba 24, ambaye aliingia dakika ya 76 kuchukua nafasi ya Nahodha Mbwana Samatta.
Hao wanataka kulalamika kwa vile Ghana imetolewa. Kanuni hiyo inakataza kutumia acheazji ambao ni "ineligible" yaani hawana sifa kwa maana ya kuwa siyo raia wa nchi husika au walizuiwa kucheza au wale ambao majina yao hayakupelekwa. Haisemi kuwa namba ya jezi atakayovaa itakuwa ni ipi. Wachezaji wote wanaoingia kama subs hukaguliwa uhalali wao na refa wa mezani ndipo anaruhusiwa kuingia uwanjani.Wakuu,
Mwandishi wa habari za michezo wa Ghana, Micky Jr ameripoti kuwa, Tanzania inaweza kuondolewa kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco licha ya kufuzu, baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Pia, Soma:
Katika dakika ya 73 ya mechi yao ya kufuzu, Tanzania ilifanya mabadiliko na kumuingiza mchezaji aliyekuwa na jezi namba 26. Hata hivyo, kwenye orodha rasmi ya wachezaji iliyowasilishwa CAF kabla ya mechi, hakukuwa na mchezaji yeyote aliyekuwa ameambatanishwa na namba hiyo ya jezi.
- Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
- Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
- Hizi milioni 700 za Rais Samia kwa Taifa Stars, zinawahusu wachezaji walioitwa mara ya mwisho kufuzu AFCON 2025 au mgao ukoje?
Kwenye Media start list Ibrahim Mohamed Ame ambaye ndiye alivaa jezi namba 26 aliorodheshwa na namba 24, ambaye aliingia dakika ya 76 kuchukua nafasi ya Nahodha Mbwana Samatta.
Hiyo ndio list ya CAF?Dah noma jamaa kweli kwenye list aliorodheshwa kama namba 24View attachment 3158047
Hiyo jezi no 26 aliitoa wapiDah noma jamaa kweli kwenye list aliorodheshwa kama namba 24View attachment 3158047
Hawa TFF wajinga sana wanawaona wTZ hamnazo. Shida hapo ni jezi badala ya 24 aliyotakiwa kuvaa Ibrahim Ame amevalishwa jezi namba 26 ambayo haipo kabisa kwenye orodha siku hiyo.Taarifa hii ya TFF haijitoshelezi na haijibu hoja husika
Taarifa hiyo ilitakiwa ifafanunue huyo mchezaji aliyeingia sub alivaa jezi namba ngapi na ndiyo hiyo iliyowasilishwa kwa mamlaka husika kabla ya mechi?