yawezeka labda walijua lkn wakamuacha afe maana mwalimu alikuwa anaweka vibaraka wakeau umezoea kuona Eduardo?, Yes ndio miongoni mwa waanzilishi wa FRELIMO , chama cha ukombozi cha wanamsumbuji Kilichoanzishwa hapa Dare Es Salaam,
alikufa baada ya kufungua kifurushi alichotumiwa kama kitabu kumbe lilikuwa ni bomu ilikuwa mwaka 1969 hapa Dar es Salaam
alikuwa ni kingozi muhimu na alikuwa anawindwa sana na Wareno?, iweje kifurushi kipenye na kumfikia bila kuwa noticed na watu wa usalama?
tunaweza tukitumia silaha hatari kutoka gamboshi(wakanda)Nilipoku dogo, Tulikua tunasema.... Tanzania inauwezo wa kuipiga marekan viti vya ardhin.
Tulipokua tunasahau.mikwamba hata silaha za Tanzania nyingine zinatoka Marekan.
Mr slim???Tz sio kwamba imewai kuwa ya tatu tu hata majuzi miaka kama mitano au saba tz ilishika nafasi ya kwanza
Kumbuka ni Tz peke yake ndio iliweza kufanya RAISI wa nchi nyingine awe anabadilisha makazi ya kulala kwa miezi Sita mfululizo
kwaiyo usishangae saana
Sent using Jamii Forums mobile app
Broo kitambo sanaWacha kuonyesha ujuha wako hadharani!! Hii post ni ya 2013. 2013 huyo dhalimu na dikteta alikuwepo madarakani? Usikurupuke vinginevyo UTAUMBUKA.
polisi ndio TISS?Polisi siku hizi kaka wanachukuliwa hadi form 4 leaver 2 ht km ana div 4 pnts 32 anaenda depo unategemea nn?
Siri zipo hapa gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsNdugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.
Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.
Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.
nani kakudanganya askari bora mwenye ufaulu mzuri darasani.Polisi siku hizi kaka wanachukuliwa hadi form 4 leaver 2 ht km ana div 4 pnts 32 anaenda depo unategemea nn?
Hahahaaaa ubora wenu katika nchi za LCD ni kwenye medani ila kwa wenzetu wanaangalia vyotenani kakudanganya askari bora mwenye ufaulu mzuri darasani.
Halafu niliposoma kitabu cha Uria Simango(makamu wa rais wa frelimo enzi hizo) kuna jasusi (Robert Leroy) mreno aliingia Tz na kujifanya mwandishi wa habari kutoka Uchinaalifanikiwa kuwahoji na kupandikiza chuki kwa viongozi waandamizi wa frelimo,alifanikiwa mpaka kuzijua njia za panya ambazo frelimo wanazitumia na kufanya mashambulizi nchini Msumbiji,Tiss walipigwaje chenga na huyu mgema ulimbo!au umezoea kuona Eduardo?, Yes ndio miongoni mwa waanzilishi wa FRELIMO , chama cha ukombozi cha wanamsumbuji Kilichoanzishwa hapa Dare Es Salaam,
alikufa baada ya kufungua kifurushi alichotumiwa kama kitabu kumbe lilikuwa ni bomu ilikuwa mwaka 1969 hapa Dar es Salaam
alikuwa ni kingozi muhimu na alikuwa anawindwa sana na Wareno?, iweje kifurushi kipenye na kumfikia bila kuwa noticed na watu wa usalama?
.Ndugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.
Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.
Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.