Tanzania inahitaji Rais kama Hayati Magufuli

Tanzania inahitaji Rais kama Hayati Magufuli

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Hii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.

Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.

Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.

Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.

Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.
 
Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini? Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
 
Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Ndo shida ya depression mkuu wasamehe tu. Hawataki kuamini kuwa kafa na harudi tena.

Nadhani serikali inabidi ifungue tawi la mirembe lwao kule
 
Ndo shida ya depression mkuu wasamehe tu. Hawataki kuamini kuwa kafa na harudi tena.

Nadhani serikali inabidi ifungue tawi la mirembe lwao kule
Wamepagawa sana. Walizoea bahasha za kumnadi mzee.
Sasa hazipo. Imagine miezi 2 ya kampeni hakuna TV Wala redio iliyoruhusiwa kurusha habari za mpinzani wa Magufuli. Yule mzee alijilimbikizia mamlaka kubwa sana. Tukamlilia Mungu akamkata roho mchana kweeupe
 
Kwenye mauaji kwa kweli hatuhitaji serikali ya kutoa roho na kudhulumu Mali za raia!!
Tunahitaji kiongozi kama mwenye kariba kama yake.
 
Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
Umeanza kuwa mtabiri..eti angekuwa JPM tungenunua lita kwa shs. 5000.

Nakuhakikisha angekuwa JPM mafuta yasingepungua hata siku mona na bei isingepanda. Hawa walamba asali wanalamba na hadi wanavuka urefu wa kamba zao.

Punguza mahaba, nenda kwenye uharisia.

Tangu JPM aingie madarakani uliona bei za ajabu ajabu? Wese lilikuwa limetulia bei mno. Umeme, Maji..huguma za kijamii.

Shituka kabla ya nchi yako haijazama kabisa kwenye shimo..TZ sasa haina viongozi inajiendesha tu.
 
Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
Uko sashihi 100%
 
Umeanza kuwa mtabiri..eti angekuwa JPM tungenunua lita kwa shs. 5000.

Nakuhakikisha angekuwa JPM mafuta yasingepungua hata siku mona na bei isingepanda. Hawa walamba asali wanalamba na hadi wanavuka urefu wa kamba zao.

Punguza mahaba, nenda kwenye uharisia.

Tangu JPM aingie madarakani uliona bei za ajabu ajabu? Wese lilikuwa limetulia bei mno. Umeme, Maji..huguma za kijamii.

Shituka kabla ya nchi yako haijazama kabisa kwenye shimo..TZ sasa haina viongozi inajiendesha tu.
Pengine yangefika lita sh.7500
 
Mbona mafuta ya kula yalipanda bei?
Umeanza kuwa mtabiri..eti angekuwa JPM tungenunua lita kwa shs. 5000.

Nakuhakikisha angekuwa JPM mafuta yasingepungua hata siku mona na bei isingepanda. Hawa walamba asali wanalamba na hadi wanavuka urefu wa kamba zao.

Punguza mahaba, nenda kwenye uharisia.

Tangu JPM aingie madarakani uliona bei za ajabu ajabu? Wese lilikuwa limetulia bei mno. Umeme, Maji..huguma za kijamii.

Shituka kabla ya nchi yako haijazama kabisa kwenye shimo..TZ sasa haina viongozi inajiendesha tu.
 
Kwa Katiba yetu hii iliyojenga mifumo kandamizi isiyofuata sheria nakwambia hata ukimpa madaraka Papa, nchi hii hataiweza.

Ona, sasa hivi badala ya maendeleo tushaanza majungu na uchawa kuelekewa 2025. Watu tayari washaanza kujipanga ki makundi.
 
Nikisoma wanalia hawana Maji na umeme huwa nashindwa wanalalamika nini,si hiyo ndio mnapenda.
Mschweeew.
 
Back
Top Bottom