Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu, mbona unatukana tena. Kwa nini usionyeshe udhaifu wa hoja yangu badala ya kutukana? Tuko hapa kujadiliana, kuelimishana na kutoa mawazo na mitazamo yetu.Hauko sawa kiakili unakurupuka kama unaharisha mavi.
Wewe mpuuzi kaa kimya.Mkuu hujui chochote ndio mana unakuja na nadharia zako hapa
Wewe ni bata unabwabwaja tuWewe mpuuzi kaa kimya.
Mkuu mbona ni walewale ameongezeka ummy mwalimu tuu,na pangua pangua ya hapa na pale.Ulitaka aendelee na mawaziri waliowachwa na hayati JPM?
Kahaba unatafuta kuliwa makalio asubuhi?Wewe ni bata unabwabwaja tu
Ni kweli tupo kwenye ulimwengu wa kidigital, hivyo huwezi kuwakwepa watumiaji wa mitandao. Maana mitandao kama JF huku watu wanatiririka ukweli tofauti na kwenye magazeti.
Lakini hii sio sababu ya kusema kuwa serikali iwe na watumishi amabo inawalipa mishahara alafu hawajui masuala ya kitaalamu na kiutawala. Matokeo yake eti likitokea kosa wananchi wanaotumia mitandao ya kijamii ndio wapost juu ya hilo kosa na kisha serikali kujirekebisha.
Mfano alipofariki hayati rais JPM, rais wa sasa alitangaza maobolezo kinyume na sheria ya mazishi ya viongozi, na alisema maombolezo ni siku kumi na nne. Ni aibu ofisi nyeti ya ikulu ambayo inawatalaamu wa kila namna wakiwemo wanasheria kumuingiza chaka aliyekuwa mtoa taarifa. Lakini kosa hili lilibainishwa na watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa JF na baadae wakajirekebusha.
Hii ya kuteua kada wa Ccm awe mkurugenzi wa TPDC ni doa baya sana kwa ofisi ya rais hasa ukizingatia sifa za huyo kada ukilinganisha na unyeti wa shirika alilokuwa anapaswa kuliongoza. Nalo ni watumiaji wa mitandao ndio waliliibua na baada ya masaa 12 ndio akatenguliwa.
Hii inatupa picha mbaya sana juu ya watu ambao wanalipwa mishahara mikubwa kwa kutumia kodi za wananchi huku wakionyesha wazi kuwa hawana uwezo wa kutimiza wajibu wao.
Je, kama kungekuwa hakuna mitandoa ya kijamii ingekuwaje?
Ni kweli tupo kwenye ulimwengu wa kidigital, hivyo huwezi kuwakwepa watumiaji wa mitandao. Maana mitandao kama JF huku watu wanatiririka ukweli tofauti na kwenye magazeti.
Lakini hii sio sababu ya kusema kuwa serikali iwe na watumishi amabo inawalipa mishahara alafu hawajui masuala ya kitaalamu na kiutawala. Matokeo yake eti likitokea kosa wananchi wanaotumia mitandao ya kijamii ndio wapost juu ya hilo kosa na kisha serikali kujirekebisha.
Mfano alipofariki hayati rais JPM, rais wa sasa alitangaza maobolezo kinyume na sheria ya mazishi ya viongozi, na alisema maombolezo ni siku kumi na nne. Ni aibu ofisi nyeti ya ikulu ambayo inawatalaamu wa kila namna wakiwemo wanasheria kumuingiza chaka aliyekuwa mtoa taarifa. Lakini kosa hili lilibainishwa na watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa JF na baadae wakajirekebusha.
Hii ya kuteua kada wa Ccm awe mkurugenzi wa TPDC ni doa baya sana kwa ofisi ya rais hasa ukizingatia sifa za huyo kada ukilinganisha na unyeti wa shirika alilokuwa anapaswa kuliongoza. Nalo ni watumiaji wa mitandao ndio waliliibua na baada ya masaa 12 ndio akatenguliwa.
Hii inatupa picha mbaya sana juu ya watu ambao wanalipwa mishahara mikubwa kwa kutumia kodi za wananchi huku wakionyesha wazi kuwa hawana uwezo wa kutimiza wajibu wao.
Je, kama kungekuwa hakuna mitandoa ya kijamii ingekuwaje?
Ameongezeka wapi kwani wew hujui ummy mwalimu alikua waziri katika ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira, Ummy na jafo wamebadilishana wizara.Mkuu mbona ni walewale ameongezeka ummy mwalimu tuu,na pangua pangua ya hapa na pale.
We pimbi unatafuta kuolewa humu JF?Social media ni moja ya muhimili muhimu ktk kuendesha Serikali mangi ktk nyakati hizi za maendeleo ya Sayansi na Teknolojia acha zako au shule bado kidogo, soma kitu inaitwa E-Governance utaelewa nguvu ya Media na Social media kwa ujumla wake
Umeandika nini sasa hapa duu kweli uhuru wa mitandao utatuonyesha mengiTunaamini Raisi wetu Mama Samia ni muungwana mwenye mila na desturi na silka ya Kizanzibari na muungwana akilivuliwa nguo huchutama imani yangu ni kuwa dhulma zote zilizofanywa na mwenda zake atazitatua na kuzipatia ufumbuzi .JF we should be very proud kama sauti zinakwenda mbali na kusikika na serikali ,kusikiliza sauti za raia yake ndivyo inavyotakiwa na hiyo ndio serikali ya wananchi .Tunamwambia Mama Samia Raisi wetu Hala hala Ujiti na macho ncha ina hoho, vyako vyako na wenzako vikikupata vyako peke yako na kikulacho kimo katika nguo yako ,tenda wema wende zako usingoje shukurani .Mama Samia miaka 4 ni sawa na siku nne tu katika kipindi chako cha uongozi kumbuka Allah kakupa mtihani katika maisha yako kuwa MUADILIFU Usidhulumu na weye usikubali Kudhulimiwa.Allah akulinde na kila sui akufanyie wepesi ktk uongozi wako akulinde na mahasidi wako kila ajae na shari waijua yake siri ivunje yake dhamiri asiweze kusimama.Allahumma Amin Thumma amiiiiiin.