Tanzania Inahitaji 6 International Airports kuwa mshindani kiuchumi East Africa

Tanzania Inahitaji 6 International Airports kuwa mshindani kiuchumi East Africa

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Kwa ukubwa wa Tanzania, tumechelewa sana kwenye secta ya anga. Hadi 2015 tulikuwa bado tunatumia rada za majirani zetu na tulikuwa tuna kiwanja kimoja tuu chenye hadhi ya kimataifa.

Kwa sasa tuna viwanja viwili 2 ambavyo vinaweza kuhost ndege kubwa za kimataifa ambavyo ni Kilimanjaro ambacho bado kipo chini ya kampuni hewa Kadco na Julius Nyerere Int airport.

Ili kwenda vizuri tunahitaji walau viwanja 6 vyenye hadhi ya kimataifa katika maeneo 6 tofauti.

1. JNIA , Dar Es Salaam
2. KIA, Kilimanjaro
3. Mtwara International Airport (MIA) Mtwara

4. Mbeya International Airport (MBIA), Mbeya

5. Dodoma International Airport (DIA), Msalato, Dodoma

6. Mwanza International Airport (MWIA), Mwanza.

TUnahitaji kufika hapo kabla ya 2030.

Hizo ndio zinakua gateway kwa Tanzania.

Kwa sasa tynakwenda kana kwamba hatuna dira ya taifa kila mtu anataka international airport ijengwe mkoa ambao yeye kama kiongozi anatoka.
 
Kwa ukubwa wa Tanzania, tumechelewa sana kwenye secta ya anga. Hadi 2015 tulikuwa bado tunatumia rada za majirani zetu na tulikuwa tuna kiwanja kimoja tuu chenye hadhi ya kimataifa.

Kwa sasa tuna viwanja viwili 2 ambavyo vinaweza kuhost ndege kubwa za kimataifa ambavyo ni Kilimanjaro ambacho bado kipo chini ya kampuni hewa Kadco na Julius Nyerere Int airport.

Ili kwenda vizuri tunahitaji walau viwanja 6 vyenye hadhi ya kimataifa katika maeneo 6 tofauti.

1. JNIA , Dar Es Salaam
2. KIA, Kilimanjaro
3. Mtwara International Airport (MIA) Mtwara

4. Mbeya International Airport (MBIA), Mbeya

5. Dodoma International Airport (DIA), Msalato, Dodoma

6. Mwanza International Airport (MWIA), Mwanza.

TUnahitaji kufika hapo kabla ya 2030.

Hizo ndio zinakua gateway kwa Tanzania.

Kwa sasa tynakwenda kana kwamba hatuna dira ya taifa kila mtu anataka international airport ijengwe mkoa ambao yeye kama kiongozi anatoka.
Bado sana Labda Mwanza/dodoma ila kwa maeneo mengine bado hakujawa na shuguli kubwa za kiuchumi ili kuweza kuwekeza uwanja wa kimataifa.
 
Kweli Mwanza inatakiwa iwe na International airport kwa ajili ya Watarii kuelekea Mbuga ya Serengeti na kwingineko. Tumechelewa sana .
 
Mwanza inahitaji international airport haraka. tumechelewa angalau tuwe nazo 3 hadi 2025 ikfika 2030 tuongeze Mtwara na Dodoma
 
Kweli Mwanza inatakiwa iwe na International airport kwa ajili ya Watarii kuelekea Mbuga ya Serengeti na kwingineko. Tumechelewa sana .
Mbuga ni Serrengrti pekee? Sikilizeni Zanzibar ni Destination kubwa ya ufalii kwa Tanzania kuliko Serengeti.

Utalii wa Beach ndio unaongoza jwa kuvuta watalii wengi mno Dunianiz sasa endelee kudanganywa na CCM. Moroco unajua inapokea watalii milion ngapi kwa mwaka? hawana hata Mnyama Kobe.
 
..kwenda Serengeti watalii wanatakiwa watue Musoma, au Arusha.

..Mwanza inahitaji International Airport kwa shughuli za kibiashara zinazoendelea ktk ukanda huo.
Shughuri zipi ukitoa Madini kule Geita na Hakama ambako yana life span ya kuwa yameisha chini?

Ziwa victoria Samaki wanakata na mwanza wameanza kulishwa samaki wa kwenye mabwawa.
 
Zanzibar ndo tushaigawa tayari au vipi?
 
Sifa za kimataifa ni nyingi na zina grade.
Kwanza Runway ziongezwe hadi 3km au zaidi ili ndege kubwa ziweze kuruka na kutua.
Pili vyombo ya zima moto viwepo vya kutosha na vyenye ubora na wazimamoto wenye sifa tena wakutosha.
Tatu kituo cha mafuta ya ndege chenye kiwango cha mataifa .
Nne kituo cha kuongozea ndege chenye wataalam na mitambo ilio na vigezo
Tano Hospitali yenye hadhi ya rufaa.
Sita 5star hotel zisizopungua 4 within 10 km radius from Airport.
Saba arcraft maintenence hangar for jumbo jet.
Nane Airport transit facilities i.e shopping malls,Hotels.Banks n.k
Kuna safari ndefu hadi viwanja vyetu vipate sifa za kimataifa
Dodoma Msalato ipo kwenye viwango itakapomalizika.
Mwanza inahitaji mkaguzi wa kimataifa kujua mapungufu yake kuliko wapiga siasa.
Mtwara kwa vyovyote vile itatulazimu kuijenga upya.
Mbeya kuna lawama za Profesa Mwandosa kwamba kuna wakati hakuweka nguvu nyingi....sijui kwa mambo yapi?
Kagera ilitakiwa Airport ijengwe eneo tambale la Kajunguti lakini Mjomba akajiogeza Chato,Itakuwa vigumu kuacha Chato japo wasafiri wengi wanaotumia ndege.wapo Bukoba.
 
Kwa ukubwa wa Tanzania, tumechelewa sana kwenye secta ya anga. Hadi 2015 tulikuwa bado tunatumia rada za majirani zetu na tulikuwa tuna kiwanja kimoja tuu chenye hadhi ya kimataifa.

Kwa sasa tuna viwanja viwili 2 ambavyo vinaweza kuhost ndege kubwa za kimataifa ambavyo ni Kilimanjaro ambacho bado kipo chini ya kampuni hewa Kadco na Julius Nyerere Int airport.

Ili kwenda vizuri tunahitaji walau viwanja 6 vyenye hadhi ya kimataifa katika maeneo 6 tofauti.

1. JNIA , Dar Es Salaam
2. KIA, Kilimanjaro
3. Mtwara International Airport (MIA) Mtwara

4. Mbeya International Airport (MBIA), Mbeya

5. Dodoma International Airport (DIA), Msalato, Dodoma

6. Mwanza International Airport (MWIA), Mwanza.

TUnahitaji kufika hapo kabla ya 2030.

Hizo ndio zinakua gateway kwa Tanzania.

Kwa sasa tynakwenda kana kwamba hatuna dira ya taifa kila mtu anataka international airport ijengwe mkoa ambao yeye kama kiongozi anatoka.
Nafikiri ujengaji wa viwanja vya ndege ni demand driven. Viwanja vya ndege havivutii wasafari bali uwepo wa wasafiri wanafanya viwanja vya ndege vijengwe. Hivyo kujengwa au kutokujengwa kwa viwanja vya ndege kwenye maeneo tajwa kutegemee na hitaji la wasafiri isijekuwa Chato ingine.
 
Mbuga ni Serrengrti pekee? Sikilizeni Zanzibar ni Destination kubwa ya ufalii kwa Tanzania kuliko Serengeti.

Utalii wa Beach ndio unaongoza jwa kuvuta watalii wengi mno Dunianiz sasa endelee kudanganywa na CCM. Moroco unajua inapokea watalii milion ngapi kwa mwaka? hawana hata Mnyama Kobe.
🤣🤣🤣 dah! ivi niakili yako au sukar imepanda kichwan? Umeshawai juuliza kwann serenget kla mwaka inachukuwa hifadhi bora Africa? Tanzania juz imepewa tuzo ya kuwa na sehem bora ya kutembelewa duniani Wazungu hzo beach uko kwa zpo ndy maana mtali lazma aje serenget then akamalizie zanzbr sawa bhana
 
Back
Top Bottom