Tanzania ijiandae kupokea wakimbizi toka Ulaya na Marekani wanaokimbia CORONA kuja kuishi kwetu kusiko na Corona

Sikatai kwamba huko Marekani wanakimbia, ila hawatakuja hapa. Mmrekani gani atakuja kuweka hela yake hapa bank account ifungiwe?

Hapo sasa ni hisia ndizo zinazotawala. Hakuna ukweli au mfano wowote ulioutaja.
 
Nakubaliana na mtazamo huu. Nilikuwa Zanzibar wiki iliyopita Wazungu wamejaa na wamerelax sana. Inaonekana wanapata amani sana wanapokuwa Tanzania. Hakuna cha barakoa wala nini wanakula maisha. Viva Tanzania viva
 
Nakubaliana na mtazamo huu. Nilikuwa Zanzibar wiki iliyopita Wazungu wamejaa na wamerelax sana. Inaonekana wanapata amani sana wanapokuwa Tanzania. Hakuna cha barakoa wala nini wanakula maisha. Viva Tanzania viva
Ni kweli kabisa wanajipiga hata picha za selfie sana mitaani wakiwarushia wenzao wanakotoka na kuangua vicheko
 
Hivi tatizo ni low IQ au ni magonjwa ya kurithi.
Maana mtoa uzi kila nikiitafakari akili yako sijui unaangukia kundi gani hapo?
 
Kuhusu Black Americans, kabla hata ya Corona...wengi waliamia kusini mwa jangwa la sahara.
Hata hapa bongo wengi tuu wapo
 
Tanzania the holy place auto cracker down covid viral we welcomes all
 
Kutesa kwa zamu . Waingie kinyemela kupitia baharini kama wale jamaa zetu wanavyozamiaga kupitia kule kwenye Pwani ya Lampedusa Italy
 
Mimi ninao 5 wanaish kwenye vibanda vyangu tangu mwez wa 9. Niliweka nyumba air bnbn wakakod online nikawawekea na gar. Sema wamefuata taratibu zote.
 
Mkuu unaeleza kana kwamba Tanzania tulifanikiwa kuidhibiti corona ndio maana unatoa ushauri kwa serikali kuwa makini kudhibiti wageni wasituletee tena corona.

Please revisit my comments zisome kwa umakini zaidi kabla uja-comment.

Hapa nimezungumzia second phase/wave ambayo imethibitika kuwa ni STRAIN mpya ya COVID-19 - nimesema Serikali itafute mbinu mpya za kudhibiti Strain mpya ya corona ili hisiingie nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…