Tanzania hatuna shule inayovaa sare ya aina hii. Acheni kuichafua na kuipaka matope Serikali yetu iliyojenga madarasa bora mpaka vijijini huko

Tanzania hatuna shule inayovaa sare ya aina hii. Acheni kuichafua na kuipaka matope Serikali yetu iliyojenga madarasa bora mpaka vijijini huko

Huu uzi niliuona jana kwa haraka ila sikuona mwandishi sasa Leo ndo naona mwashambwa aisee wewe kaka una roho mbaya saaana zunguka mwenyewe uone CCM wanachowafanyia watoto wetu.zaidi ya 40% wanakaa chini tena mjini.kwa kweli Mimi kama muujiza unakuja napata madaraka nawanyonga wanaccm wote.
 
Huu uzi niliuona jana kwa haraka ila sikuona mwandishi sasa Leo ndo naona mwashambwa aisee wewe kaka una roho mbaya saaana zunguka mwenyewe uone CCM wanachowafanyia watoto wetu.zaidi ya 40% wanakaa chini tena mjini.kwa kweli Mimi kama muujiza unakuja napata madaraka nawanyonga wanaccm wote.
Acha uongo wako hapa wewe. Serikali imejenga madarasa mazuri na bora kuwahi kutokea katika Historia ya Taifa letu.
 
Niwie radhi mkuu, huyu tumuite msukule.
Huyu hata ukiweka mavi na yeye mavi yanabakia kuwa yana thamani kwa kuwa mavi yanatoa hata mbolea......

Hata misukule ina faida kwani inashiriki katika njia za uzalishaji ingawa katika mazingira tata.......

HUYU NI MWENDAWAZIMU....maana mwendawazimu hawezi kutumika kwenye jambo lolote lile....
 
Acha uongo wako hapa wewe. Serikali imejenga madarasa mazuri na bora kuwahi kutokea katika Historia ya Taifa letu.
Mkuu uongo unisaidie nini??fanya utafiti mwenyewe kabla ya kusifia watoto wengi wanakaa chini ni kama wapo vitani kule goma.
 
Huyu hata ukiweka mavi na yeye mavi yanabakia kuwa yana thamani kwa kuwa mavi yanatoa hata mbolea......

Hata misukule ina faida kwani inashiriki katika njia za uzalishaji ingawa katika mazingira tata.......

HUYU NI MWENDAWAZIMU....maana mwendawazimu hawezi kutumika kwenye jambo lolote lile....
Umesamehewa makosa yako yote bure kabisa maana hujui ulitendalo. Ukikua na kukomaa akili utaacha kufanya ujinga. Ila kwa sasa bado hujawahi na akili Timamu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kumekuwa na utamaduni na tabia ya baadhi ya watanzania wachache wenye wivu na chuki binafsi za kuchukua picha mitandaoni kutoka Nchi za nje ya Tanzania na kuziweka mtandaoni na kusema ni Tanzania.

Picha hizo zimekuwa ni zile zenye kuchafua Taswira nzuri ya maendeleo na mafanikio tuliyoyapata na kufikia kama Taifa. Imekuwa ni kawaida kuona mtu anachukua picha ya wanafunzi au kipande cha barabara kibovu na kisicho pitika kutoka nchi fulani barani Afrika Na kusema ni Tanzania.

Lengo likiwa ni kuichafua na kuipaka Matope serikali yetu na kuonyesha kuwa haifanyi kazi. Jambo ambalo siyo la kweli hata kidogo. Kwa kuwa Watanzania wote wanafahamu namna serikali ilivyofanya kazi kubwa ya kusogeza huduma za kijamii karibu kabisa ya Mwananchi zenye ubora wa kiwango cha juu.


View attachment 3233233

Kuna picha hiyo hapo juu watu wameiweka mtandaoni ikionyesha wanafunzi waliovalia sare nyekundu kwa upande wa sketi na suruali pamoja na shati jeupe na kusema kuwa ni Tanzania wakiwa wamekaa kwenye matofali na darasa bovu la miti na lililokandikwa kwa udongo huku likiwa linapitisha Maji Matupu chini . Jambo hilo ni la uongo kwa sababu hakuna sare ya aina hiyo inayotumika na kuvaliwa na wanafunzi katika shule za serikali kwa upande wa shule za Msingi.

Rai yangu ni kuwaasa na kuwataka watanzania kuacha tabia hiyo mbaya na isiyokubalika ya kuichafua na kuipaka Matope serikali yetu kwa chuki binafsi. Tuache kueneza upotoshaji na habari za uongo kwa malengo Binafsi. Tuendelee kuiunga Mkono serikali yetu na kushiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na kulinda Miundombinu na miradi ambayo imekuwa ikijengwa kila kona ya Nchi yetu pasipo kumchangisha hata mia Mwananchi.

Embu Tazama hapa kama Sample Namna serikali yetu ilivyojenga shule kwa ubora na kuvutia Utafikiri ulaya pasipo kuomba michango kutoka kwa watanzania.

View attachment 3233120View attachment 3233121

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hahaha .sioni cha ajabu hapo.mimi nilianza kusomea chini ya mti.leo ni daktari bingwa.
 
FB_IMG_17385154653234668.jpg
 
Back
Top Bottom