2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rais yupi huyo?Tz sio kwamba imewai kuwa ya tatu tu hata majuzi miaka kama mitano au saba tz ilishika nafasi ya kwanza
Kumbuka ni Tz peke yake ndio iliweza kufanya RAISI wa nchi nyingine awe anabadilisha makazi ya kulala kwa miezi Sita mfululizo
kwaiyo usishangae saana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweliNdugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.
Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.
Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.
Naskia walikuwa wakipata ujuzi cuba na urusi... Na hizi nchi naskia wako juu sana kwenye eneo hiliKuwa ya tatu inawezekana siyo kweli ila ni kweli kuwa ofisi ya usalama wa taifa ilikuwa ikijua sana kazi yake wakati huo. Kuna mtu alikuwa akiitwa Walingozi, yule bwana alikuwa siyo mchezo katika mambo ya usalama. Ni kutokana na usalama huo kuwa ingawa Nyerere alikuwa na maadui wengi matajiri, lakini walishindwa kabisa kumgusa. Kila wakijaribu mapinduzi wanakwapuliwa kabla hawajafika popote. Kwenye ile kesi ya akina Hans Pope, mmoja wa watuhumiwa (nadhani Badru Kajaja) katika testimony yake alionyesha kufadhaishwa sana kuwa plani zao zote zilipanguliwa na jamaa wa TISS katika muda ambapo ilikuwa zianze kutekelezwa kiasi kuwa wote wakachanganyikiwa wasijue namna ya kuendelea.
Usitumie cm tumia pc, utaziona.Natumia cm hata hzo red sizioni
Zamani usalama wa taifa walikuwa na siri nzito yaani unaweza kulala naye kitanda kimoja usijue kuwa umelala na mwanausalama,Ndugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.
Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.
Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.
hahahah kumbe?
umeona kwamba tz ni noma?hahahah kumbe?
sawa mkuu
Mbona kila jambo linalo husu usalama wa watanzania mnazungumzia CHADEMA? Duuh basi mtakuwa mnaweweseka usijue mkilala kuwa mnatafutwa na serikali ya Magufuli.Huo ndi usalama wa Taifa ambao kamwe hauwezi kufananishwa na huu usalama wa mafisadi. Madudu chungu nzima kila kukicha lakini hakuna hata mmoja anayekamatwa!!! pia wameingia katika kundi la kutengeneza ushahidi fake ili waharibu maisha ya Watanzania katika juhudi zao za kukisaliti chama cha upinzani. Wako busy kuidhibiti CDM wakati nchi inawaka moto kwa matukio mbali mbali ya kutisha ambayo yanaongezeka siku hadi siku.
Mbona kila jambo linalo husu usalama wa watanzania mnazungumzia CHADEMA? Duuh basi mtakuwa mnaweweseka usijue mkilala kuwa mnatafutwa na serikali ya Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana. Amani inawalemaza watu. Nafikiri watakuja juta itakapo kuja wakati wa kupigana wenyewe kwa wenyewe. Wewe subiri tu Magufuli atoke.Tiss hawalali usiku na mchana kuhakikisha Tanzania inabaki salama cha ajabu watanzania ni watu tusio na heshima kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tunakuwa wepesi kuamaini mambo ya upotoshaji uzandiki na propaganda za watu wanaotaka kujaribu kuvunja amani yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watatu kwa vigezo vipi? Ni uzushi wa vijiweni huo. Vijana wanao shinda vijiweni badala ya kufanya kazi utawajua tu." Tanzania iliwahi kuwa Nchi ya tatu kwa Upelelezi" ni wakati uliopita, tuzungumzie wakati uliopo na ujao!
Hata kwenye smart phones za uhakika unaziona.Usitumie cm tumia pc, utaziona.
Sorry uko right mkuu. Niwie radhi mkuu!Wacha kuonyesha ujuha wako hadharani!! Hii post ni ya 2013. 2013 huyo dhalimu na dikteta alikuwepo madarakani? Usikurupuke vinginevyo UTAUMBUKA.
Safi sana. Amani inawalemaza watu. Nafikiri watakuja juta itakapo kuja wakati wa kupigana wenyewe kwa wenyewe. Wewe subiri tu Magufuli atoke.
Wengi hawajui mda huu nafikiri tungekuwa tuko hatarini kuipoteza amani yetu.
Kama sio maamuzi mazito ya Rais Magufuli sijui hii nchi ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app