Tanzania hatuna waamzi wa mchezo wa mpira?

Tanzania hatuna waamzi wa mchezo wa mpira?

moyo wenye aman i

Senior Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
177
Reaction score
297
Wakati nasoma orodha kamili ya marefa watakaochezesha AFCON kuna marefa kutoka uganda kenya rwanda na burundi ila cha ajabu hakuna refa aliechaguliwa kutoka tanzania hii ni aibu aisee
 
Wakati nasoma orodha kamili ya marefa watakaochezesha AFCON kuna marefa kutoka uganda kenya rwanda na burundi ila cha ajabu hakuna refa aliechaguliwa kutoka tanzania hii ni aibu aisee
Mwenye aibu huchutama ila wao husimama,vipande vya fedha kwanza utu baadae!
 
Back
Top Bottom