Tanzania imeshika nafasi ya 13 nchi zisizo na furaha duniani

Tanzania imeshika nafasi ya 13 nchi zisizo na furaha duniani

The Common

Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
37
Reaction score
172
Screenshot_2025-02-05-20-01-18-322_com.twitter.android-edit.jpg
 
Tanzania Furaha ni yakuunga unga haijalishi wallet ina uzito gani .

Bongo si sehemu ya mtu kuishi akiwa na Mafanikio makubwa it's either akubali kuishi kwa stress au kama mtumwa .
 
Kwahiyo Rwanda Wana furaha na kagame???🤣🤣🤣🤣😂😂
 
Yaani Congo inatia huruma kwa kweli. Madini yote yale lakini hakuna raha
 
Back
Top Bottom