IMF imeitega Tz Kwa kutaka kuipa mkopo wa kupambana na C - 19 na kuielekeza jinsi inapaswa ifanye ili ipewe huo mkopo
Ok, pale mwenye nacho anapotaka kumyang'anya zaidi mwenye kidogo, na Masikini
Mtu jasiri akitaka kurogwa na Mchawi huanza kwa kutishiwa tishiwa, mara sijui kesho hutaiona, mara sijui nitakufanya hiki na kile ili tu amwondolee ujasiri wake, amtie hofu na iwe vyepesi kwake kurogeka.
Maneno meeengi, na kikawaida, mtu hurogeka pindi anapokuwa amejawa na hofu ya kurogwa, hofu ya maisha ya itakuwaje sasa, mtu huyo ni rahisi saana kurogeka.
Kukubali mkopo wa IMF na masharti yake, kisa tu tukabiriane na ugonjwa hewa wa Corona nchini, ni kumruhusu shetani mla watu kwamba, tuko tayari afanye atakavyo kufanya, kwani tnaona huko Kwa wenzetu mambo yalivyo, baada tu ya kutiwa hofu na wakakubali kupewa mikopo hii.
Jambo la kujiuliza, Je, mpaka sasa, ni Kweli Tanzania tumeathirika mno kiasi cha kuhitaji msaada wa kifedha za masharti ambayo ndiyo yanayoambatana na maambukizi ya Corona kwa kasi kubwa?
Tanzania hatujawahi kufa njaa kwa sababu ya kutokukopa fedha za IMF ili kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Ila nina uhakika, endapo tukikubali kuingia huu mtego wa fedha hizo, Corona itasambaa kwa kasi ya ajabu!
Kwanza, tutakuwa tumefanya uongo Mbele za Mungu kusema, tumeathirika mno na tunahitaji msaada huo na wakati kila kitu Kinafanyika bila zingatio lolote!
Tanzania, Tumepewa nafasi nzuri Sana na Mwenyezi Mungu wa kujifunza kutoka mataifa mengine yaliyopokea misaada hiyo pamoja na kufuata masharti yake jinsi ambavyo watu wake walivyotabika, na bado tumeendelea kujifunza tena Kwa mataifa ambayo yaliyoanza kupokea chanjo.
Kwa hiyo sisi kama nchi, tusiishie tu kupata somo kutoka kwa mataifa mengine na somo Hilo lisitusaidie na kufanya tena kama walivyofanya wao. Itakuwa ni ujinga.
Tunahitaji kufanya tofauti na wao.
Mungu ibariki na kuilinda nchi yetu Tanzania.
Ok, pale mwenye nacho anapotaka kumyang'anya zaidi mwenye kidogo, na Masikini
Mtu jasiri akitaka kurogwa na Mchawi huanza kwa kutishiwa tishiwa, mara sijui kesho hutaiona, mara sijui nitakufanya hiki na kile ili tu amwondolee ujasiri wake, amtie hofu na iwe vyepesi kwake kurogeka.
Maneno meeengi, na kikawaida, mtu hurogeka pindi anapokuwa amejawa na hofu ya kurogwa, hofu ya maisha ya itakuwaje sasa, mtu huyo ni rahisi saana kurogeka.
Kukubali mkopo wa IMF na masharti yake, kisa tu tukabiriane na ugonjwa hewa wa Corona nchini, ni kumruhusu shetani mla watu kwamba, tuko tayari afanye atakavyo kufanya, kwani tnaona huko Kwa wenzetu mambo yalivyo, baada tu ya kutiwa hofu na wakakubali kupewa mikopo hii.
Jambo la kujiuliza, Je, mpaka sasa, ni Kweli Tanzania tumeathirika mno kiasi cha kuhitaji msaada wa kifedha za masharti ambayo ndiyo yanayoambatana na maambukizi ya Corona kwa kasi kubwa?
Tanzania hatujawahi kufa njaa kwa sababu ya kutokukopa fedha za IMF ili kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Ila nina uhakika, endapo tukikubali kuingia huu mtego wa fedha hizo, Corona itasambaa kwa kasi ya ajabu!
Kwanza, tutakuwa tumefanya uongo Mbele za Mungu kusema, tumeathirika mno na tunahitaji msaada huo na wakati kila kitu Kinafanyika bila zingatio lolote!
Tanzania, Tumepewa nafasi nzuri Sana na Mwenyezi Mungu wa kujifunza kutoka mataifa mengine yaliyopokea misaada hiyo pamoja na kufuata masharti yake jinsi ambavyo watu wake walivyotabika, na bado tumeendelea kujifunza tena Kwa mataifa ambayo yaliyoanza kupokea chanjo.
Kwa hiyo sisi kama nchi, tusiishie tu kupata somo kutoka kwa mataifa mengine na somo Hilo lisitusaidie na kufanya tena kama walivyofanya wao. Itakuwa ni ujinga.
Tunahitaji kufanya tofauti na wao.
Mungu ibariki na kuilinda nchi yetu Tanzania.