Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake

Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake

Jamani, ameshakiri wazi kwamba yeye hana uwezo wa kufuatilia mambo kama JPM, mnataka aseme nini tena?
 
Mtaanza sasa Kutulazimisha kuamini kuwa Watu wa Jinsia fulani si ' Competent ' kwa nafasi ya ' Head of State ' na akina GENTAMYCINE tukiamini hivyo msituchukie au msianze ' Kutubatiza ' Jina lenu la SUKUMA GANG mkimaanisha ni Wapinzani ' Tukuka ' wa Utawala huu wa Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ya sasa inahitaji Rais ambaye haishii tu kuwa Mchapakazi bali pia mwenye uwezo wa Kufuatilia Jambo, Kusoma sana, Kujiridhisha na kuwa na Timu ya Wasaidizi ( Washauri ) wenye Akili hasa na siyo Wapumbavu wenye ' Uchawa ' mwingi.

Kibinadamu Tukio moja linasameheka kwani hata Mimi GENTAMYCINE na hata Wewe ' Member ' pia huwa tunakosea ila Mtu huyo huyo akilirudia tena Tukio ( Kosa ) hilo hilo anaanza kututia Mashaka na kuanza kutupa Mtihani mzito wa Kumjibia kutoka kwa wale wasiomkubali.

Nina mengi Moyoni na Rohoni ila kabla tu Hasira zangu hazijanipanda zaidi kwa Upuuzi unaoanza Kuzoeleka natoa Ushauri wa bure kwa wale Watanzania ambao watagombea Urais miaka ijayo GENTAMYCINE nawaombeni teueni Makamu wa Rais Vijana ( Damu Changa ) na pia wawe ' very intelligent ' ili hata ikitokea Mmekufa ( Mmefariki ) watakaotwaa Madaraka ' Kikatiba ' wawe ni Watu ambao hawatotupa Mashaka Mashaka katika Kuwaamini kama ninavyoanza kupata Mashaka hayo sasa.

Najua kwa Uzi huu leo nami nitabatizwa kuwa natokea SUKUMA GANG hivyo nikiitwa hivyo kwa kusema huu Ukweli wangu nitalipokea hilo Jina ila pamoja na kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikuwa na ' Mapungufu ' yake ila nilikuwa nikimpenda zaidi katika tabia yake ya kupenda Kujiridhisha, Kudadisi, Kufuatilia Jambo na kufanya Maamuzi ya uhakika ambayo huenda yakachelewa ila hayatotupa Mashaka na kuanza Kutusababishia tuwe na Maswali mengi.

Mlio karibu na Mheshimiwa Rais nanyi pia ni sehemu ya tatizo kwani hamumsaidii hadi Mama kila mara anatoa ' Maboko ' yake tu ya ' Kuteua Kutengua ' au yawezekana pia mkawa katika Mpango ' Maalum ' wa Kumpigisha Shoti ( Kumuhujumu Mama ) ili aharibikiwe na achekwe Yeye na tuchekwe pia Sisi wana CCM wote.

Mwisho namalizia kwa Mama ( Mheshimiwa Rais ) hebu punguza sana kuwa karibu kwa 99% na Rais Mstaafu Kikwete ( hasa Kiushauri ) kwani Kitendo hiki ' Kinawakera ' baadhi ya Watendaji wako ( tena Waandamizi kabisa ) na usipokuwa nacho makini kitakuja Kukugharimu na utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE niliyenyimwa Utajiri na Nguvu ila niliyepewa Fikra na Maono na Mwenyezi Mungu.

Sisemi usimsikilize Mzee Kikwete bali acha Kumfanya ndiyo kila Kitu Kwako Kiushauri bali Shirikisho pia na Watu ( Wastaafu ) wengine lakini pia Waamini na hao Watendaji wako ulionao sasa Serikalini kwani huenda na Wao wakawa na Mawazo Cbanya Kwako Kimaendeleo na Kiuongozi hata kuliko hayo unayoyapata kwa Mzee Kikwete.

Hii ' Teua Tengua ' iwe mwisho Mama!!!!
WE MNYARWANDA MTUTSI , UMEKULA KITU cha Arachuga??🤣🤣

Nenda kwenu Rwanda KWA "PAKA"

Kamshauri Mjomba ako "PAKA "😶😶😶😃😃
 
Kwa maoni yangu nadhani ni kuwa rais ameanza kwa kupanga na kupangua kikosi kazi kwaajili ya kuendana na misimamo yake.

Yani ni kama kocha mpya akichukua team lazima kuna panga pangua huwa zinatokea kwenye kikosi ikiwamo na sajili mpya na kutemwa baadhi ya wachezaji ili kocha abaki na wale ambao wata fit kwenye mfumo wake.

Baada ya siku 100 madarakani kama hizi panga pangua hazijaisha basi nami nitakuunga mkono mleta mada.

Mada yako ina hoja nzito lakini.
Panga pangua zaidi ya siku 60??
 
Mtaanza sasa Kutulazimisha kuamini kuwa Watu wa Jinsia fulani si ' Competent ' kwa nafasi ya ' Head of State ' na akina GENTAMYCINE tukiamini hivyo msituchukie au msianze ' Kutubatiza ' Jina lenu la SUKUMA GANG mkimaanisha ni Wapinzani ' Tukuka ' wa Utawala huu wa Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ya sasa inahitaji Rais ambaye haishii tu kuwa Mchapakazi bali pia mwenye uwezo wa Kufuatilia Jambo, Kusoma sana, Kujiridhisha na kuwa na Timu ya Wasaidizi ( Washauri ) wenye Akili hasa na siyo Wapumbavu wenye ' Uchawa ' mwingi.

Kibinadamu Tukio moja linasameheka kwani hata Mimi GENTAMYCINE na hata Wewe ' Member ' pia huwa tunakosea ila Mtu huyo huyo akilirudia tena Tukio ( Kosa ) hilo hilo anaanza kututia Mashaka na kuanza kutupa Mtihani mzito wa Kumjibia kutoka kwa wale wasiomkubali.

Nina mengi Moyoni na Rohoni ila kabla tu Hasira zangu hazijanipanda zaidi kwa Upuuzi unaoanza Kuzoeleka natoa Ushauri wa bure kwa wale Watanzania ambao watagombea Urais miaka ijayo GENTAMYCINE nawaombeni teueni Makamu wa Rais Vijana ( Damu Changa ) na pia wawe ' very intelligent ' ili hata ikitokea Mmekufa ( Mmefariki ) watakaotwaa Madaraka ' Kikatiba ' wawe ni Watu ambao hawatotupa Mashaka Mashaka katika Kuwaamini kama ninavyoanza kupata Mashaka hayo sasa.

Najua kwa Uzi huu leo nami nitabatizwa kuwa natokea SUKUMA GANG hivyo nikiitwa hivyo kwa kusema huu Ukweli wangu nitalipokea hilo Jina ila pamoja na kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikuwa na ' Mapungufu ' yake ila nilikuwa nikimpenda zaidi katika tabia yake ya kupenda Kujiridhisha, Kudadisi, Kufuatilia Jambo na kufanya Maamuzi ya uhakika ambayo huenda yakachelewa ila hayatotupa Mashaka na kuanza Kutusababishia tuwe na Maswali mengi.

Mlio karibu na Mheshimiwa Rais nanyi pia ni sehemu ya tatizo kwani hamumsaidii hadi Mama kila mara anatoa ' Maboko ' yake tu ya ' Kuteua Kutengua ' au yawezekana pia mkawa katika Mpango ' Maalum ' wa Kumpigisha Shoti ( Kumuhujumu Mama ) ili aharibikiwe na achekwe Yeye na tuchekwe pia Sisi wana CCM wote.

Mwisho namalizia kwa Mama ( Mheshimiwa Rais ) hebu punguza sana kuwa karibu kwa 99% na Rais Mstaafu Kikwete ( hasa Kiushauri ) kwani Kitendo hiki ' Kinawakera ' baadhi ya Watendaji wako ( tena Waandamizi kabisa ) na usipokuwa nacho makini kitakuja Kukugharimu na utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE niliyenyimwa Utajiri na Nguvu ila niliyepewa Fikra na Maono na Mwenyezi Mungu.

Sisemi usimsikilize Mzee Kikwete bali acha Kumfanya ndiyo kila Kitu Kwako Kiushauri bali Shirikisho pia na Watu ( Wastaafu ) wengine lakini pia Waamini na hao Watendaji wako ulionao sasa Serikalini kwani huenda na Wao wakawa na Mawazo Cbanya Kwako Kimaendeleo na Kiuongozi hata kuliko hayo unayoyapata kwa Mzee Kikwete.

Hii ' Teua Tengua ' iwe mwisho Mama!!!!
Mataga mnademka tu. Ndio umeandika nini sasa.
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.....

Kazi iendeleeeeeeeeeeee.
 
Mtaanza sasa Kutulazimisha kuamini kuwa Watu wa Jinsia fulani si ' Competent ' kwa nafasi ya ' Head of State ' na akina GENTAMYCINE tukiamini hivyo msituchukie au msianze ' Kutubatiza ' Jina lenu la SUKUMA GANG mkimaanisha ni Wapinzani ' Tukuka ' wa Utawala huu wa Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan.

Tanzania ya sasa inahitaji Rais ambaye haishii tu kuwa Mchapakazi bali pia mwenye uwezo wa Kufuatilia Jambo, Kusoma sana, Kujiridhisha na kuwa na Timu ya Wasaidizi ( Washauri ) wenye Akili hasa na siyo Wapumbavu wenye ' Uchawa ' mwingi.

Kibinadamu Tukio moja linasameheka kwani hata Mimi GENTAMYCINE na hata Wewe ' Member ' pia huwa tunakosea ila Mtu huyo huyo akilirudia tena Tukio ( Kosa ) hilo hilo anaanza kututia Mashaka na kuanza kutupa Mtihani mzito wa Kumjibia kutoka kwa wale wasiomkubali.

Nina mengi Moyoni na Rohoni ila kabla tu Hasira zangu hazijanipanda zaidi kwa Upuuzi unaoanza Kuzoeleka natoa Ushauri wa bure kwa wale Watanzania ambao watagombea Urais miaka ijayo GENTAMYCINE nawaombeni teueni Makamu wa Rais Vijana ( Damu Changa ) na pia wawe ' very intelligent ' ili hata ikitokea Mmekufa ( Mmefariki ) watakaotwaa Madaraka ' Kikatiba ' wawe ni Watu ambao hawatotupa Mashaka Mashaka katika Kuwaamini kama ninavyoanza kupata Mashaka hayo sasa.

Najua kwa Uzi huu leo nami nitabatizwa kuwa natokea SUKUMA GANG hivyo nikiitwa hivyo kwa kusema huu Ukweli wangu nitalipokea hilo Jina ila pamoja na kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikuwa na ' Mapungufu ' yake ila nilikuwa nikimpenda zaidi katika tabia yake ya kupenda Kujiridhisha, Kudadisi, Kufuatilia Jambo na kufanya Maamuzi ya uhakika ambayo huenda yakachelewa ila hayatotupa Mashaka na kuanza Kutusababishia tuwe na Maswali mengi.

Mlio karibu na Mheshimiwa Rais nanyi pia ni sehemu ya tatizo kwani hamumsaidii hadi Mama kila mara anatoa ' Maboko ' yake tu ya ' Kuteua Kutengua ' au yawezekana pia mkawa katika Mpango ' Maalum ' wa Kumpigisha Shoti ( Kumuhujumu Mama ) ili aharibikiwe na achekwe Yeye na tuchekwe pia Sisi wana CCM wote.

Mwisho namalizia kwa Mama ( Mheshimiwa Rais ) hebu punguza sana kuwa karibu kwa 99% na Rais Mstaafu Kikwete ( hasa Kiushauri ) kwani Kitendo hiki ' Kinawakera ' baadhi ya Watendaji wako ( tena Waandamizi kabisa ) na usipokuwa nacho makini kitakuja Kukugharimu na utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE niliyenyimwa Utajiri na Nguvu ila niliyepewa Fikra na Maono na Mwenyezi Mungu.

Sisemi usimsikilize Mzee Kikwete bali acha Kumfanya ndiyo kila Kitu Kwako Kiushauri bali Shirikisho pia na Watu ( Wastaafu ) wengine lakini pia Waamini na hao Watendaji wako ulionao sasa Serikalini kwani huenda na Wao wakawa na Mawazo Cbanya Kwako Kimaendeleo na Kiuongozi hata kuliko hayo unayoyapata kwa Mzee Kikwete.

Hii ' Teua Tengua ' iwe mwisho Mama!!!!
Awe anajiamini kama Mama SSH. Maana hatuna Rais mbadala ila yeye. Hata kama Musoma ni ngumu kumeza
 
Well said.

Yaani eti Leo Hayati Magufuli alikuwa bora. MAVI yao hawa Sukuma gang.

Na kwa taarifa tu, sisi Watanzania tumedhamiria kumuomba Mama agombee mwaka 2025 maana miaka 4 ni michache sana kuleta mabadiliko ya kweli na kuondoa majeraha na sononeko zilizosababishwa na hawa washamba
Nyinyi chawa wa fulsa ndio wabaya kuliko hao sukuma gang.

Mnampetipeti mama, ili aendelee kuwachekea huku mnarutubisha mavitambi kisawa sawa.
Sisi hatutaacha kumpigia kelele, mpaka kiti kiwe cha moto, aache kusikiliza kelele za wajinga wajinga wanaomtumia.

Bahati mbaya mama ni mwoga wa lawama, ila tuna imani atakizoea kiti, hasa baada ya kuupata moto sawa sawa kutokea kwa wazalendo, hapo ndio mtajua, chawa yake maji ya moto.
 
Tafadhali acheni Kuuficha Udhaifu wa Mama ( Rais ) kwa Gharama ya kulisema 24/7 Kundi la SUKUMA GANG kwani mtakuwa ( tutakuwa ) hatumsaidii Mama ( Rais )
Udhaifu upo kila sehemu kwani ulitegemea atakuwa correct by 100%.

You have the point but you missed how to represent it in a very constructive way
 
I'm very worried na uwezo wa mama wa kufuatilia mambo, kama wasaidizi wake watakuwa si wazalendo, mama atakuwa anaingizwa chaka several time.
MAMA SHOULD BE PAYING ATTENTION TO THE DETAILS, AKILI ZA KUAMBIWA ACHANGANYE NA ZAKE. JAKAYA NI JANGA LA KITAIFA, ALISABABISHA NCHI HII KUIBWA SANA.
Binadamu hamna jema wakati wa JPM mlisema bora JK sasa mnasema JK hamna kitu
 
Mama hana uwezo. Magufuli alikuwa namba nyingine kabisaaa
 
Nyinyi chawa wa fulsa ndio wabaya kuliko hao sukuma gang.

Mnampetipeti mama, ili aendelee kuwachekea huku mnarutubisha mavitambi kisawa sawa.
Sisi hatutaacha kumpigia kelele, mpaka kiti kiwe cha moto, aache kusikiliza kelele za wajinga wajinga wanaomtumia.

Bahati mbaya mama ni mwoga wa lawama, ila tuna imani atakizoea kiti, hasa baada ya kuupata moto sawa sawa kutokea kwa wazalendo, hapo ndio mtajua, chawa yake maji ya moto.
Nyinyi mnaojua kulaumu tu ndio inabidi mubadilike. Lawama zenu ambazo nyingi hazina msingi hazimsaidii mama.

Give credit when due my friend. Anapopatia lazima apongezwe na asilaumiwe asipostahili lawama.

Sukuma gang mnakurupuka tu na milawama yenu.

Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu
 
Unapomsubiria adhihirishe...wengine tayari washadhihirisha….uongozi siyo tu katika siasa - hivyo usijilimit kwa Madame tu.
Dada Theodora Habari ya Machweo, Hivi Ni Kweli Kwamba Utafiti uliofanyika duniani kote unaonyesha kati ya watoto wa4 waliozaliwa mmoja si wa mme wa ndoa. Kwamba Kwa Afrika ni katika watoto wa3 waliozakiwa m1 si wako.?
 
Dada Theodora Habari ya Machweo, Hivi Ni Kweli Kwamba Utafiti uliofanyika duniani kote unaonyesha kati ya watoto wa4 waliozaliwa mmoja si wa mme wa ndoa. Kwamba Kwa Afrika ni katika watoto wa3 waliozakiwa m1 si wako.?
Nakusabahi Josh J. Naona unaanza kutuchokoza asubuhi asubuhi. Bahati mbaya hiyo research sijaifuatilia labda kama DNA zilifanyika. Na hapo hapo kama mtoto 1 siyo wa mume wa ndoa, 'it takes 2 to tango' hivyo kuna mwanamume kwenye ndoa kazaa na mke wa mtu.

Checkmate...
 
Maoni murua ila umeharibu unapotoa shutma pasi ya kutoa ushahidi usio na shaka kuwa Mama 'anategemea zaidi' ushauri kutoka kwa JK!!!, kwanini hutaki apewe ushauri kutoka kwake, ambaye ndiye immediate past president kabla ya Magu?
Kama una bifu na JK hilo ni lako na ufe nalo mwenyewe usiwakanganye wengine kwa kupandikiza fikra potofu.
Jk ni kilaza hawezi toa ushauri wa maana . Tuwe tunaambiana tu ukweli. Hapo ame chemka sana. Tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele.
 
Back
Top Bottom