Tanzania ichukue maamuzi magumu ijenge kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe

Tanzania ichukue maamuzi magumu ijenge kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Tanzania ni nchi yenye potential kubwa ya deposit ya makaa ya mawe kwenye mikoa ua Mbeya, Ruvuma, njombe na Mtwara na maeneo ya kanda ya ziwa.

Makaa ya mawe ni chanzo cha kuaminika cha uzalishaji umeme, umeme usioyumba yumba kama wa maji ama upepo ama jua.

Tanzania inaweza kuzalisha umeme zaidi ya megawati 2000 kwa makaa ya mawe iliyonayo kwa miaka mingi sana na kuhakikisha upatikanaji wa nishati kwa maendeleo ya kiuchumi.

Tanzania inatakiwa ichukue maamuzi magumu ianze kujenga kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe. Tanzania inabidi ifanye maamuzi magumu kama yaliyofanyika kwenye kujenga bwawa la mwalimu Nyerere.

IMF na World bank ndio wanaikataza Tanzania isijenge umeme wa makaa ya mawe kwa kigezo cha uchafuzi wa mazingira. Kumbuka WB na IMF hawataki Tanzania inenge mradi mwingine wa umeme kwa kutumia maji, wanasema ni uchafuzi wa mazingira. WB na IMF wameitaka Tanzania iondoe mpango wa kujenga umeme wa makaa ya mawe kwenye mipango yake na wanalazimisha Tanzania ijikite kwenye umeme wa sola na jua(Renewable Energy).

Jamaa hao pamoja na unafiki wao wa kwamba makaa ya mawe yanachafua mazingira lakini wao kwenye nchi zao wanazalisha umeme kwa makaa ya mawe na ndio wanaonunua makaa ya mawe kutoka Tanzania (bandari ya mtwara iko busy kila siku kusafirisha makaa ya mawe kwenda ulaya kuzalisha umeme)

Wakati WB na IMF wanaikataza Tanzania, South Africa iinajenga kinu cha makaa ya mawe cha kuzalisha megawati 4800, Kusile Power Plant Mpumalanga.

Tanzania ifanye maamuzi magumu, ijenge kinu cha makaa ya mawe kuzalisha umeme, iachane na mikara ya wb na imf.
 
Tanzania ni nchi yenye potential kubwa ya deposit ya makaa ya mawe kwenye mikoa ua Mbeya, Ruvuma, njombe na Mtwara na maeneo ya kanda ya ziwa.

Makaa ya mawe ni chanzo cha kuaminika cha uzalishaji umeme, umeme usioyumba yumba kama wa maji ama upepo ama jua.

Tanzania inaweza kuzalisha umeme zaidi ya megawati 2000 kwa makaa ya mawe iliyonayo kwa miaka mingi sana na kuhakikisha upatikanaji wa nishati kwa maendeleo ya kiuchumi.

Tanzania inatakiwa ichukue maamuzi magumu ianze kujenga kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe. Tanzania inabidi ifanye maamuzi magumu kama yaliyofanyika kwenye kujenga bwawa la mwalimu Nyerere.

IMF na World bank ndio wanaikataza Tanzania isijenge umeme wa makaa ya mawe kwa kigezo cha uchafuzi wa mazingira. Kumbuka WB na IMF hawataki Tanzania inenge mradi mwingine wa umeme kwa kutumia maji, wanasema ni uchafuzi wa mazingira. WB na IMF wameitaka Tanzania iondoe mpango wa kujenga umeme wa makaa ya mawe kwenye mipango yake na wanalazimisha Tanzania ijikite kwenye umeme wa sola na jua(Renewable Energy).

Jamaa hao pamoja na unafiki wao wa kwamba makaa ya mawe yanachafua mazingira lakini wao kwenye nchi zao wanazalisha umeme kwa makaa ya mawe na ndio wanaonunua makaa ya mawe kutoka Tanzania (bandari ya mtwara iko busy kila siku kusafirisha makaa ya mawe kwenda ulaya kuzalisha umeme)

Wakati WB na IMF wanaikataza Tanzania, South Africa iinajenga kinu cha makaa ya mawe cha kuzalisha megawati 4800, Kusile Power Plant Mpumalanga.

Tanzania ifanye maamuzi magumu, ijenge kinu cha makaa ya mawe kuzalisha umeme, iachane na mikara ya wb na imf.
Ni ujinga kufanya kitu kisa SA wanafanya!

Kifupi... Umeme wa makaa ya mawe ni mchafu na utatuletea shida lukuki. Kimazingira! Kiafya! Kiuchumi! Kijamii!

Kwanini msiwaze umeme wa jua au upepo ambao ni unlimited natural, renewal energy resources?
 
Tanzania ni nchi yenye potential kubwa ya deposit ya makaa ya mawe kwenye mikoa ua Mbeya, Ruvuma, njombe na Mtwara na maeneo ya kanda ya ziwa.

Makaa ya mawe ni chanzo cha kuaminika cha uzalishaji umeme, umeme usioyumba yumba kama wa maji ama upepo ama jua.

Tanzania inaweza kuzalisha umeme zaidi ya megawati 2000 kwa makaa ya mawe iliyonayo kwa miaka mingi sana na kuhakikisha upatikanaji wa nishati kwa maendeleo ya kiuchumi.

Tanzania inatakiwa ichukue maamuzi magumu ianze kujenga kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe. Tanzania inabidi ifanye maamuzi magumu kama yaliyofanyika kwenye kujenga bwawa la mwalimu Nyerere.

IMF na World bank ndio wanaikataza Tanzania isijenge umeme wa makaa ya mawe kwa kigezo cha uchafuzi wa mazingira. Kumbuka WB na IMF hawataki Tanzania inenge mradi mwingine wa umeme kwa kutumia maji, wanasema ni uchafuzi wa mazingira. WB na IMF wameitaka Tanzania iondoe mpango wa kujenga umeme wa makaa ya mawe kwenye mipango yake na wanalazimisha Tanzania ijikite kwenye umeme wa sola na jua(Renewable Energy).

Jamaa hao pamoja na unafiki wao wa kwamba makaa ya mawe yanachafua mazingira lakini wao kwenye nchi zao wanazalisha umeme kwa makaa ya mawe na ndio wanaonunua makaa ya mawe kutoka Tanzania (bandari ya mtwara iko busy kila siku kusafirisha makaa ya mawe kwenda ulaya kuzalisha umeme)

Wakati WB na IMF wanaikataza Tanzania, South Africa iinajenga kinu cha makaa ya mawe cha kuzalisha megawati 4800, Kusile Power Plant Mpumalanga.

Tanzania ifanye maamuzi magumu, ijenge kinu cha makaa ya mawe kuzalisha umeme, iachane na mikara ya wb na imf.
Hivi ni IMF?World Bank au UN? UN ndiyo wamepitisha na Tanzania ni Signatory; Trump si alititoa USA? Na Biden akairudisha? Au ndiyo mazoea kulaumu. Sema tu kwa sababu huna financier, kama ilivyokuwa kwa Bwawa. Hii angekuwa JPM angefanya, ni pesa yako tu. Ila kwa pesa yao kwa hiyo hawatoi.
 
Ni ujinga kufanya kitu kisa SA wanafanya!

Kifupi... Umeme wa makaa ya mawe ni mchafu na utatuletea shida lukuki. Kimazingira! Kiafya! Kiuchumi! Kijamii!

Kwanini msiwaze umeme wa jua au upepo ambao ni unlimited natural, renewal energy resources?
Uwe unasoma kwanza unaelewa kabla hujaanza kuharisha. Hakuna aliesema tujenge kisha SA anajenga coal Plant. South Africa nimeitolea mfano tu.

Hao waume zako wanaokudanganya kwenye Renewable sources wao 40%+ ya umeme wao unatoka kwenye coal, kwani jua ama wind wawazioni?
images (2).png

Hii hapa ni percentage ya coal energy Duniani
images (7).jpeg

Hii hapa ni USA
images (6).jpeg

Hii hapa ni Europe
images (3).jpeg

Kwani wao hawazioni hizo Renewable ambazo hazichafui mazingira, zinazowapa afya njema na mazingira mazuri na madhara mengine ya kiafya, kiuchumi na kijamii?
 
Hivi ni IMF?World Bank au UN? UN ndiyo wamepitisha na Tanzania ni Signatory; Trump si alititoa USA? Na Biden akairudisha? Au ndiyo mazoea kulaumu. Sema tu kwa sababu huna financier, kama ilivyokuwa kwa Bwawa. Hii angekuwa JPM angefanya, ni pesa yako tu. Ila kwa pesa yao kwa hiyo hawatoi.
Ndio maana na mimi nashauri tutumie pesa yetu, tusiwasubiri maana wao hawataki hata tunenge kituo kipya cha kutumia maji wala makaa ya mawe. Maji wanasema labda kama haizidi megawati 10 hadi 20 ila ikizidi hapo ni uchafuzi wa mazingira, coal ndio hawataki kabisa.

Wanatishia kutotoa misaada na mikopo mingine nafuu kama tutatekeleza hiyo miradi ambayo hawaitaki, wanataka renewable tu ili wauze mabetri yao ya sola, wauze solar panels, wauze storage equipment za umeme wa jua na upepo.
 
Tanzania ni nchi yenye potential kubwa ya deposit ya makaa ya mawe kwenye mikoa ua Mbeya, Ruvuma, njombe na Mtwara na maeneo ya kanda ya ziwa.

Makaa ya mawe ni chanzo cha kuaminika cha uzalishaji umeme, umeme usioyumba yumba kama wa maji ama upepo ama jua.

Tanzania inaweza kuzalisha umeme zaidi ya megawati 2000 kwa makaa ya mawe iliyonayo kwa miaka mingi sana na kuhakikisha upatikanaji wa nishati kwa maendeleo ya kiuchumi.

Tanzania inatakiwa ichukue maamuzi magumu ianze kujenga kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe. Tanzania inabidi ifanye maamuzi magumu kama yaliyofanyika kwenye kujenga bwawa la mwalimu Nyerere.

IMF na World bank ndio wanaikataza Tanzania isijenge umeme wa makaa ya mawe kwa kigezo cha uchafuzi wa mazingira. Kumbuka WB na IMF hawataki Tanzania inenge mradi mwingine wa umeme kwa kutumia maji, wanasema ni uchafuzi wa mazingira. WB na IMF wameitaka Tanzania iondoe mpango wa kujenga umeme wa makaa ya mawe kwenye mipango yake na wanalazimisha Tanzania ijikite kwenye umeme wa sola na jua(Renewable Energy).

Jamaa hao pamoja na unafiki wao wa kwamba makaa ya mawe yanachafua mazingira lakini wao kwenye nchi zao wanazalisha umeme kwa makaa ya mawe na ndio wanaonunua makaa ya mawe kutoka Tanzania (bandari ya mtwara iko busy kila siku kusafirisha makaa ya mawe kwenda ulaya kuzalisha umeme)

Wakati WB na IMF wanaikataza Tanzania, South Africa iinajenga kinu cha makaa ya mawe cha kuzalisha megawati 4800, Kusile Power Plant Mpumalanga.

Tanzania ifanye maamuzi magumu, ijenge kinu cha makaa ya mawe kuzalisha umeme, iachane na mikara ya wb na imf.
Muda ukifika kitajengwa na kunauwezekano mkubwa kikajengwa kinu cha nuclear.
 
Tanzania ni nchi yenye potential kubwa ya deposit ya makaa ya mawe kwenye mikoa ua Mbeya, Ruvuma, njombe na Mtwara na maeneo ya kanda ya ziwa.

Makaa ya mawe ni chanzo cha kuaminika cha uzalishaji umeme, umeme usioyumba yumba kama wa maji ama upepo ama jua.

Tanzania inaweza kuzalisha umeme zaidi ya megawati 2000 kwa makaa ya mawe iliyonayo kwa miaka mingi sana na kuhakikisha upatikanaji wa nishati kwa maendeleo ya kiuchumi.

Tanzania inatakiwa ichukue maamuzi magumu ianze kujenga kinu cha kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe. Tanzania inabidi ifanye maamuzi magumu kama yaliyofanyika kwenye kujenga bwawa la mwalimu Nyerere.

IMF na World bank ndio wanaikataza Tanzania isijenge umeme wa makaa ya mawe kwa kigezo cha uchafuzi wa mazingira. Kumbuka WB na IMF hawataki Tanzania inenge mradi mwingine wa umeme kwa kutumia maji, wanasema ni uchafuzi wa mazingira. WB na IMF wameitaka Tanzania iondoe mpango wa kujenga umeme wa makaa ya mawe kwenye mipango yake na wanalazimisha Tanzania ijikite kwenye umeme wa sola na jua(Renewable Energy).

Jamaa hao pamoja na unafiki wao wa kwamba makaa ya mawe yanachafua mazingira lakini wao kwenye nchi zao wanazalisha umeme kwa makaa ya mawe na ndio wanaonunua makaa ya mawe kutoka Tanzania (bandari ya mtwara iko busy kila siku kusafirisha makaa ya mawe kwenda ulaya kuzalisha umeme)

Wakati WB na IMF wanaikataza Tanzania, South Africa iinajenga kinu cha makaa ya mawe cha kuzalisha megawati 4800, Kusile Power Plant Mpumalanga.

Tanzania ifanye maamuzi magumu, ijenge kinu cha makaa ya mawe kuzalisha umeme, iachane na mikara ya wb na imf.
Naunga mkono hoja
 
Kwa nini tusijenge tu kinu cha Nyuklia kama Kenya?
Kwa nini ku opt expensive source wakati tuna alternative ambayo ni relatively cheaper? Kenya Wana Geothermal,wind na solar kidogo ndio maana wamehamia huko.

Sisi tuna vyanzo vyote na sources zipo.
 
- In case you haven't figured out, Maendeleo si kipaumbele cha serikali ya Tanzania. If utilised effectively! Energy sources zilizo active zinajitosheleza kabisa kukidhi mahitaji kwa wakati huu, but that is not the case.

- Tunawenza anzisha millions of power projects but with the current political environment usishangae tukaendelea kulia with the same tone. Personally! Naiona project kuwa na hasara maradufu kuliko faida kwa mtu mmoja-mmoja just like any other project iliyowahi anzishwa kwenye nchi hii.

- Our backwardness has nothing to do with IMF or World Bank but rather our Unscrupulous minds and inexplicable incompetency.
 
Uwe unasoma kwanza unaelewa kabla hujaanza kuharisha. Hakuna aliesema tujenge kisha SA anajenga coal Plant. South Africa nimeitolea mfano tu.

Hao waume zako wanaokudanganya kwenye Renewable sources wao 40%+ ya umeme wao unatoka kwenye coal, kwani jua ama wind wawazioni?View attachment 3097377
Hii hapa ni percentage ya coal energy Duniani
View attachment 3097378
Hii hapa ni USA
View attachment 3097379
Hii hapa ni Europe
View attachment 3097381
Kwani wao hawazioni hizo Renewable ambazo hazichafui mazingira, zinazowapa afya njema na mazingira mazuri na madhara mengine ya kiafya, kiuchumi na kijamii?
Kama umezoea kuolewa olewa mwenyewe!
Lakini sayansi ya nishati iko wazi! Na hata hao uliowataja wanaingia gharama kubwa kusafisha nishati chafu kuwa safi!

Alafu jifunze kutafsiri hizo data ulizoweka hapo! Kama hujui tafuta wataalamu wakusaidie!
Kifupi hizo ni energy mix... Na ukifanya analysis utagundua kuwa trend ya renewable energy inazidi kushika kasi. Kwenye data zako utaona kwa US % ya coal jumlisha na ile ya petroleum ni ndogo ukilinganisha na ya renewable sources!
Re-read to understand!
 
Mimi nilijua ungesema tuzalishe umeme wa nukes sababu tunayo uranium. Umeme wa makaa ya mawe ni kama vile turudi miongo kadhaa nyuma!
 
Ni ujinga kufanya kitu kisa SA wanafanya!

Kifupi... Umeme wa makaa ya mawe ni mchafu na utatuletea shida lukuki. Kimazingira! Kiafya! Kiuchumi! Kijamii!

Kwanini msiwaze umeme wa jua au upepo ambao ni unlimited natural, renewal energy resources?
brain washed
 
Back
Top Bottom