Recrutment ni mchakato utakaochukua muda mrefu sana, assuming your argument is correct. It's impossible (not that it is diffucult but IMPOSSIBLE, because a difficult thing is a possibe thing) kuwatoa hata nusu yao tu achilia mbali wote, kwa mkupuo halafu ukaweka wengine. That way might completely paralyse the system na utakuwa hauna unachokifanya. Unachosema wewe ni mchakato ambao unaweza ukachukua si chini ya miaka 10, yaani awamu zote mbili za utawla wa mama. But at the moment to begin with, waanze kwanza na hiyo technology. After all, swala la loyalty si ni maridhiano tu ya subordinates na superiors wao? Yanaweza yakafanyika maridhiano ndani ya muda huo na pengine yakasolve tatizo bila hata kubadiilisha watu. Ni swala tu la kutafuta na kuweza kuona huo ukosefu wa loyalty unatokana na nini, na ni swala ambao ni wao wenyewe wanaweza wakaulizwa katika utaratibu unaokubalika na wakasema.
Hata hivyo mimi nahisi tatizo kubwa linaweza kuwa ni infiltration, kunaweza kukawa na outsiders wengi sana ndani ya system. Hili ndiyo linaweza kuwa ni chanzo kikubwa kinachoweza kuwafanya hawa watu waonekane kama siyo loyal. Kwa upande wangu mimi kama raia tu wa kawaida, bado nawaamini sana hawa watu, pamoja na mapungufu yao hayo ambayo huwa yanasemwa mara kwa mara. Bado wanafanya kazi nzuri sana na ninawaombea Mungu azidi kuwabariki sana
However, approach yako iko sahihi tu kwa system ambayo ndiyo inaanza from the scrach, na siyo ile iliyopo siku zote ila inahitaji marekebisho ya hapa na pale
By the way, umemsoma pia huyu bwana
Wo shi niubi kwenye bandiko lake hili
#438