Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake

Msitake kumfananisha mama na mwenda zake,ni watu wawili tofauti,na Wana mitazamo tofauti,na hata kijinsia ni tofauti,mwenda zake aliishia kutumbua alio wachagua na mwisho akajitumbua mwenyewe kwa ukaidi wake,mama asisemwe anajua anacho kifanya,nampongeza mama kwa huu muda mfupi tu naona maisha yangu yameanza kubadilika na kuwa na furaha na amani moyoni iliyo kuwa imetoweka kwa miaka mitano ya mwenda zake
 
Wale wale the Gang. Let the President work, msimlazimishe cha kufanya, Mama yetu Rais Piga kazi. Era imepita tulieni dawa iingie.
 
Tukisema akina warumi, tunaonekana sukuma Gang... raisi hatuna hapa kwa kweli
Huyu mama msimchukilie poa sio kilaza yuko smart anajua mambo humdanganyi, sababu anasoma nakufuatilia mambo..ila nahisi hajiamini anawatu amewaestablish yeye km authority figures wake...kwahio wakimshauri otherwise anakwenda nalo...mimi naona tumuencourage asimame yeye km yeye aamue anachokiamini yeye moyoni mwake bila kushikiwa maamuzi...asifanye kwa kumfurahisha mtu ama taifa fulani akihisi kwamba ataonekana ni smart kuliko waliomtangulia, being sharp and smart ni relative, utakuwa smart kwa taifa hili sababu wanamaslahi na uamuzi wako, kwa taifa lingine wakakuona otherwise au hata hao hao behind the scene wakakuzomea...so asimame imara km simba... ushauri asikilize ila achanganye na hisia zake..maana kiapo alikiapa yeye...

Mimi kwangu nilihisi kazi yake itakuwa rahisi sababu ameshafunguliwa njia na JPM angepita humo humo sasa inamuwia vigumu sana sababu amekaribisha figures zingine zinazompeleka njia nyingine tofauti ambapo yeye ana muda mchache mpaka uchaguzi, njia ikibackfire imekula kwake na kwa CCM...sasa najiuliza either njia ya JPM ni ngumu sana haiwezi na hao anaowaamini hawawezi kumback up aipite au labda haikuwa na maslahi yao, au labda wanamset ama labda alikuwa haiamini yeye binafsi..time will tell...kazi iendelee
 
Na ndio maana tunawaambia Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu
 
Unamshauri Mama a-follow her instincts sio?? Basi anavyofanya ndivyo anavyotaka kufanya.

Tumuamini Mheshimiwa rais na tufuate miongozo yake. Ndio kiongozi wetu, ambae hataki basi akae chonjo atuache Sisi tujenge nchi.

Hivyo basi Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
 
Sitaki kuchangia kuna mambo ya ajabu sana nayaona mpaka nashangaa, Nyumbu wengi hawajui wapige wapi hivyo siwaoni kusema kisa mwenyekiti wa maisha hajampiga mama. Jiaadhalini sana na hawa vijana wa Ufipa hawatumii akili zao.
Mleta mada leo mimi sichangii kwanza, naangalia trendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…