Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Kwa kuwa ni Tetesi, ngoja tusikilizie tu hizi Tetesi kama ulivyosema na kuandika

Tetesi, basi sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeipenda Sana taarifahii, nitafurahi zaidi Kama malipo yatakuwa yawazi nakupangiwa bajeti na bunge
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara umeisha ukubali huo uzushi billa kufanya utafiti zaidi na kujiridhisha?
Je kama hela hiyo wange iweka kwenye account za nje bila kutengeneza hizo miundo mbinu!
Hueleweki Mkuu. Kuweka hela nje kivipi?
 
Dah!! Eti aingii kwenye kasri sijui hazina

Lakini zinajenga bwawa la maji, salender, SGR, kununua Ndege, je kuna ubaya gani hapo?

Tunachoshana kwa siasa za maji taka, nilifikiri wamehifadhi kwenye akaunti zao binafsi kumbe zinajenga miundo mbinu na vitu vingine vya kimaendeleo.
 
Ukubali au ukatae wewe ni kilaza kama walivyo vilaza wengine hapo mtaani kwenu

Sasa kama hizo pesa wameshindwa kuzilipia madeni au kuongezea mishahara kw a kumuhofia CAG Kichere halafu wakazitumie kujengea reli na kununulia ndege
Unajionyesha upumbavu wako. Ikiwa fedha hii inalipiwa nje kwenye account ambayo Tanzania imetengeneza say Uswiss, na serikali inaitumia kulipa kampuni ya nje inayojenga SGR, au Boeing kununua ndege, au kampuni ya nje kujenga Stiegler nk, nani atajua kwa kuwa hizo transaction zinafanyika huko nje? Kwani unafikiri kampuni za nje zinazokuja kufanya kazi hapa zinalipwa shilingi toka Benki kuu, au watauliza hizi hele tulizolipwa mbona chanzo chake sio Tanzania? Je Boeing watauliza mbona mmelipia ndege kutoka account ya Uswiss?

Sasa njoo upande wa pili. Ili utumie hiyo hela kulipa mshahara, huelewi kwamba itabidi uiingize kwenye account za serikali? Sasa utaonyesha imetoka wapi au ni mapato ya nini? CAG lazima ajue kila hela ya serikali iliingia kutoka wapi na kwenda wapi ili atengeneze balance. Utaeleza hii hela ilitokana na nini? Hebu basi fuatilia hela tuliyolipa Boeing ilitoka wapi na account ipi ya serikali, kwa nini haikupitishwa Bungeni nk, haafu njoo uongee hapa. Fuatilia hela ya kulipia SGR inalipwa toka account gani, je inajadiliwa bungeni nk

Na labda uanze kujiuliza kwa nini pale Wizara ya Fedha kuna mtu wa karibu na mkulu, au kwa nini mtu kama Prof Ndulu ilibidi aondoke na South Africa wakamdaka akawasaidie kama mshauri wa Ramaphosa.

Unajifanya unajua kumbe kilaza wahed.
 
Kwa hiyo wakilipwa Bilioni 2, wakatumia bilioni 1 kujenga miundo mbinu na ile moja ikapotezewa ni sawa tu? Na kama ni kweli, kwa nini tusiwe wazi na kusema jamani tunalipwa hizi fedha na sababu ni hizi? Anyway, ni tetesi.
 
Inawezekana ni kweli.
Wikipedia wameelezea mradi wa sgr na chanzo cha pesa yake.
Link ya wikipedia
 

Attachments

  • IMG_20200122_152847.jpg
    35.7 KB · Views: 2
  • IMG_20200122_152933.jpg
    36.5 KB · Views: 3
Tujitoe tu ufahamu, tuanze kuchimba

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndilo jambo kuu. Lakini Marekani wataturuhusu kuuza ikiwa tukiuza tunaua biashara yao?

Nasikia Tanzania inataka kuwekewa vizuizi. Usikute ndio mambo hayahaya. Tumewajia juu wakasema watatutengeneza.

Angalia hapa report ya Bloomeberg kuhusu hii Helium;

"Helium One expects to be producing helium from Tanzania by the end of 2020, a few months before the world's main supplier, the U.S. government, ceases to supply the gas from the Federal Helium Reserve in Texas"

Hiyo statement hapo juu ina mambo makubwa sana ambayo yanafanya hii tetesi iwe na uzito!
 
Inawezekana ni kweli.
Wikipedia wameelezea mradi wa sgr na chanzo cha pesa yake.

Kinachonifanya niwe na wsiwasi ni kwamba, kwa nini hii miradi mikubwa Tanzania matumizi yake ya fedha hayajadiliwi na kupitishwa na Bunge, na inatekelezwa kama miradi binafsi ya mtu mmoja ambaye anajua wapi atapata fedha kwa ajili ya hiyo miradi?

Ulisikia Bunge limejadili na kupitisha bajeti ya kununua Dreamliner? Lakini unaambiwa ni kodi zetu. Hebu tuonyenywe fedha za kununulia Dreamliners zilitoka wapi. Je kwenye report ya CAG zimo? Mie sijui.
 
Ndio munavoongepeana hapo kwenye viwanja vya Lumumba,mbona deni la taifa linakua kwa speed ya umeme,miaka minne mtu amekopa 50/% ya waliokaa miaka 40........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wakilipwa Bilioni 2, wakatumia bilioni 1 kujenga miundo mbinu na ile moja ikapotezewa ni sawa tu? Na kama ni kweli, kwa nini tusiwe wazi na kusema jamani tunalipwa hizi fedha na sababu ni hizi? Anyway, ni tetesi.
Unajua kiasi wanacholipwa mkuu?
 
Ngoja kwanza.
Kwa hyo unataka kusema tumedanganywa.
Na ule wimbo wa juhudi za awamu ya tano.
Kumbe ni gesi ya helium?.
Si angesema tu ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikopo ya siri haihojiwi.
Wikipedia wameandika kabisa sgr ni mkopo wa standard chartered na export credit bank ya uturuki.
Labda wikipedia wahojiwe wametoa wapi hiyo taarifa.
 
Nahisi na wewe unatoka katika kabila la wachunga ngombe na wapanda punda
 
Unajua kiasi wanacholipwa mkuu?
Hapana Mkuu. Ila nawashangaa hawa wanaosema kama tulanlipwa na fedha zinatumika kujenga miundo mbinu basi sio tatizo. Suala ni kwamba, kama kweli tunalipwa, hizo fedha zinatumika zote kwa miundo mbinu? Na kwa nini zifanywe siri na kuishia huko huko nje?

Hata hivyo, labda haya ni mambo ya kawaida. Katika mambo ya uzalishaji mafuta, kuna kitu kinaitwa "signature bonus" ambayo huwa haiandikwi kwenye mkataba ni kiasi gani kinalipwa. Sasa serikali nyingi za Afrika huwa zinaamua zitakavyoitumia bila kuiingiza kwenye mifumo ya fedha za serikali. Mara nyingine inafunguliwa akounti ya nje. Na hiki ndicho chanzo cha maraisi wa nchi zenye mafuta, kama Abacha wa Nigeria, kujitajirisha sana.

Inawezekana Tanzania imefanya kitu kama hiki, kama ni kweli tunalipwa.
 
Mikopo ya siri haihojiwi.
Wikipedia wameandika kabisa sgr ni mkopo wa standard chartered na export credit bank ya uturuki.
Labda wikipedia wahojiwe wametoa wapi hiyo taarifa.
Dreamliners, Airbus na bombardiers sio mikopo mkuu - cash!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…