Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwa hakika siwezi kupoteza muda wangu au data kumtazama mchekeshaji wa Kibongo. Hawa wachekeshaji wetu mimi ninawaita waropokaji.
Comedy ya wenzetu wengi utacheka na kufurahi hata usipoielewa lugha wanayoitumia jukwaani.
1. Comedy ya Kibongo imekosa ubunifu.
2. Wanadhani mpaka leo mavazi yanaweza kumchekesha mtu.
3. Komedi ya Bongo ni kwa Watanzania tu kwani inabeba mazingira ya Kibongo tu.
4. Imejaa kelele(uropokaji) tu haijulikani inahusu nini.
Hebu cheki hii clip chini ujionee comedy ya wenzetu.
Comedy ya wenzetu wengi utacheka na kufurahi hata usipoielewa lugha wanayoitumia jukwaani.
1. Comedy ya Kibongo imekosa ubunifu.
2. Wanadhani mpaka leo mavazi yanaweza kumchekesha mtu.
3. Komedi ya Bongo ni kwa Watanzania tu kwani inabeba mazingira ya Kibongo tu.
4. Imejaa kelele(uropokaji) tu haijulikani inahusu nini.
Hebu cheki hii clip chini ujionee comedy ya wenzetu.