Tanzania ina mikoa 26 na kila mkoa una wazee. Kwanini Rais wa JMT azungumze na wazee wa Dar pekee?

Tanzania ina mikoa 26 na kila mkoa una wazee. Kwanini Rais wa JMT azungumze na wazee wa Dar pekee?

[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa unataka atembelee wazee wa kila mkoa katika kila mkoa ,haohao wanatosha kuwa kiwakilishi Cha wengine
Nadhani mtoa uzi hasemi kuwatembelea Bali achague wawakilishi kutoka mikoa yote.
 
Dishi litakuwa limeyumba
Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.

Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.

Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
 
Kwani sifa ya kuwa Mzee wa Dar es salaam ni ipi? Kuna wengi pale si Wazee na wengine si wakazi wa Dar es salaam walikuwepo pale
Kwani wazee wa dar wanawezaje kuwakilisha mikoa 26?
 
Huu anaofanya mama ndio UZANDIKI original.
Marais waliopita nao walifanya uzandiki huuhuu.
 
Mkutano mkuu wa TANU wa Tabora
Kumbuka nimesema "harakati zilianzia Dar es Salam". Kuanzia Dsm haimaanishi ziliishia hapo kwasababu furaha ya walioanzisha harakati hizo ilikuwa ni kuona zinaenea nchi nzima na hatimaye Tanganyika kuwa huru
 
Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.

Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.

Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
Soma hii historia.

Forojo Ganze ,mzee aliyewasha mwenge mlima Kilimanjaro 1961.

Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo, walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere), zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza, alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho.

Baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani, baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115, kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38.

Hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115, na hii ndivyo ilivyokuwa, mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi.

Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni.
1. Mzee Ramadhan, alizaliwa mwaka 1920,
2. Ally Tarazo(1929),
3. Komwe wa Komwe(1918),
4. Sheihe Yahya Hussein(1925)
5. Forojo Ganze (1902)
 
Soma hii historia.

Forojo Ganze ,mzee aliyewasha mwenge mlima Kilimanjaro 1961.

Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo, walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere), zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza, alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho.

Baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani, baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115, kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38.

Hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115, na hii ndivyo ilivyokuwa, mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi.

Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni.
1. Mzee Ramadhan, alizaliwa mwaka 1920,
2. Ally Tarazo(1929),
3. Komwe wa Komwe(1918),
4. Sheihe Yahya Hussein(1925)
5. Forojo Ganze (1902)
Stori kama hizi kamsimulie mkeo.
 
Hakuna wazee pale
Ni wanaccm wa kariakoo ambao wanatumikaga kutoa hotuba juu ya mambo flani..
Ccm wangekuwa wanaheshimu wazee wasingemtuma Bashite akamchape vibao jaji Warioba.
Nimecheka sana heti Matimbwa nae ni Mzee anyway hii Nchi ccm wameifanyia ujinga mwingi sana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa kwa wazee wa mikoa mingine. Maana kama rais wa JMT hatakiwi kuwabaghua wazee wa mikoa mingine maana nao ni wazee wa taifa.

Kama ulitaka kuzungumza na wazee ungeteua walau kila mkoa upeleke wazee kumi na kisha kuwaita Dodoma na kufanya nao mazungumzo.

Kwani Dar es salaam ndio very special kuliko mikoa mingine?
Huu ni 'utamaduni' wa CCM tangu enzi za Mwalimu Julius Nyerere wanazungumza na wazee wa Dar. Hata Mwalimu alipokuwa akitangaza vita ya Kagera nakumbuka alizungumza na wazee wa Dar pale Diamond Jubilee. Ni utamaduni ambao wengi tunasema CHANGE lakini wenyewe hawataki. Wanabaki na mawazo yaleyale ya enzi zetu
 
Sababu ni hizi
1.Rejea wa wakati wa kutafuta uhuru Wazee wa dar walitumika pia.
2.Mkoa wa darasani ina Wazee wa mikoa yote kuliko mkoa mwingine Tanzania.

3.Wazee wa dar wanawakilisha Wazee wa mikoa mingine( Dar ni sampuli ).

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom