Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Kabisa kudadek
 
Story zaidi ongeza nyama
 
Yupo usalama uchwara tulifukuzia demu mmoja alipogundua nakaribia kumshinda akajitambulisha kuwa yeye ni usalama na bado akapigwa chini.
Wapi huyo mkoa story zaidi ongeza nyama
 
Naenda beach kidimbwi mwaka huu wote nikikosa deal ya. Kujiunga au KUPEWA mchongo wa Kuingia TISS NAKUUA
 
Tatizo linaonekana kuota sugu maana toka awamu ya tatu tunasikia lawama za inefficiency kwa taasisi. Total overhaul is the best option that could largely mitigate the risk. Why not take good brains from JWTZ, Magereza, uhamiaji na polisi.Wapo wengi tu tena utibu tatizo once n for good.
 
Top layer ya state house inaondoka ndani ya mwezi bado unaona shwari tuu kwamba everything is just fine.
That's why a total overhaul is inevitable. We need to forgo some benefits of the current.......in order to hedge this high risk exposure. Haikuji kabisa wajemeni
 
Top layer ya state house inaondoka ndani ya mwezi bado unaona shwari tuu kwamba everything is just fine.
That's why a total overhaul is inevitable. We need to forgo some benefits of the current.......in order to hedge this high risk exposure. Haikuji kabisa waje
 

I need a glass of wine maana dah
 
Tambueni ya kwamba utulivu ktk kazi na weredi ni hulka ya mtu na maswala ya watu kua makada,ungesema kizazi kinaenda kinabadilika tabia na kupoteza uzalendo nitakuelewa
 
Kama TISS walishindwa KUONA aliye record maiti ya Magufuli ni balaaa
 
Kigogo anakwambia Fulani kesho anatumbuliwa na kwl anatumbuliwa,anapata wapi taarifa? Kuna matobo yanapitisha hewa kwenye hii gari sio bure...ni hatari kwl mkuu...
 
Watanzania bwana, 1984 walisema Sokoine aliwawa na mtu fulani alijulikana kwa RK. Mfupi hivi,,,,,,,,,,
 
Habari JF,

Wote sisi ni mashahidi katika awamu iliyopita watu wengi waliibuka na kujizolea umaarufu pasipo kuwa na umashuhuri wowote zaidi ya kuvujisha siri za serikali katika mitandao ya kijamii.

Kuna watu walijizolea followers huko Twitter na Instagram kwa kuwa wakwanza kuhabarisha umma kwamba siku fulani rais atafanya nini, nani atatumbuliwa na kweli waliyokuwa wanayatabiri yalikuwa yanatimia kwa rais na viongozi kufanya vivyo hivyo kama taarifa zilivyokuwa zinatolewa na watu hao wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni.

Sasa tangu Rais Samia Suluhu akalie kiti cha urais mambo yote sasa yamebadilika na imebaki kitu Inaitwa BREAKING NEWS tu ikiwa na maana yake halisi.

Wanavujisha siri za serkali wamebaki wapiga ramli kama waganga wa kienyeji, utasikia wanajisemesha maRC maDC MARAS mDAS mjiandae leo au kesho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚

Eti PDF ni ndefu kidogo. Awamu iliyopita watu walikuwa wanapata mpaka hotuba aliyoandaliwa rais siku mbili kabla.

Yote hayo kwa sasa hawawezi kuyapata, Mheshimiwa Rais amedhibiti sekta hii wanaojiita wanaharakati wanaishia kutapatapa.

Kudos Rais Samia Suluhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…