Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,070
- 568
Mungu anataka utukane watu hivi?!Kizazi cha nyoka nyie,ni Bora ungetupwa kwenye Condom kuliko kuzaliwa ukiwa hai, useless kabisa wewe.
Nikiulizwa na Mungu Kati yako na Bata nichague kipi,nitachagua Bata...
Hovyo kabisa
1.72TRLTrillion 19 kwa Mwezi?
ila naona mama anatimu nzuri huku mtandaoni,Duuuh! Sikuuona huu uzi. Safi sana.
Hizi ndio propaganda machines ambazo mama anatakiwa kufanya nazo kazi, sio suala la kushangaa shangaa.
Rais atakuwa na sababu madhubuti ya kumpeleka kwenye michezo, Tanzania hatufanyi vizuri kwenye michezo unajua,Mkuu watumishi tumepandishwa madaraja. Ila aturudishie Mchengerwa wizarani.
Hahaha nchi ngumu sana hii hivi samia naye n rais au RAHISI?#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,
#KAZIIENDELEE NA MAMA
Toa sababu kama hutojali mkuuHahaha nchi ngumu sana hii hivi samia naye n rais au RAHISI?
HUYO N RAHISI kamwe hawez kuwa rais
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa utendaji wake wa Kaz toka ashike madaraka nimejiridhisha huyu mama n RAHISI n maamuma fulan aliyeokota dodo mtendeniToa sababu kama hutojali mkuu
Anatisha mno!Mama anatishaaa
Ni kipi hajakifanya?Kwa utendaji wake wa Kaz toka ashike madaraka nimejiridhisha huyu mama n RAHISI n maamuma fulan aliyeokota dodo mtendeni
Nje ya mada naomba kujua elimu yake ngaz ya shahada na kuendelea
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mmeanza tena 🤣🤣🤣!!! Yaan uchawa bas tu!Kama Taifa hebu tutafakari haya:
1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,
2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.
3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!
4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.
5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.
6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.
7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?
8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,
9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.
10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).
11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.
12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.
Nitaendelea na tafakuri yangu
Daaah
Haeleweki wapi?Kifupi hueleweki
Makamba bwanaKama Taifa hebu tutafakari haya:
1. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayeweza kuongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB,Simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano ili kufikisha wanafunzi wapya elfu 32 kwenye HESLB,
2. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa haki kwa wastani wa TZS 1.72 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote!!?.
3. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na mserereko?!!
4. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL!!?.
5. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021!!?.
6. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwa mkupuo kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.
7. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kwenye kila mkoa,Wote mnakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu Tanzania bara na visiwani.!!?
8. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tuliwahi kuwa na MRI Machine yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia Suluhu Hassan,
9. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakaye tununulia "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Huyu ni Rais anayekwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo Tanzania.
10. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya Sekondari na mengine elfu 3 ya Shule za Msingi shikizi, Hii ni Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya Serikali kujengewa madarasa mapya manne (4).
11. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayewapanga Wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma nyingine mbalimbali za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye Umasikini toka mwaka mmoja wa Uchaguzi na mwingine.
12. Ni lini tena baada ya huyu Tanzania tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana wote,walevi wa madaraka wote na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kwakujiamini ndani ya nchi yao huku akilifungua Taifa kimataifa.
Nitaendelea na tafakuri yangu
How?Nonsense
Natamani Rais mwenyewe angesoma hili andiko,Angekuwa mzuri zaidi angepunguza uwoga, angejiamini mwenyewe na angehakikisha anapenda haki,na kujiridhisha kuwa anachokosema amekifanyia utafiti. Angalia kesi ya Mbowe kadanganywa na kadanganyika, eti wenzie Mbowe walishafungwa akina Nani hai! Mkuu wa nchi mwenye vyombo vyote chini yako unafanganywa? Amesema Kuna 2025 fever inawasumbua wasaidizi wake mawaziri nitawatoa waende wakaendelee na 2025 election,angalia waliotolewa sijui Nani kati yao amewahi hata kuchukua fomu ya kugombea urais,unafanya mabadiliko mwenyewe halafu unashangaa mwenyewe,eti hawa sijawatoa watakuwa wasaidizi wangu Ikulu japo kazi zao hazipo kwenye utaratibu eeh!! Mbona wenzake wakimuhitaji mtu walimwita waziri asiye na wizara maalum basi! Hivyo,Kama kweli anataka legacy nzuri Ni kurekebisha hizo kasoro, Mzee Mwinyi,mchakato wa vyama vingi ulianzia kwake, kabla hata ya marekebisho ya katiba kuruhusu huo mchakato lakini watu walikuwa na vikao vya mchakato huo na Hakuna kupigwa mabomu,au kuwekwa ndani kwani Nini kilitokea? Mbona nchi ilitulia tu! Wamepita kina Mtikila na kudai Tanganyika, walisema mpaka kuuza Kanda za hotuba zao kwani kina madhara yaliyotokea zaidi ya kasoro ndogo ndogo tu. Lakini wenzake pamoja na kasoro zao waliheshimu Sana nafasi ya mihimili mingine. Nyerere na ubabe wake aliheshimu Sana uhuru wa mahakama,hata marehemu Francis Nyalali aliwahi shuhudia kuwa aliwahi kumhukumu kifungo mtu akiwa Hakimu wa Wilaya ya Musoma ambaye ni jamaa wa Nyerere, matokeo yake Nyerere alimheshimu mno. Mh. Jaji Warioba uchaguzi wa ubunge Mwaka 1990,ushindi wake ulitenguliwa na Jaji Mfalila pamoja na sifa ya kuwa alikuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais. Niishie Happ nampenda Sana japo natamani afanye vizuri kwa maoni yangu akirekebisha. Labda pengine wengi humu mlikuwa wadogo,Ni uhuru wa vyombo vya Habari. Kesi ya uhaini ya 1982 au 1983 hakukuwa na luninga wakati huo,lakini tulipata kila kitu kilichoendelea mahakamani utadhani tulikuwepo, kumbuka Ni utawala wa Nyerere wakati lakini hakuingilia uhuru wa waandishi wa habari japo karibu wote walikuwa ni watumishi wa serikali. Pamoja na udhaifu wa katiba yetu, Utashi wa mtu ni muhimu Sana.