Tanzania hatuna Comedians bali tuna waropokaji tu. Comedians wa Kitanzania humwelewi kama hujui lugha anayotumia jukwaani

Hebu eleza upeo wako kama ushauri, sio maneno tu kana kwamba una chuki na mtu fulani.

Au eleza kitengo cha fani yako ili tukukosoe bila kukushauri
 
Chris Rock
 

Mpe heshima yake king majito
 
Lakini Joti anajitahidi sana ukweli usemwe,
Hao wengine sijaona ila kwa Joti angalau anaweza kukufanya ucheke, napenda anavyoweza kubadilika badilika kuanzia Mtoto, kijana mtukutu, kijana wa makamo, dada wa mjini hadi mzee kikongwe,

I love that.
Joti anakosa team nzuri tu ya kufanya nayo kazi ila joti ni legend wa level za kimataifa. Kuweza kuwa na character zaidi ya tano si kazi ndogo.

1.Mzee mwalubadu
2. Hami J
3. Asha ngedere
4. Yule character anaigiza kama dalali mara nyingi
5. Character akiigiza kama mtoto


Hii kitu ni wachache sana huweza.
 
And its a load of crap.

Halafu wote wanaigana and end up being even more disgusting.
 
Kwa hiyo wana jf..... Baada ya juz masanja kuongea pumba ndo akawa siyo Comedian mzur???

Yaan miaka yote hiyo kwenye game masanja hajawah kuwachekesha????wanafik nyinyi

Kama mtu amekosea mkosoe maisha yaendelee ila nitakuwa wa mwisho kuamin et Masanja siyo mchekeshaj mzur
 
Imenilazimu kuangalia clip ya masanja aisee ameongea mashudu tupu pale taifa na yale mamiatu Kama yakike
 
Ma commedian wabongo wanasikitisha kweli wengine wanaume mpaka wavae vijora wapake na wanja ndio wanachekesha
 
Huwa nawaekewa sana comedians kutoka Kenya ndo wananmaliziaga mb zangu kule mjini yutubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…