Tanzania huwa kuna shida gani katika uteuzi wa Baraza la Mawaziri?

Tanzania huwa kuna shida gani katika uteuzi wa Baraza la Mawaziri?

Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
Mteuaja anaa galia zaidi manufaa yake binafsi
 
Naunga mkono hoja, ni kama ulikuwa kwenye akili yangu,niliwaza sana kuhusu hilo. Katika Africa hasa hasa ni hizi ahadi kabla ya uchaguzi "nikienda ofisini nakuahidi uwaziri hata kama ni boya".
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
Mtendaji mkuu wa wizara ni Katibu mkuu wa wizara sio waziri. Uwaziri ni cheo cha kisiasa. Waziri hawezi hata kuandika barua ya kuajiri watu
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
sio lazima waziri awe mjuzi wa sekta hiyo,kwani wapo waajiriwa wa serikali kwenye wizara hiyo ndio watendaji na ni mabingwa wa sekta hiyo,waziri ni political figure
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
Urafiki na nasaba, badala ya uwezo
 
uwaziri ni cheo cha kisiasa, sasa wapewe nani mwengine?
Hapo hapo kwenye cheo cha kisiasa kwani hakuna wanasiasa wenye taaluma zinazoendana na nafasi wanayoteuliwa?

Kwamba hakuna mbunge ambaye ana fani ya udaktari akapewa nafasi ya waziri wa afya?
 
Hapo hapo kwenye cheo cha kisiasa kwani hakuna wanasiasa wenye taaluma zinazoendana na nafasi wanayoteuliwa?

Kwamba hakuna mbunge ambaye ana fani ya udaktari akapewa nafasi ya waziri wa afya?

Lakini bado anabaki kuwa mwanasiasa, malalmiko yenu ni kuwa hamtaki wanasiasa kwenye uwaziri, wakati vyeo vya uwaziri ni vya kisiasa.
 
Tuiombe Mamlaka ya uteuzi ifanye mabadiliko katika Wizara ya Fedha.
 
Lakini bado anabaki kuwa mwanasiasa, malalmiko yenu ni kuwa hamtaki wanasiasa kwenye uwaziri, wakati vyeo vya uwaziri ni vya kisiasa.
At least atakuwa na uelewa wa mambo yanayohusiana na wizara yake hata ufuatiliaji hautakuwa mgumu kama asingekuwa na taaluma husika.

Mtu asiye na taaluma ya wizara husika kudanganywa ni rahisi zaidi kuliko mwenye ubobevu wa taaluma husika.
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
Dr Jenister Mhagama(Diploma in Education)!
Hii kitaalamu tunasema,"ungaunga mwana tusonge"!
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589
Mie nauliza kwann ile sheria ilipelekwa jeshi lisikaguliwe na CAG manake we pay taxes and they get paid to save our country pesa wanazolipwa zinatokana na kodi zetu why wasikaguliwe??????
 
Mtendaji mkuu wa wizara ni Katibu mkuu wa wizara sio waziri. Uwaziri ni cheo cha kisiasa. Waziri hawezi hata kuandika barua ya kuajiri watu
Waziri ni msimamizi Mkuu wa sera katika sekta husika na Katibu Mkuu ni Mtendaji na msimamizi wa utumishi Wizarani.
 
Ndiyo maana mambo mengi hupindishwa kwa kivuli cha alishauriwa vibaya... Umenena vyema na wenye akili wataelewa, huwezi simamia sector/wizara kwa ufasaha ambayo ww mwenyewe huijui vyema structure na mianya yake
 
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!

Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?

Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa

Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!

Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha

Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?

Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje

Sasa apa anaongoza nini?

Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania




View attachment 3082588

View attachment 3082589 Makatibu wakuu wa wizara waongoze wizara. Wabunge wabaki bungeni waisimamie serikali
 
Kwanza wawe makada wa chama ndo kipaumbele cha kwanza. Na makada wengi elimu sufuli au ya kuugauga, kazi wanazo weza ni uchawa
Wewe jenista ana masters Cambridge 😁😄 nimecheka sana
 
Back
Top Bottom