Tanzania hatuna Comedians bali tuna waropokaji tu. Comedians wa Kitanzania humwelewi kama hujui lugha anayotumia jukwaani

Tanzania hatuna Comedians bali tuna waropokaji tu. Comedians wa Kitanzania humwelewi kama hujui lugha anayotumia jukwaani

Lakini Joti anajitahidi sana ukweli usemwe,
Hao wengine sijaona ila kwa Joti angalau anaweza kukufanya ucheke, napenda anavyoweza kubadilika badilika kuanzia Mtoto, kijana mtukutu, kijana wa makamo, dada wa mjini hadi mzee kikongwe,

I love that.
Joti na marehemu mzee majuto(RIP) wamekua bora sana kwangu. Hawa wengine wanunue bando waone wenzao wanafanya nini
 
Ila masanja anajua kuchekesha Ila pale taifa alichemka kwa kweli tusiwe wanafki,
 
Comedy kwa bongo bado sana, upande wa stand up comedy mwelekeo umeanza nina imani baada ya miaka kadhaa tutafika mahali kwani kadri siku zinavyokwenda ndivyo vipaji vizuri zaidi vitazidi kuibuka. Kwa sasa namkubali Deogratious na Nalimi wanajitahidi ila wapunguze kurudiarudia vichekesho, hii sanaa inahitaji uweke vitu vipya kila leo.
 
Joti anakosa team nzuri tu ya kufanya nayo kazi ila joti ni legend wa level za kimataifa. Kuweza kuwa na character zaidi ya tano si kazi ndogo.

1.Mzee mwalubadu
2. Hami J
3. Asha ngedere
4. Yule character anaigiza kama dalali mara nyingi
5. Character akiigiza kama mtoto


Hii kitu ni wachache sana huweza.
Nishai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lakini Joti anajitahidi sana ukweli usemwe,
Hao wengine sijaona ila kwa Joti angalau anaweza kukufanya ucheke, napenda anavyoweza kubadilika badilika kuanzia Mtoto, kijana mtukutu, kijana wa makamo, dada wa mjini hadi mzee kikongwe,

I love that.
Joti scene zake za kuleta utata ndio huwa zinanikosha sana😂 kuna moja aliect kama dereva anamkazia boss! Nilicheka sana yani...

Au ile yupo na sista dukani af kaagiza condom akaanza kumkana mwenye duka😂😂😂 kwamba hajamtuma ampe condom bali colgate!
 
Kwangu comedy nzuri iwe ni ndani ya tukio sio comedy ya simulizi huwa siinjoy!
 
tanzania hakuna wachekeshaji wanaweza kuongea masaa na wala hucheki tanzania hakuna bongo movie zote ovyoo ni mapenzi na uchawi na mlinzi wa geti awe chalechale tanzania hakuna nyimbo za maana hakuna waimbaji nyimbo za matusi mwanzo mwisho na wanaozipenda nyimbo zao au movie zao ni wale tape yao ambao ndio wengi tanzania
 
kuna jamaa wa mambo na vijambo pale wasafi Tv wapo vizuri hasa chauloo kazoa😂, alilalamika shemeji yake anapika wali kilo mbili na wanaishi watatu anadai ni mateso
 
Joti scene zake za kuleta utata ndio huwa zinanikosha sana😂 kuna moja aliect kama dereva anamkazia boss! Nilicheka sana yani...

Au ile yupo na sista dukani af kaagiza condom akaanza kumkana mwenye duka😂😂😂 kwamba hajamtuma ampe condom bali colgate!
Mkuu
link za hizo video na sisi tukaongeze siku za kuishi
 
Mimi kwenye standup comedy namkubali Deogratius.
Yule nakubali anavyojua kuunga matukio halafu yaka make sense. Standup comedy lazima ujue lugha inayozungumzwa ndo utaelewa. Hata akina Kelvin Hart au Basket Mouth kama hujui lugha huwezi kucheka kwakuwa hutoelewa.
Mimi naenjoy zaidi standup comedy.
Yes yule jamaa Deograt atlist anaweza na anajitahidi kwasababu anajipanga na kufanyia mazoezi content zake,

kitu kingine me nimefutalia comedian wengi wa nje wale wa zamani kuna contents nyingi anazitoa huko na kuzi improve ziendane na mazingira yetu ya bongo!

Wengine hawana content wanapiga freestyle na bado hawawezi
 
Labda huyo. Everybody hates chris. Nilikuwa nacheka kinoma
Mfuatilie jamaa mmoja anaitwa eddie Griffin ,
Ana

You can tell em i said it, : itafute hii full


Voodoo child:


Freedom of speech :


I got a hookup :
 
Back
Top Bottom