physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Sio kweli.Hata wewe na mwingine mnajukumu la kuchangia.Nikikuwekea picha mnato na picha mjongeo na ukasikia sauti watoto (wanafunzi), walimu na wazazi wakilalamika kuhusu shule kukosa miundombinu na vitendea kazi utakubali kuwa serikali inakusanya kodi lakini hairudishi hiyo kodi kwa wananchi hasa wa vijijini!!???
Hii ipo uganda mkuuNa hii ya Nchi gani?View attachment 3233193
Wewe pia ni chawa,wa,upande wa upinzani.Mtoto wa kiume kuwa chawa wa mwanamke hizo ni dalili za kushikishwa ukuta.
Ding angepizi out tuuu hii shida isingekuwepo.Kwa hiyo wewe hujiamini kuwa ni Mwanaume? Au ni mpaka ujitangaze kuwa wewe ni mwanaume kama matangazo ya waganga wa kienyeji mitaani? Kwani watu hawafahamu kuwa wewe ni mwanaume? Au huwa wanakwambia wewe ni mwanamke?
Jukumu la kulipa kodi.Sio kweli.Hata wewe na mwingine mnajukumu la kuchangia.
The wasted spermWewe ni hasara kwa wazazi wako na Taifa.
Samia mwenyewe Hawezi ikataa hiyo picha we unakataa vipi?
Angepiga Coitus interruptus siyo angepata dhambi ya TobitiDing angepizi out tuuu hii shida isingekuwepo.
Kodi, kodi, kodi, kodi, tax payers,tax payers,tax payers, ndio wenye kustahili pongeziUnaposema wajibu unamaanisha nini? Kwani Nchi ngapi zimeshindwa kutimiza wajibu wao? Kwanini usipongeze kwa kazi nzuri iliyofanywa na serikali yetu?
Stupid question πΎπΎRais na Wabunge Tanzania hawalipi kodi.
Mjinga huyo analazimisha wote tuwe machawaKukosoa na kupongeza vyote viende sambamba
Shida ni wewe, kazi yako wewe ni kupongeza tu na hukosowi
Kwa nini unawakasirikia wanaokosoa?
Wewe sitiki kwenye eneo lako la kupongeza, waache wanaookosoa nao waendelee
Kwani huko kwingineko hawalipi kodi?Kodi, kodi, kodi, kodi, tax payers,tax payers,tax payers, ndio wenye kustahili pongezi
Mbozi ndio mnachoma matope kuwa tofali πΌWewe ndiye useme ni ya Nchi gani,mkoa gani,wilaya gani,kata gani,kijiji au mtaa upi na jina la shule ni lipi . Na siyo kuweka vipicha vya mitandaoni
Naona umeweka kichwani vile vitu pendwa vya IRinga. Maana ulichoandika unakijua Mwenyewe na akili zakoMbozi ndio mnachoma matope kuwa tofali πΌ
Kwani serikali ni nini? Na kuna aina ngapi za serikali?Kwani Nchi ambazo wanafunzi wao wanakaa chini na kukosa madarasa na huduma zingine.Je wao hawakusanyi kodi? Tujifunze kupongeza pale serikali inapofanya vizuri.
Wewe ndiye useme ni ya Nchi gani,mkoa gani,wilaya gani,kata gani,kijiji au mtaa upi na jina la shule ni lipi . Na siyo kuweka vipicha vya mitandaoni
Jibu swali hili kama una akili Timamu. Ni shule ipi ya msingi ya serikali wanaovaa sare aina hiyo hapa Nchini Tanzania?Mjinga mmoja wewe Kuna Mhadhiri msaidizi wa chuo x alitembelea shule x Kwa ajili ya asesment ya wanafunzi wa field akapiga picha mazingira kikichomkuta ni historia. Na waliomganyia hayo ni watu wa aina Yako bumunda wewe Karne ya 21 unajisifia matundu ya choo yalojengwa Kwa msaada
ππππNaona umeweka kichwani vile vitu pendwa vya IRinga. Maana ulichoandika unakijua Mwenyewe na akili zako
Swala la shule inaitwaje , wilaya gani na mkoa gani haliendani na kichwa Cha habari Cha Uzi wako bwana Lukas.Ndugu zangu Watanzania,
Kumekuwa na utamaduni na tabia ya baadhi ya watanzania wachache wenye wivu na chuki binafsi za kuchukua picha mitandaoni kutoka Nchi za nje ya Tanzania na kuziweka mtandaoni na kusema ni Tanzania.
Picha hizo zimekuwa ni zile zenye kuchafua Taswira nzuri ya maendeleo na mafanikio tuliyoyapata na kufikia kama Taifa. Imekuwa ni kawaida kuona mtu anachukua picha ya wanafunzi au kipande cha barabara kibovu na kisicho pitika kutoka nchi fulani barani Afrika Na kusema ni Tanzania.
Lengo likiwa ni kuichafua na kuipaka Matope serikali yetu na kuonyesha kuwa haifanyi kazi. Jambo ambalo siyo la kweli hata kidogo. Kwa kuwa Watanzania wote wanafahamu namna serikali ilivyofanya kazi kubwa ya kusogeza huduma za kijamii karibu kabisa ya Mwananchi zenye ubora wa kiwango cha juu.
View attachment 3233233
Kuna picha hiyo hapo juu watu wameiweka mtandaoni ikionyesha wanafunzi waliovalia sare nyekundu kwa upande wa sketi na suruali pamoja na shati jeupe na kusema kuwa ni Tanzania wakiwa wamekaa kwenye matofali na darasa bovu la miti na lililokandikwa kwa udongo huku likiwa linapitisha Maji Matupu chini . Jambo hilo ni la uongo kwa sababu hakuna sare ya aina hiyo inayotumika na kuvaliwa na wanafunzi katika shule za serikali kwa upande wa shule za Msingi.
Rai yangu ni kuwaasa na kuwataka watanzania kuacha tabia hiyo mbaya na isiyokubalika ya kuichafua na kuipaka Matope serikali yetu kwa chuki binafsi. Tuache kueneza upotoshaji na habari za uongo kwa malengo Binafsi. Tuendelee kuiunga Mkono serikali yetu na kushiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na kulinda Miundombinu na miradi ambayo imekuwa ikijengwa kila kona ya Nchi yetu pasipo kumchangisha hata mia Mwananchi.
Embu Tazama hapa kama Sample Namna serikali yetu ilivyojenga shule kwa ubora na kuvutia Utafikiri ulaya pasipo kuomba michango kutoka kwa watanzania.
View attachment 3233120View attachment 3233121
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Imekuharibu sana kichwani ππππππ
Bamboo juice
Kwani ukikubali unapata hasara gani? Hao waliopo kwenye picha wanakubali na kujadiliana nini kifanyike, lakini nguruwe wewe unagoma hautaki ukweli!Mimi siyo kapuku kama wewe.