Tanzania inakwamishwa na vijana wake na wanasiasa wasiojitambua

Tanzania inakwamishwa na vijana wake na wanasiasa wasiojitambua

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hapa Tanzania vijana wao kutwa nzima nikuongelea Pombe, Mpira na Ngono na hapo wanasiasa uchwara wanapopata njia ya kuitawala hii nchi bila kufata misingi ya haki na utawala bora.

Hivyo basi nipende kuwaaambia ukweli safari ya asali na maziwa imeharibiwa na hii generation ya sasa hivi inayoendekeza ngono na pombe.

Hitimisho naomba serikali iwekeze kwa vijana ili angalau wajitambue tu. Maana huku mtaani mambo mazito kama magazijuto, vijana hawana pesa zaidi ya karatasi za kubetia.

Yaani siasa zetu zimekuwa kama mwanamke Malaya Asubui anampenda huyu ,na jioni anamuumiza Yule.
 
Nilipita jana maeneo ya tabata watu ambao wanatakiwa kuwa kwenye shughuli mbalimbali wapo kijiweni wanapiga soga, na hii iko maeneo mengi ya nchi. Mchina anatoka huko kwao yupo ndani ndani huko maporini anatafuta rasilimali, mswahili yupo hapo tabata kijiweni anapiga porojo........kuna mahala fulani hatupo sawa kwenye namna ya kutumia akili zetu.
 
Nchi yetu sijui nani aliyeiroga aisee, bila shaka watakua wakenya hahahaha
 
Back
Top Bottom