Joti na marehemu mzee majuto(RIP) wamekua bora sana kwangu. Hawa wengine wanunue bando waone wenzao wanafanya niniLakini Joti anajitahidi sana ukweli usemwe,
Hao wengine sijaona ila kwa Joti angalau anaweza kukufanya ucheke, napenda anavyoweza kubadilika badilika kuanzia Mtoto, kijana mtukutu, kijana wa makamo, dada wa mjini hadi mzee kikongwe,
I love that.
Nishai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Joti anakosa team nzuri tu ya kufanya nayo kazi ila joti ni legend wa level za kimataifa. Kuweza kuwa na character zaidi ya tano si kazi ndogo.
1.Mzee mwalubadu
2. Hami J
3. Asha ngedere
4. Yule character anaigiza kama dalali mara nyingi
5. Character akiigiza kama mtoto
Hii kitu ni wachache sana huweza.
Joti scene zake za kuleta utata ndio huwa zinanikosha sana😂 kuna moja aliect kama dereva anamkazia boss! Nilicheka sana yani...Lakini Joti anajitahidi sana ukweli usemwe,
Hao wengine sijaona ila kwa Joti angalau anaweza kukufanya ucheke, napenda anavyoweza kubadilika badilika kuanzia Mtoto, kijana mtukutu, kijana wa makamo, dada wa mjini hadi mzee kikongwe,
I love that.
Ile kitu naweza irudia hata mara 10 ni bonge la sitcom😂Labda huyo. Everybody hates chris. Nilikuwa nacheka kinoma
yule fundi majeneza anafurahishaLabda huyo. Everybody hates chris. Nilikuwa nacheka kinoma
MkuuJoti scene zake za kuleta utata ndio huwa zinanikosha sana😂 kuna moja aliect kama dereva anamkazia boss! Nilicheka sana yani...
Au ile yupo na sista dukani af kaagiza condom akaanza kumkana mwenye duka😂😂😂 kwamba hajamtuma ampe condom bali colgate!
Ile kitu ni kali sana kila character mle inachekesha. Chris rock bonge la mbunifuIle kitu naweza irudia hata mara 10 ni bonge la sitcom😂
Yes yule jamaa Deograt atlist anaweza na anajitahidi kwasababu anajipanga na kufanyia mazoezi content zake,Mimi kwenye standup comedy namkubali Deogratius.
Yule nakubali anavyojua kuunga matukio halafu yaka make sense. Standup comedy lazima ujue lugha inayozungumzwa ndo utaelewa. Hata akina Kelvin Hart au Basket Mouth kama hujui lugha huwezi kucheka kwakuwa hutoelewa.
Mimi naenjoy zaidi standup comedy.
Mfuatilie jamaa mmoja anaitwa eddie Griffin ,Labda huyo. Everybody hates chris. Nilikuwa nacheka kinoma