Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Uwaziri sio lazima ufungamane na siasi ni mfumo wa kitapeli kwa sababu sisi hatuna serikali za majimbo .uwaziri ni cheo cha kisiasa, sasa wapewe nani mwengine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwaziri sio lazima ufungamane na siasi ni mfumo wa kitapeli kwa sababu sisi hatuna serikali za majimbo .uwaziri ni cheo cha kisiasa, sasa wapewe nani mwengine?
Mteuaja anaa galia zaidi manufaa yake binafsiMimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589
Mtendaji mkuu wa wizara ni Katibu mkuu wa wizara sio waziri. Uwaziri ni cheo cha kisiasa. Waziri hawezi hata kuandika barua ya kuajiri watuMimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589
Hata wanaoweza nao wanatolewaMbn hzo nafas za kisiasa zinawashinda
Ndo maana Taifa lipo kwenye umaskini ulio tukukaNafasi za Kisiasa wanaweza wanasiasa wenyewe, wataalamu waanzie level za Katibu Mkuu na CEOs
sio lazima waziri awe mjuzi wa sekta hiyo,kwani wapo waajiriwa wa serikali kwenye wizara hiyo ndio watendaji na ni mabingwa wa sekta hiyo,waziri ni political figureMimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589
Urafiki na nasaba, badala ya uwezoMimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589
Hapo hapo kwenye cheo cha kisiasa kwani hakuna wanasiasa wenye taaluma zinazoendana na nafasi wanayoteuliwa?uwaziri ni cheo cha kisiasa, sasa wapewe nani mwengine?
Hapo hapo kwenye cheo cha kisiasa kwani hakuna wanasiasa wenye taaluma zinazoendana na nafasi wanayoteuliwa?
Kwamba hakuna mbunge ambaye ana fani ya udaktari akapewa nafasi ya waziri wa afya?
At least atakuwa na uelewa wa mambo yanayohusiana na wizara yake hata ufuatiliaji hautakuwa mgumu kama asingekuwa na taaluma husika.Lakini bado anabaki kuwa mwanasiasa, malalmiko yenu ni kuwa hamtaki wanasiasa kwenye uwaziri, wakati vyeo vya uwaziri ni vya kisiasa.
Dr Jenister Mhagama(Diploma in Education)!Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589
Naunga mkono hoja ndio maana Rais Samia anapoteua ma professionals, tunampongeza
P
Mie nauliza kwann ile sheria ilipelekwa jeshi lisikaguliwe na CAG manake we pay taxes and they get paid to save our country pesa wanazolipwa zinatokana na kodi zetu why wasikaguliwe??????Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589
Waziri ni msimamizi Mkuu wa sera katika sekta husika na Katibu Mkuu ni Mtendaji na msimamizi wa utumishi Wizarani.Mtendaji mkuu wa wizara ni Katibu mkuu wa wizara sio waziri. Uwaziri ni cheo cha kisiasa. Waziri hawezi hata kuandika barua ya kuajiri watu
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba!
Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo?
Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua askari mstaafu aliyetumikia jeshi miaka mingi huyu anaweza kua na experience na akajua hata ufujaji na ufuatiliaji wa mambo bila kudanganywa
Vile vile waziri wa afya anaweza kua daktari bingwa aliyehudumu si chini ya miaka hata 20 au 30 huyu hata akienda kukagua miradi ya afya hawezi kudanganywa kitu maana vitu anavijua kabisa!
Waziri wa Ujenzi anaweza kua engineer mzoefu mwenye experience ya kutosha
Tofauut na sasa. Mwalimu anaeeza kuwa waziri wa Afya unategemea akienda hata hospitali kama muhimbili kufanya ziara hatadanganywa?
Unakuta waziri wa afya hajui hata mashine ya usingizi inafananaje? Waziri wa afya hajui hata dawa zinanunuliwaje na zinapigwaje?
Waziri wa afya hajui utunzaji wa dawa ukoje
Sasa apa anaongoza nini?
Mfano hapo chini kwenye picha angalia utofauti kati ya waziri wa afya wa Rwanda na wa Tanzania
View attachment 3082588
View attachment 3082589 Makatibu wakuu wa wizara waongoze wizara. Wabunge wabaki bungeni waisimamie serikali
Wewe jenista ana masters Cambridge 😁😄 nimecheka sanaKwanza wawe makada wa chama ndo kipaumbele cha kwanza. Na makada wengi elimu sufuli au ya kuugauga, kazi wanazo weza ni uchawa