Tanzania inahitaji Rais kama Hayati Magufuli

Tanzania inahitaji Rais kama Hayati Magufuli

Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
Wewe lazima darasa la saba “la zamani”
 
Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara


Akili km hizi eti ndio kamati kuu zinatuchagulia Raisi...

Halafu tunajiuliza mchawi wetu wa maendeleo ya kweli ni nani....
 
"Nchi yetu imechezewa sana, sijui hao wanaotuchezea sijui wanatuona sisi ni binadamu au majitu.
"Maisha ya watanzania ya leo ni maisha ya aina gani"
"Watu wanaona nazungumza tu, lakini nataka kuwaeleza kuwa tunazo information zote, tuna mawasiliano yao yote, walipostuka na kubadilisha ilikuwa ' Too Late.'"
 
Hicho usemacho it's relative...dhambi kwako kwangu ni ubinadamu...sijui umenipata?!
Hata Mseveni hatambui makosa yake,hata Lucifer tangu mwanzo wa ulimwengu bado hajatambua makosa yake,hata nduli Amini hakutambua makosa yake,kama umeegemea kwenye makosa huwezi tambua makosa yako.
 
Hii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.

Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.

Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.

Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.

Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.

Hatuhitaji viongozi makatili, tunataka katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais, na yeyote ikiwemo rais ashitakiwe akiwa madarakani au ametoka. Hii tabia ya kuwapa watu nguvu kuliko sheria ndio imetufukisha hapa.
 
Umeanza kuwa mtabiri..eti angekuwa JPM tungenunua lita kwa shs. 5000.

Nakuhakikisha angekuwa JPM mafuta yasingepungua hata siku mona na bei isingepanda. Hawa walamba asali wanalamba na hadi wanavuka urefu wa kamba zao.

Punguza mahaba, nenda kwenye uharisia.

Tangu JPM aingie madarakani uliona bei za ajabu ajabu? Wese lilikuwa limetulia bei mno. Umeme, Maji..huguma za kijamii.

Shituka kabla ya nchi yako haijazama kabisa kwenye shimo..TZ sasa haina viongozi inajiendesha tu.

Vitu kibao vilipanda bei wakati wa Magufuli ikiwemo mafuta ya kula, sukari nk. Na kama ni mgao wa maji hata yeye kiangazi kilipokuwepo mgao wa maji ulikuwa kama kawaida. Au umesahau wakati anasema watu wabadilishane debe la mahindi na ng'ombe watatu? Huu mgao wa umeme ulianza wakati wa kampeni za uchaguzi za 2020, kila mara umeme ulikuwa unakatika. Hadi leo tatizo limezidi kuwa kubwa. Au kwakuwa nyie mmesahau mnadhani kila mtu kasahau?
 
Hii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.

Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.

Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.

Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.

Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.
Tatizo la TZ ni wananchi na wala sio viongozi, Wananchi wanatakiwa waseme wanachotaka katika maendeleo yao sio kutafuta mtu wa kuwaongoza kutafuta maendeleo. Wananchi ndio waseme wanataka nini na wanataka waongozwa vipi. Nguvu ibaki kwa wanachi na sii kwa viongozi madikteta. Bottom line ni katiba ya wananchi, sasa hivi imetekwa na CCM na Rais wao hawataki wananchi watafute Katiba yao. Katiba iliyopo imetengeneza madikteta na kuwa juu ya wananchi na katiba hii haitakaa itengenezwa na serikali hii wala yeyote ijayo chini ya CCM. Tumenzisha vyama vingi kimagumashi, na tumevidhibiti kupitia matamko yanayopingana na katiba na hakuna cha kufanya kwani katiba iliyopo imewaweka juu ya sheria.
 
Back
Top Bottom