Tanzania ili uitwe milionea unatakiwa kuwa na pesa kuanzia kiasi gani?

Bro world standard money ni dola, kwasababu kibongobongo ukiwa milionea basi ata ukivuka kenya/nigeria/sa na nchi nyingi tuu apo amna kitu. Though hakuna kiwango wacha tufanye measurements za kidola
 
Angalau uwe na uwezo wa kumiliki bilioni mbili na nus za kitanzania au dollar million mojs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…