Tanzania huwa kuna shida gani katika uteuzi wa Baraza la Mawaziri?

Tanzania huwa kuna shida gani katika uteuzi wa Baraza la Mawaziri?

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




IMG_20240830_102002.jpg


IMG_20240830_102010.jpg
 
Kwanza wawe makada wa chama ndo kipaumbele cha kwanza. Na makada wengi elimu sufuli au ya kuugauga, kazi wanazo weza ni uchawa
 
Kwanza wawe ma kanda wa chama ndo kipaumbele cha kwanza. Na makada wengi elimu sufuli au ya kuugauga, kazi wanaazo weza ni chawa
Sasa kwa hali hii titaendelea kua mikia miaka yote
 
Sasa kwa hali hii titaendelea kua mikia miaka yote
Wewe unamatumaini ya kubadili mifumo ya utawala wa nchi hi hivi karibuni baada ya miaka 10, 20 hapo ni day dreaming kwa generation hi hi ni after 100yrs au na zaidi.
 
Wewe unamatumaini ya kubadili mifumo ya utawala wa nchi hi hivi karibuni baada ya miaka 10, 20 hapo ni day dreaming kwa generation hi hi ni after 100yrs au na zaidi.
Waafrika tuna tatizo mahala
 
Kwanza wawe makada wa chama ndo kipaumbele cha kwanza. Na makada wengi elimu sufuli au ya kuugauga, kazi wanazo weza ni uchawa
Nimeangalia cv za baadhi ya mawaziri wa afya wa nchi za Africa, against our health minister, dah.
 
Una logic hata watanzania wengi wana mawazo kama yako, tatizo nafasi za uwaziri wanapewa wanasiasa .
 
Hakuna shule ya uwaziri duniani... waziri ni mwanasiasa tu anayesimamia maslahi au mawazo ya Rais kwenye wizara anayoongoza. Ni mtunga sera na msimamizi anayesaidiwa na wataalamu husika katika wizara aliyokabidhiwa. Shida sio taaluma ya wizara anayoongoza.....shida ni kuteua vilaza....
 
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Uko sahihi kabisa
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
those are political positions and not professional based post,

and by the way, those are appointments and not selections 🐒
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
Ulichoongea kinaitwa meritocracy....aina ya uongozi wa serikali ambako mtu huchaguliwa kutokana na uzoefu wa sector husika ..... wazuri katika kufanya hili ni wachina wameenda mbali sana hadi kutumia aina serikali inaitwa technocratic government..... yaaani hapa ili uwe kiongozi lazima uwe mwana sayansi china viongozi wao wengi ni mainjinia tu

Hili pia magufuli alijaribu kidogo ila hakuaa nalo seriously mfano afya alimueeka ndugulile.....

Sheria kabudi....... nimesahau sehemu nyingi alijitahid kuweka wenye fan zao......

Ila mwisho wa siku tanzania vyeo vya uwazir hutolewa kama shukrani ya nani alikusaidia kushinda uchaguzi.....pia wanasiasa wa muda mrefu
 
Back
Top Bottom