Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mtanzania mzalendo.Acha kujitetea ww. Mmefeli big time makada nyie.
Top layer ya state house inaondoka ndani ya mwezi bado unaona shwari tuu kwamba everything is just fine.Mimi ni mtanzania mzalendo.
Mwana chama hai wa cdm no.xxxx mkoa wa iringa na kadi yangu nailipia.
Sema tu sio mbinafsi kwenye maslah mapana ya taifa
U have gt a point..big up kuliona hilo.. Chakujua tu ni kwamba there r pple answerable for dat...na kama wewe na mimi tumeyatazam na kuyajua hyo basi trust me wale wanaotumia zaid ya milango mi 5 ya ufahamu wanalijua hilo zaid.Tuwaachie wenye kaz zao wafanye kaziTop layer ya state house inaondoka ndani ya mwezi bado unaona shwari tuu kwamba everything is just fine.
hawa ndio wale cv zao zinakuwa na maelezo mengi, page nyingi na nakala kibao za mavyeti ya kozi fupifupi walizosomea. halafu ukiwapa ajira performance inakuwa zero.Njaa kali huyo anatafuta teuzi
Kwamba watu watatu tu ndiyo walifanikisha Osama kujulikana alipo acha kutupiga kamba we sema baada ya kujua alipo kwa kutumia CIA NA FBI haikutolewa lini watamshambulia OsamaMkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush Jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Nawe umekuwa mjinga, toka lini binadamu akaridhika?.Mkuu unakuwa mjinga kidogo.
Watu wasiporidhika ni vigumu sana kuwanyamazisha.
YOU CANT SILENCE THE WORLD.
Kwamba vyombo vingi vimenyamazishwa siyo kwamba watendaji wote wanaipenda hali hiyo.
Kila binadamu anayo nafsi inayomtuma kutenda sawa hata kama kuna watu hawapendi ukweli ujulikane.
Anachosema kina mantiki lakini!Mdau kuwa nae makini huyo anakuambia hana email insta wala twita humu jf kaingilia na nini???
[emoji16][emoji16][emoji16]kwani siwezi tumia email ya mtu yeyote kufanya registration Jf?.
Unavunjaje system nzima wakati hujui chanzo cha tatizo? Suppose information zina leak kwa njia ya system ya mawasialaiano yao kuwa hacked na watu walioko nje ya system yao? Kinachohitajika hapa kwa sasa ni kwamba wanatakiwa warekebishe mfumo wao wa mawasiliano na kuhakikisha kuwa hauwezi kuwa hacked. Wakishafanya hivyo na wakajiridhisha kabisa kuwa hakuna hacking inayoweza kufanyika, lakini still baada ya hapo kukaendelea kuwa na leakage ya taarifa zao, hapo ndiyo sasa wanaweza kurudi kwa watumiaji wa mfumo huo, na ndiyo hapo wanaweza kuvunja system iliyopo ila tu wawe na uhakika kabisa kuwa leakage hiyo haitokani na hackingNjia pekee ya kulitatua hilo ni kukubali kuivunja system yote ya usalama ile iliyopo karibu na Rais (ikulu),Kisha uundaji wake uzingatie weledi na sio ukada. Vinginevyo SAMIA ataongoza hii nchi akiwa kwenye pressure kubwa sana.
Mazuzu wa siku amazing in deed.Tunamilik smart phone..Makofi kwa mazuzu waote tafadhali 👏👏Zuzu wewe kwani hujui kuwa sisi wananchi tunaolipa kodi tumekuajiri?
Litazame kwanza.
Poa tu, si wamewaingiza wenyewe?TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.
zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.
na huu ni mwanzo.tu.
national security is at stake. ww unachukulia poa?Poa tu, si wamewaingiza wenyewe?
Kama huja3lewa Uliza sio kubishaKwamba watu watatu tu ndiyo walifanikisha Osama kujulikana alipo acha kutupiga kamba we sema baada ya kujua alipo kwa kutumia CIA NA FBI haikutolewa lini watamshambulia Osama
Verified wa JF ni wa kuwaamini ? mbona hukuuliza waliko waliomuua Ben Saanane au waliomuua Lissu hadi akafufuliwa na wakenya ? hivi mnadhani sisi ni wajinga kiasi hicho ? vile viroba vya maiti mnadhani hatukuviona ? sasa ni hivi , TUNAANZA UPYAAAAAAAAAA !!! LIWALO NA LIWE !
Watu 20 wengi sana hata mmoja, that's mole, mpaka personal file, makabrasha, emails, groups?
Kitendo cha siri za Magufuli, Maalim, kuwa nje, hali zao za kiafya pacemaker, sijui kuugua, kifo, kuanza kutangazwa mitandaoni kabla ya matamko rasmi ya kiserikali ni shida!
Media za nje zinaripoti, ni weaknesses mbaya SANA kwenye mfumo.
Na hili huenda limetokana na uwepo na ikulu 3, Dar, Dodoma na Chato. Watumishi wengi wasio na weledi wala tija. Watumishi waliotokea kwenye fitina za chama.
Compromising situation hazikwepeki but this is way too much in my opinion.
Wafumue mfumo! Watu wapelekwe kupanga mafaili mahakamani huko.
Everyday is Saturday................................😎