TANZANIA INAKUA KW KASI

TANZANIA INAKUA KW KASI

komora096

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2018
Posts
20,548
Reaction score
5,647


Yani nawapongeza sana wanahabari wa tanzania...siku hz wameamua kuacha uvivu kabisa...asanteni sana kw kuendeleza ule msemo wa mkulu wa "hapa kazi tu"

Viajana pigeni kazi, kitu km kinaenda vibaya piga picha post mitandaoni.
Jitumeni bana hyo ndo taaluma yenu, wana EA mara hii tunatarajia makubwa kutoka kwenu.
 
Kweli wakenya wana maisha magumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sisi hku wananchi wetu wanaishi freshy kabisa...hamna anayeteseka...kila kitu kipo sawa..
Mikopo kw ajili ya maskini, maji machafu..tunateleza na kutekeleza tu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969]


Yani nawapongeza sana wanahabari wa tanzania...siku hz wameamua kuacha uvivu kabisa...asanteni sana kw kuendeleza ule msemo wa mkulu wa "hapa kazi tu"

Viajana pigeni kazi, kitu km kinaenda vibaya piga picha post mitandaoni.
Jitumeni bana hyo ndo taaluma yenu, wana EA mara hii tunatarajia makubwa kutoka kwenu.
tapatalk_1567548940938.jpeg
Screenshot_20190904-173201_Lite.jpeg
 
Hiyo picha inaogopesha bana. Hatari sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nchi ya asali na maziwa....heheeee...imekuuma...wanahabari pigeni kazi...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Haiwezi niuma hata maana ni tatizo linalotatulika.
Ila hizi 13 counties ndio mbaya zaidi na huwezi fungua uzi ila nitakukomesha hapa hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nchi ya asali na maziwa....heheeee...imekuuma...wanahabari pigeni kazi...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usijali...maumivu yataisha tu...ccm hoyeeee...maji safi hoyeee
Haiwezi niuma hata maana ni tatizo linalotatulika.
Ila hizi 13 counties ndio mbaya zaidi na huwezi fungua uzi ila nitakukomesha hapa hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
babayao255 unaumia Sana siku hizi na bado as long as jukwaa la siasa na Google zipo tutazidi kuwaanika hapa.
 
Back
Top Bottom