Tanzania ina maeneo 50 yanayoweza kuzalisha 5000MW za umeme wa joto ardhi (geothermal)

Tanzania ina maeneo 50 yanayoweza kuzalisha 5000MW za umeme wa joto ardhi (geothermal)

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imedhamira kwa dhati kuzalisha umeme Megawati 6000 hadi ifikapo mwaka 2025. Nishati hiyo itakuwa mchanganyiko endapo itazishwa na rasilimali tofati kama vile maji, upepo, jua na hojo ardhi.

Katika kufanikisha hili kufikia azma hiyo, kupita bajeti ya Wizara ya Nishati ya mwaka 2022/23 serikali imetenga kiasi cha Sh. 5/- bilioni ili kuwekeza kwenye uzaishaji wa nishati ya joto ardhi huko Mkoani Mbeya kwenye eneo la Kiejlo-Mbaka ambapo megawati 200 zinatarajiwa kuzalishwa hadi ikifika 2025.

Utafiti umeonesha kwamba Tanzania ina maeneo 50 yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa joto ardhi kwa kiwango cha 5000MW.
 
Embu iweke hiyo MW 6000 inayotegemewa mpaka 2025, kwa maana nimeona MW 200 tu ulioandika, lkn haujasema hizo 6000 zitatokea wapi? Kati ya 200 MW na 6 000 MW kuna tofauti kubwa sana!
 
Bwawa la Nyerere (2100MW) ndiyo baaaaasi tena! Kama joto ardhi tu litazalisha 5000MW na hizi 1000MW bila shaka zinatokana na vyanzo vilivyopo.
 
Ila kumbuka the what so called resource to one society is not necessarily to be a resource to another society
 
Hizi stori tangu enzi za JK nilikuwa nazisikia. Mwisho wa siku utekelezaji hakuna.
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imedhamira kwa dhati kuzalisha umeme Megawati 6000 hadi ifikapo mwaka 2025. Nishati hiyo itakuwa mchanganyiko endapo itazishwa na rasilimali tofati kama vile maji, upepo, jua na hojo ardhi.

Katika kufanikisha hili kufikia azma hiyo, kupita bajeti ya Wizara ya Nishati ya mwaka 2022/23 serikali imetenga kiasi cha Sh. 5/- bilioni ili kuwekeza kwenye uzaishaji wa nishati ya joto ardhi huko Mkoani Mbeya kwenye eneo la Kiejlo-Mbaka ambapo megawati 200 zinatarajiwa kuzalishwa hadi ikifika 2025.

Utafiti umeonesha kwamba Tanzania ina maeneo 50 yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa joto ardhi kwa kiwango cha 5000MW.
Wametenga 5 bill kuzalisha 200MW nategemea ni utafiti tu,maana haiendani na uhalisia
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imedhamira kwa dhati kuzalisha umeme Megawati 6000 hadi ifikapo mwaka 2025. Nishati hiyo itakuwa mchanganyiko endapo itazishwa na rasilimali tofati kama vile maji, upepo, jua na hojo ardhi.

Katika kufanikisha hili kufikia azma hiyo, kupita bajeti ya Wizara ya Nishati ya mwaka 2022/23 serikali imetenga kiasi cha Sh. 5/- bilioni ili kuwekeza kwenye uzaishaji wa nishati ya joto ardhi huko Mkoani Mbeya kwenye eneo la Kiejlo-Mbaka ambapo megawati 200 zinatarajiwa kuzalishwa hadi ikifika 2025.

Utafiti umeonesha kwamba Tanzania ina maeneo 50 yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa joto ardhi kwa kiwango cha 5000MW.
5bn kuzalisha 6000MW ndani ya mwaka moja? Utani?
 
Back
Top Bottom