EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kazi yake nini hio kamati?Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya Hati za utambulisho ya baraza la umoja wa mataifa.
Wajumbe wote wa kamati hiyo waliipigia kura ya NDIO Tanzania kuwa mwenyekiti wao kwa kipindi cha 2020/21
Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo ilikuwa ni lazima tz iteuliwe!?Unyeti wake ni nini? Hii ni moja ya nafasi za mzunguko wala haimaanishi tuna sifa za pekee over other countries.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaUfipa saiz wanasema moyon emu mungu baba tunaomba kikombe ichi cha aibu kitupite salama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio ilikua ni lazima iteuliwe kwa sababu need nafasi ya mzunguko.Kwahiyo ilikuwa ni lazima tz iteuliwe!?
Mwambie Lisu atulie tu na Amsterdam wake
Ufipa nao walinajisi uchaguzi?Ufipa saiz wanasema moyon emu mungu baba tunaomba kikombe ichi cha aibu kitupite salama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi wa chini tunapata faida gani Kama hatuna ajira na serikali inatuchinja Kama kuku kila siku?Tanzania imeteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hati za Utambulisho ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, kwa mwaka 2020/2021
Uteuzi huu ulipendekezwa na Ofisi ya Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wote wa kamati hiyo.
Tarehe 23 Novemba 2020, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa, Prof. Kennedy Gastorn, ameongoza kikao cha kwanza cha kamati hii kwa mwaka huu, hii ni mara ya kwanza Tanzania kushika nafasi ya kuongoza kamati hii nyeti ya Umoja wa Mataifa.
Bwashe hiyo Kamati inakuwaga na kazi gani?Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya Hati za utambulisho ya baraza la umoja wa mataifa.
Wajumbe wote wa kamati hiyo waliipigia kura ya NDIO Tanzania kuwa mwenyekiti wao kwa kipindi cha 2020/21
Maendeleo hayana vyama!
Haijateuliwa bali imethibitishwa. Hizo ni nafadi ambazo kila mwanachama wa UN anapewa wakati ukifika. Qualification ni kuwa nchi mwanachama, basi.Kwahiyo ilikuwa ni lazima tz iteuliwe!?
Mwambie Lisu atulie tu na Amsterdam wake
MATAGA ni wa kupuuza tu!!Ninachoweza kuchangia hapa ni kuwa kwenye jumuiya yoyote duniani lazima kiongozi wake atatokana na mzunguko wa nafasi ya juu kulingana na kipindi.
Huku mtaani tuna vyama vyetu vya kijamii mwenyekiti wake anatokana na nafasi anayoiacha anayepita, kwa hiyo hata hii ya UN si kwamba ni nongwa ila ni wakati wa Tanzania, mfano ni jumuhiya ya afrika mashariki au SADC.
Kwani kazi ndogo basi..... kazi kubwa hii😁👍Kazi kweli kweli...
Imeteuliwa na mabeberu ?Ukisikia HAPA KAZI TUU AWAMU YA PILI ndio hiyo
Yaani kwa kifupi ni hivi Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hati za Utambulisho ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, kwa mwaka 2020/2021
Hapana, hii siyo nafasi ya mzunguko.Unyeti wake ni nini? Hii ni moja ya nafasi za mzunguko wala haimaanishi tuna sifa za pekee over other countries.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, hii siyo nafasi ya mzunguko.Ninachoweza kuchangia hapa ni kuwa kwenye jumuiya yoyote duniani lazima kiongozi wake atatokana na mzunguko wa nafasi ya juu kulingana na kipindi.
Huku mtaani tuna vyama vyetu vya kijamii mwenyekiti wake anatokana na nafasi anayoiacha anayepita, kwa hiyo hata hii ya UN si kwamba ni nongwa ila ni wakati wa Tanzania, mfano ni jumuhiya ya afrika mashariki au SADC.
Kuna jamaa wanakesha kutangaza mabaya!Ukisikia HAPA KAZI TUU AWAMU YA PILI ndio hiyo
Yaani kwa kifupi ni hivi Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hati za Utambulisho ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, kwa mwaka 2020/2021