Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mseveni hatambui makosa yake,hata Lucifer tangu mwanzo wa ulimwengu bado hajatambua makosa yake,hata nduli Amini hakutambua makosa yake,kama umeegemea kwenye makosa huwezi tambua makosa yako.
Vikwazo ni wafoji vyeti na wauza ngada, watakwambia raisi wa mfano huo hafaiHii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.
Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.
Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.
Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.
Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.
Mungu awasamehe bure madikteta wote.Hata wewe mwenyewe hujajitambua
ukijipigia upatu unataka urais na hatujui kama unaweza hata kuongoza wadogo zako hilo ni jambo gumu kukuelewa,jpm ameshakuwa rais na tukamuona.Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe .
we nguruwe kweli,huna hata akili za kukumbuka choo kilipo.Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
unajipa uhawala kwa Mungu kuwa msemaji wake,unamjua sana!!!!acha umalaya malaya.JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
mshahara hukuongezwa mbona kazi hukuacha!!!mbuzi we.Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
unadhani maendeleo ni kishahara peke yake!!!Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
hata kwenye condom wataokotwa tu,hakuna nchi inaishi na waxenge wa kimaendeleo.Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
hakuna ufukara mbaya kama kutokuwa na uhakika wa chakula,umeme,maji,matibabu.Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
hata ndoa mlizoolewa ni toka kwa jpm.Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM.
wewe ndio wale wamesemwa na bashiru,acheni kuimba imba kama mbwa zilizoko hiti.SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu,
vita ya ukrain na tanzania wapi na wapi!!!wewe nape bwana wako anakulemaza akili mkiwa chumbani,umeanza kufikiri kama yeye kabisa.mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
hizo busara zikatumike kwenye umeme na maji,kuku wewe.Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
Watu wasiojulikana wamekosa tonge sasa ni matusi tu kwa kwenda mbele.ukijipigia upatu unataka urais na hatujui kama unaweza hata kuongoza wadogo zako hilo ni jambo gumu kukuelewa,jpm ameshakuwa rais na tukamuona.
we nguruwe kweli,huna hata akili za kukumbuka choo kilipo.
unajipa uhawala kwa Mungu kuwa msemaji wake,unamjua sana!!!!acha umalaya malaya.
mshahara hukuongezwa mbona kazi hukuacha!!!mbuzi we.
unadhani maendeleo ni kishahara peke yake!!!
hata kwenye condom wataokotwa tu,hakuna nchi inaishi na waxenge wa kimaendeleo.
hakuna ufukara mbaya kama kutokuwa na uhakika wa chakula,umeme,maji,matibabu.
hata ndoa mlizoolewa ni toka kwa jpm.
wewe ndio wale wamesemwa na bashiru,acheni kuimba imba kama mbwa zilizoko hiti.
vita ya ukrain na tanzania wapi na wapi!!!wewe nape bwana wako anakulemaza akili mkiwa chumbani,umeanza kufikiri kama yeye kabisa.
hizo busara zikatumike kwenye umeme na maji,kuku wewe.
watu wasiojulikana wapo,wewe uko unasifia mama kisa umeolewa na mwanaye utawaonea wapi watu wasiojulikana??Watu wasiojulikana wamekosa tonge sasa ni matusi tu kwa kwenda mbele.
Waliisha tu tangu mwendazake adondoshe tonge la urais.watu wasiojulikana wapo,wewe uko unasifia mama kisa umeolewa na mwanaye utawaonea wapi watu wasiojulikana??
na umeme na maji ukakosa nguvu jamaa alipodondosha tu tonge la urais.Waliisha tu tangu mwendazake adondoshe tonge la urais.
NCHI INAHITAJI DICTATOR MZALENDOHii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.
Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.
Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.
Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.
Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.
Jipige dole kama upendi kusikia jina JPM hapa tz marais ni wawili tuHivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
Mpumbavu wa mwisho kabisa, JPM alipokuwa madarakani mafuta yalishuka hadi kufikia 1,800 kwa litre toka 2,400! Hio sababu soko la dunia lilienda kwenye surplus kama effect za Covid. Ila wezi wenu wa sasa badala ya kushusha bei wangeipandisha mara dufu na kusingizia Covid 19! Wamekuja na mbwembwe za Ruzuku kuficha aibu mafuta yanauzwa bei chei huko wao wanalanguwa. Team majizi wamewekana kwenye vitengo nyeti.Hivi nyie wapumbavu mtaerevuka lini?
Kila siku JPM, JPM.
Mbona husemi Tanzania inahitaji Rais kama wewe . Yaani mmekubali kuwa hamna akili timamu ya kuweza kutawala mpaka mnamtamani marehemu.
JPM mlisema kuwa ni chabuo la Mungu , Mungu mwenyewe amethibitisha kuwa si chaguo lake.
Eti Tanzania tunaihitaji Rais kama JPM ili tuwe na maendeleo ya kweli.
Maendeleo ya kweli ya kutokuongeza MISHAHARA ya watumishi kwa miaka 6?
Maendeleo ya kweli ni kutokupandisha watumishi madaraja ?
Maendeleo ya kweli kuokota watu kwenye viroba?
Maendeleo ya kweli kweli wananchi kuishi kifukara?
Huu umaskini wa wananchi wanaohangahika nao sasa hivi ni urithi wao toka kwa JPM. SAMIA Kaichukua nchi ikiwa tupu, mbaya zaidi kaikuta kwenye effects za COVID-19, kakaa kidogo kakutana na vita ya mabeberu huko Ukraine.
Na vita hii JPM angekuwa ndiye Rais wetu wananchi tungenunua petrol kwa sh. 5000.
Yule mzee alikosa busara
Uzuri mbegu ilikufa na ikazikwa basi furahini na kushangilia na tuzidi kumtukuza molaHii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.
Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.
Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.
Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.
Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.
Ni Kweli tunahitaji aina ya Magu,Hii nchi kuna mambo mengi ya ufisadi mwingi ambao unaendelea katika nchi hii ila watu wengi hawajui tu. Na hao mafisadi ndo alidili nao jpm kipindi cha uhai wake.
Wajinga wengi wakaona kuwa anawaonea bure lakini walikuwa hawajui kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.
Sasa hivi ndo hawa hawa ambao wanajaa mitandaoni kumtukana jpm eti yule alikuwa katili saana, yule alikuwa mbaya saana. Lakini maovu yao hawataki kuyaonyesha.
Na watu fulani nao wanasikia na kuanza kutukana kisa kasikia fulani amesema alikuwa mbaya. Utasikia! yaani ilikuwa uoga kutembea usiku katika nchi yako. Una angalia anaye sema eti alikuwa anaogopa jpm kumteka, Una baki unajichekea tu mwenyewe.
Ila kwa ufupi TZ tunahitaji Rais kama JPM hili tuwe na maendeleo ya kweli.
Kwani kipindi cha COVID-19 umesahau kuwa ulimwengu ulishusha mafuta mpaka kuna kipindi US. waligawa mafuta kwa 0$?Mpumbavu wa mwisho kabisa, JPM alipokuwa madarakani mafuta yalishuka hadi kufikia 1,800 kwa litre toka 2,400! Hio sababu soko la dunia lilienda kwenye surplus kama effect za Covid. Ila wezi wenu wa sasa badala ya kushusha bei wangeipandisha mara dufu na kusingizia Covid 19! Wamekuja na mbwembwe za Ruzuku kuficha aibu mafuta yanauzwa bei chei huko wao wanalanguwa. Team majizi wamewekana kwenye vitengo nyeti.
Tumeona matatizo chungu tele sasa kisingizio kilikuwa Covid 19 ila sasa sababu zimehamia kwenye vita vya Ukraine.