PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Nafikiri timu kama burundi,namibia, zimbabwe, guinea bissau, zimbabwe nkBila shaka una usingizi kalale kwanza huwenda umeandika ukiwa umefumba macho.
Utakapoamka naomba unijibu.
Unafikiri ni timu gani ingeweza kufungwa na Tanzania katika Afcon ya mwaka huu?
Na kwanini unafikiri hivyo?
South AfricaBila shaka una usingizi kalale kwanza huwenda umeandika ukiwa umefumba macho.
Utakapoamka naomba unijibu.
Unafikiri ni timu gani ingeweza kufungwa na Tanzania katika Afcon ya mwaka huu?
Na kwanini unafikiri hivyo?
Nafikiri timu kama burundi,namibia, zimbabwe, guinea bissau, zimbabwe nk
Zingeweza kufungwa na Taifa stars.. Kwasababu mpira wao sio mkubwa sana kulinganisha na Taifa stars
Aisee,Tatizo linaanzia pale wasioufahamu mpira wa miguu kuzungumzia masuala hayo.
Kenya kibonde kivip? Ata ile mechi Tz alifanya makosa madogo tuuuHizo timu ulizotaja zote ni bora kuliko kenya! .. Huyo kenya kibonde sasa alipokutana na Tanzania dah .. ngoja tulale tu
[emoji23][emoji23][emoji23]watanzania tembeeni vifua mbele kundi letu timu zote zimeingia fainali sifa na utukufu ziende kwa bashite na serikali awamu ya tano kwa kutuwezesha kushiriki afcon.
Tanzania ingeweza kufuzu hatua inayofuata kama ingekutanishwa na timu nyingineKwahiyo mleta mada unataka kutuaminisha kitu gani?
The act of assuming.Tanzania ingeweza kufuzu hatua inayofuata kama ingekutanishwa na timu nyingine
OkThe act of assuming.
Wakuu, kama tulivyoona timu mbili tulizo pangwa nazo kwenye makundi zote zimefika fainali
Algeria wameifunga nigeria 2-1,Senagal wameicharaza Tunisia 1-0 (hatua ya nusu fainali)
Kwa nilichokiona, Tanzania ilipangwa na timu ngumu sana na wala haziwiani katika viwango vya mpira
Huwenda labda tungepangwa na timu nyingine, tungejipatia pointi kazaa au tungefuzu 16 bora..
Bingwa na mshindi wa pili anatoka kwenye kundi letu, hii inaonesha ni kwa jinsi gani ilikuwa ngumu kwa taifa stars kufuzu hatua inayofata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana hao tunge wapiga kama tusingewaacha akina mkude, Banda na ajib pia kocha asingekuwa amunike tungerudi na kombe
Tuwashukuru waganda kwa kutuachia nasi tushiriki AFCON. Kwa uhakika hatukustahili kucheza AFCON.Wakuu, kama tulivyoona timu mbili tulizo pangwa nazo kwenye makundi zote zimefika fainali
Algeria wameifunga nigeria 2-1,Senagal wameicharaza Tunisia 1-0 (hatua ya nusu fainali)
Kwa nilichokiona, Tanzania ilipangwa na timu ngumu sana na wala haziwiani katika viwango vya mpira
Huwenda labda tungepangwa na timu nyingine, tungejipatia pointi kazaa au tungefuzu 16 bora..
Bingwa na mshindi wa pili anatoka kwenye kundi letu, hii inaonesha ni kwa jinsi gani ilikuwa ngumu kwa taifa stars kufuzu hatua inayofata